Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

Status
Not open for further replies.
Hivi yule mwandishi wa habari amepatikana?
Ili nijue kweli kuna amani!
Huu ni uzushi, hakuna cha tuzo hapo, tundu lissu mwenyewe hajapona bado, ben wa saanane mpaka leo hajapatina, hiyo itakuwa tuzo ya lumumbaπŸ™‚)πŸ˜€
Amani hulindwa kwa njia nyingi.Cha msingi uhakikishe amani inakuwepo.Amani haina njia moja ya kuilinda.Amani yaweza lindwa hata kwa risasi.Waliotoa tuzo wanajielewa na waelewa amani.Polisi na wanajeshi wanaitwa walinzi wa Amani zana zao za kuhakikisha amani inakuwepo ni pamoja na kutumia silaha zao. Zile silaha nazo sina mchango mkubwa sana kuhakikisha amani inakuwepo
 
Unauhakika??
Unataka kusema walivunjiwa bila kigezo cha ukomo!
Serikali IPO tu hata kosa kinyemela ukasubiri huruma.
Utilitarianism
is an ethical theory which states that the best action is the one that maximizes utility
"Utility" is defined in various ways, usually in terms of the wellbeing of people or entinties,
Utility here is the sum of all pleasure that results from an action, minus the suffering of anyone involved in the action.
 
Pongezi kwake
 
Inaonekana ni HABARI KUBWAAAAAAAAAAA....lakini hadi nashiriki kutoa maoni ndiyo kwanza ina page tatu, hapo ina masaa mawili tangu iwe posted. Wakati habari ya Tundu Lissu kuanza mazoezi jana, ndani ya nusu saa iliweza kujaza zaidi ya kurasa tatu. Mjipime aisee.
 
Magufuli ni chaguo la Mungu wasiopenda wahame nchi maana bado ana miaka 7 ya kuingoza nchi hii
Mbona una comment kwa hasira Sana?
mtu akiwa chaguo la Mungu haiamanishi kwamba hawezi kupingwa, mbona Yesu alipingwa?
Wanaompinga Magufuli waacheni waendelee kumpinga, ishu siyo kuhama nchi kenge la kihaya wewe.
 
Amani ya kummiminia Lissu risasi, amani ya kuota miili ya watu kwenye viroba, amani ya kuambia tusiseme vyuma vimekaza.
Hongera kwa UK ulistahili, wewe ni Baba wa Demokrasia hapa EAC.
 
For sure this Africa!!.... Nimeona sehemu mpaka nkurunziza yumo katika tuzoπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Tuzo ya Rais wa Burundi Imenikosha zaidi.... Hongera Nkurunzinza
 
Umenikumbusha Trump alipoachana na Republican akajiunga na CCM ili kumuunga mkono Yohana ktk shughuli anazozifanya pale Tz
 
Ni kama zile tuzo za kina Ali Kiba na Daimond wanazogombaniaga huko marekani na ulaya.

Ni kama vile siku hizi hata chekechea kuvaa joho. zimekosa dhamani kabisa.

Mkuu, wewe ushawahi pewa tuzo ngapi au hata acknowledment tu kutoka kwa ndugu zako??
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…