Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

Status
Not open for further replies.
Tangu nizaliwe sijawahi kuona tuzo za ovyo na zinazogawiwa kama njugu namna hii. Hii inashusha credibility ya wataalam na wasimamizi wa hiyo tume ya mandela. Ni mwendelezo wa kututukanisha waafrika kwamba tunafikiri kwa kutumia masaburi. Pia wamemdhalilisha hayati Mandela. Ovyo kabisa, poor African leaders!
 
Mzungu aliposema ' Africa is a Dark Continent' hakukosea
South Africa wamemdhalilisha Nelson Mandela
Shame on You South Africa
All in all we as Tanzanians tunaujua ukweli
Mtu mwenye tetesi za kunanihiiii leo mnampongeza???
 


Huyo ndo Raisi wangu, na nita destroy takataka wote watakaojaribu kuzuia mafanikio yetu!
 
Hii haiwezi kuwa habari nzuri kwa wapinga kila kitu.
 
Tuzo nyingi zinazotolewa hapa duniani kuanzia zile za Nobel, Mo hata hizi ukiangalia kwa jicho la tatu ni za kinafiki kupindukia .
 
endelea kufanya kazi rais wangu, kundi kubwa sana la wazalendo lipo nyuma yako.
 
Sishangai maana hata nkuruzinza kapewa
 
Ccm imepata tuzo ya uonevu wa kidemokrasi? Kama hapana basi ccm imehonga hizo tuzo
 
Mzungu aliposema ' Africa is a Dark Continent' hakukosea
South Africa wamemdhalilisha Nelson Mandela
Shame on You South Africa
All in all we as Tanzanians tunaujua ukweli
Mtu mwenye tetesi za kunanihiiii leo mnampongeza???
Hii hatari sana mkuu
 
Ukiona uzi unaomtaja Magufuli siku hizi lazima udode maana watu wamemchoka ile mbaya!
 
Nice
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…