Afrika Kusini waanza kupitishia mizigo yao yakiwemo magari katika bandari ya Dar es Salaam

Afrika Kusini waanza kupitishia mizigo yao yakiwemo magari katika bandari ya Dar es Salaam

Engineer soomaaaa hiyooooo
Screenshot_20210119-214559.jpg
 
Kwamba bandari ya Darbun haitoshi hadi ipitie bongo? Na inapitia Bongo ikitokea wapi?
Wachina hawakuwa wajinga kutaka kujenga Bandari ya Bagamoyo Tanzania, ndio maana Kenya wana haha kujenga LAMU port kabla ya Bandari ya Bagamoyo...

Pwani ya Tanzania ndio Eneo bora kabisa na Strategically kuingia Africa.

Warumi enzi hizo kabisa walijenga kituo chao cha Biashara Pwani Africa Mashariki (Mafia Island).

Kama tutakuwa na Bandari kubwa na Taifa la Viwanda Tanzania inaweza kukua kiuchumi kwa zaidi ya 8% kila mwaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo mizigo inatoka nje unapita Dar alafu ndo inaenda huko kusini mwa Africa au
inatoka huko kusinj mwa Africa inakuja kwetu
Au inatoka kusini mwa Africa inapita kwetu alafu inaenda mbele zaidi

Maelezo yaliyonyooka tafadhari.
Huwezi kupata maelezo zaidi ya alichoandika huyo maana yeye kazi yake ni kusifu na kutukuza
 
Inashushwa Dar na kupakiwa kwenye malori na kupelekwa Afrika kusini..
.....dah Afrika kusini ina bandari nyingi na bora bahari ya Hindi na Atlantic halafu waje DSM dah pompeo legeza kidogo
Wewe unambishia msemaji wa TPA?
 
Huwezi kupata maelezo zaidi ya alichoandika huyo maana yeye kazi yake ni kusifu na kutukuza
Wewe Bavicha kinakushangaza nini hapo?

Kwani wafanyabiashara wa Tanzania hawatumii bandari ya Mombasa?
 
Wachina hawakuwa wajinga kutaka kujenga Bandari ya Bagamoyo Tanzania, ndio maana Kenya wana haha kujenga LAMU port kabla ya Bandari ya Bagamoyo...

Pwani ya Tanzania ndio Eneo bora kabisa na Strategically kuingia Africa.

Warumi enzi hizo kabisa walijenga kituo chao cha Biashara Pwani Africa Mashariki (Mafia Island).

Kama tutakuwa na Bandari kubwa na Taifa la Viwanda Tanzania inaweza kukua kiuchumi kwa zaidi ya 8% kila mwaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama Bavicha watakuelewa labda wale Bawacha!
 
Back
Top Bottom