Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

Status
Not open for further replies.
Tuzo za hovyo na za kipuuzi sanaa, hadi nkurunzinza kapata nae tuzo?
 
Hadi Pierre Nkurunziza?

Ujasiri upi? WA kung'ang'ania kuongoza baada ya muhula wake kuisha? Au ujasiri wa kubadili katiba?
 
Hawa waafrika Kusini wamemdhalilisha Shujaa marehemu Mandela. Tuzo anapewa mpaka Nkuruzinza!
 
Wangempa na yoweri mseven tuzo ya kung'ang'ania kukaa madarakani ingependeza. Ingewatia moyo wanaotaka kuongeza muhula wa miaka 7.
 
Hadi Nkurunzinza kapewa tuzo ya ujasiri, no wonder dikteta mwrnzake Magufuli kapewaa pia
 
Magufuli na Nkurunziza siamini kabisa kama kuna mtu mwenye Akili zake timamu anaweza kuwazawadia tuzo!
 
mpaka tuzo wananunua ha ha ha ha..jamani ni utani tu msijeniokota cocobeach kwenye kiroba ha ha natania jamani....hii nayo ni amani pia ha ha.......
 
this is a fake news,sio kweli kabisa elewa Mandella Brand ni kubwa mno kitu kama hiki kingechukua nafasi ndani ya SA press,lakini nipo hapa Lingusenguse na google kuangalia press ya SA imeliongelea hili sipati kabisa from news24.com,iol.co.za,enca.com,sowetain.co.za .sabc nothings at all,chanzo wapi cha habari hii au ni yuotube!!!!,good news Liberia got the new president MR.G.WEAH,bad news the richest man in Africa he lost more money than more than 13 African countries!!!in just of few days
 
I wish ingekuwa kweli.Wanaovunjiwa nyumba ndiyo hao wanyonge,ajabu na kweli
Mbona wengine eneo hilo hilo hawakuvunjiwa?
 
Mbona MNAZINGUA[\COLOR] hizo ni njugu ehe? FF0000[\MOBILE[\COLOR]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…