Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Waha ni Kigoma huko Burundi ni Wahutu, just clarifying.
Tanzania hakuna ukabila unless useme wewe ni Mrundi, hatuwezi kuendeshwa na ukabila kwenye vita vya kikabila vya nchi nyingine.
Haya mimi ni Mburundi na Burundi ndiyo itayomyoa PAKA.
 
JWTZ ya sasa ni Bongo movie, watu bado wanaongelea jeshi la Nyerere wanasahau hili sasa wanaingia jeshini kwa vimemo.
 
Ni mjinga fulani hivi! Akianza kushambuliwa huwa analia kwenye Jumuiya za Kimataifa.

Kipindi cha mwanzo Tanzania ilipotoa kipondo kizito akatoa waraka mrefu kuanza kulia lia kwenye Jumuiya za Kimataifa.
Mzee Kikwete alimpiga vibaya sana hukohuko kwenye misitu ya Congo.
 
Uliza kwanini Nigeria licha ya kuwa nchi tajiri ila Hadi Sasa hawajawamaliza boko Haram
 
Easier said than done, wajaribu wakaone kale kamtu kembamba kama hawatasikia kako Bujumbura state house kanakunywa chai. Burundi ndiyo mizoga kabisa bora hata DRC.
Kwa hiyo unatuchukulia Warundi poa tu.Mbona 2015 hakunywea au bado anasubiri vitumbua.
 
Sasa mwanafunzi atamzidi mwalimu wake? Naona humu mnawasifia. DRC sio kubwa jinga bali US na EU ulafi wao wa mali ndio unaosabisha yote haya,hawa jamaa wakitaka lao hawajali ni nani na njia ipi watumie,kwani wapo tayari kutumia njia haramu kwa ajili ya maslahi yao.
 
Stori za wala ndumu na Smart Gin hizi.
Hamna unachojua
 
Not the clever. Sema does not make clever. Dogo hujui kitu. Nyamaza tu.
 
Unajua hata nzi angeweza kabisa kuwa Kama nyuma

Usiwe nzi my friend…. Mavi siyo chakula

Hii akili yako si salama sana Kwa wanaokupenda
Unajua hata nzi angeweza kabisa kuwa Kama nyuma

Usiwe nzi my friend…. Mavi siyo chakula

Hii akili yako si salama sana Kwa wanaokupenda

Unajua hata nzi angeweza kabisa kuwa Kama nyuma

Usiwe nzi my friend…. Mavi siyo chakula

Hii akili yako si salama sana Kwa wanaokupenda
 
kwetu asijaribu kupatamani, atapigwa mpaka kwake
Ana watu kibao wamejaa kwenye serikali yetu...
Mimi nawafahamu watu kibao ambao wanafanya kazi tz ambao ni watu wake kuna mmoja hata sikwuahi kujua kama ni kutoka huko wakati nimemfahamu kwa zaidi ya miaka 20 na mara ya mwisho wakati namwona ndiyo wale walikuwa wanajenga dodoma enzi za magu hapo ndipo alinieleza amefikaje hapo na akaniambia kuwa ni mtu wa huko. Mimi wakati namfahamu alikuwa analisha ng'ombe kwa jamaa fulani ila nikaja kumwona ameshapanda hadi kufika kuwa kwenye hilo shirika la ujenzi.
 
 
Umewaza mbali sana huenda hii ikawa ni sababu inayowafanya wasite kumuadabisha Rwanda haiwezekani kinchi kidogo kama kile wakiogope haimake sense.
 
na pia kuna walioishi karibu na Ikulu ya kila nchi,hahahaha
 
Inaonekana wewe ni mmoja wa wale watu wanao chukulia vita kama kwenye movie za kimarekani, kama unajinadi umefanya kazi na jeshi la afrika kusini basi pia ungejua kwamba ni moja ya nchi afrika zenye jeshi la kisasa na bora kabisa na silaha zingine wana tengeneza wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…