Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa....... BAVICHA wana kiburi sana!Naona .....WANA CHADEMA hawaamin ....wanapinga[emoji23][emoji23][emoji23]
Hujajibu swaliWewe ulitaka wapakie kwenye ungo?
Wachina hawakuwa wajinga kutaka kujenga Bandari ya Bagamoyo Tanzania, ndio maana Kenya wana haha kujenga LAMU port kabla ya Bandari ya Bagamoyo...Kwamba bandari ya Darbun haitoshi hadi ipitie bongo? Na inapitia Bongo ikitokea wapi?
Huwezi kupata maelezo zaidi ya alichoandika huyo maana yeye kazi yake ni kusifu na kutukuzaHiyo mizigo inatoka nje unapita Dar alafu ndo inaenda huko kusini mwa Africa au
inatoka huko kusinj mwa Africa inakuja kwetu
Au inatoka kusini mwa Africa inapita kwetu alafu inaenda mbele zaidi
Maelezo yaliyonyooka tafadhari.
Wewe unambishia msemaji wa TPA?Inashushwa Dar na kupakiwa kwenye malori na kupelekwa Afrika kusini..
.....dah Afrika kusini ina bandari nyingi na bora bahari ya Hindi na Atlantic halafu waje DSM dah pompeo legeza kidogo
Wewe Bavicha kinakushangaza nini hapo?Huwezi kupata maelezo zaidi ya alichoandika huyo maana yeye kazi yake ni kusifu na kutukuza
Huyo mbwiga kesho hayuko ofisini bwashee!Engineer soomaaaa hiyoooooView attachment 1681491
Sidhani kama Bavicha watakuelewa labda wale Bawacha!Wachina hawakuwa wajinga kutaka kujenga Bandari ya Bagamoyo Tanzania, ndio maana Kenya wana haha kujenga LAMU port kabla ya Bandari ya Bagamoyo...
Pwani ya Tanzania ndio Eneo bora kabisa na Strategically kuingia Africa.
Warumi enzi hizo kabisa walijenga kituo chao cha Biashara Pwani Africa Mashariki (Mafia Island).
Kama tutakuwa na Bandari kubwa na Taifa la Viwanda Tanzania inaweza kukua kiuchumi kwa zaidi ya 8% kila mwaka.
Sent using Jamii Forums mobile app