Afrika Kusini yaishitaki Israel

Afrika Kusini yaishitaki Israel

Wapi wamesema wanaogopa kufa?

Kuuawa kwa watoto ndio furaha kwenu enyi wayahudi weusi msio na utu wala huruma, na hao mnaowaunga mkono mazayuni hawakuanza October7 kuuwa, ni zaidi ya miaka 70 sasa.
Vita haina macho shekhe kaa kwa kutulia,
 
Vita haina macho shekhe kaa kwa kutulia,

Nitulie vipi wakati tunaendelea kuuwa IDF
Screenshot_20240103-152133_Instagram.jpg
 
Suala la Israel na Palestinian watu wanajadili kwa mihemko ya dini, suala la hamas kuvamia Israel 7 October lilikuwa ni kosa kubwa sana ambalo litagharimu hamas na wapalestina wanaowasapoti, Kila Israel inapochokozwa huwa inaleta maafa makubwa kwa wapalestina, mwaka 1967 Egypt , Jordan, Syria waliongoza mataifa ya kiarabu kuivamia Israel matokeo yake Egypt kapoteza eneo la Sinai ,Syria kapoteza Golan heights, Jordan akapoteza Jerusalem, Palestinian alipojaribu kupigana na Israel alipoteza eneo, Israel akianzisha mashambulizi bila kuchokozwa anaweza kushindwa vita na kupata hasara kubwa , ndo maana huwa haanzishi vita , kuna waarabu walikubali kuishi pamoja na wayahudi na wapo kwenye bunge la Israel wengine ni askari Israel hana shida nao, wanaishi vizuri na wayahudi na wengine ni wataalamu wa mambo mbalimbali, hawa watu waunde taifa moja tu.
 
Nyuzi zangu nyingi tu zimehamishwa na zingine kufutwa, ila upande wa pili zinaachwa, ukitaka kujionea mfuatile huyu mkenya MK254 ana thread kibao humu na hazifutwi, jiulize kwanini!!

Jielimishe kanuni, fuatilia nyuzi zangu zote hamna hata moja huwa siweki chanzo cha habari zangu kwa kifupi ukianzisha uzi wenye utata wowote hakikisha umeweka wapi umepata hizo taarifa ili hao mods wafuate na kujiridhisha kwamba sio uzushi wako wewe.
Wengi mnaanzisha nyuzi, mnafyatuka matusi na kauli nzito kisha mnamaliza bila chanzo.
 
S.A wanajitambua wale, na wameumia sana kwa mateso wanayopitia wapalestina tokea miaka mingi, ni mtu asie na huruma wala utu ndio atawasapoti hao magaidi wa kizayuni, na huo msemo wa kusema wasaidiwe na ndugu zao, badala ya S.A! Ni wewe tu na danganyika yako mmekaa kimya hata maandamano tu shida, jamaa watakata misaada sio?
S.A wanajitambua wale, na wameumia sana kwa mateso wanayopitia wapalestina tokea miaka mingi, ni mtu asie na huruma wala utu ndio atawasapoti hao magaidi wa kizayuni, na huo msemo wa kusema wasaidiwe na ndugu zao, badala ya S.A! Ni wewe tu na danganyika yako mmekaa kimya hata maandamano tu shida, jamaa watakata misaada sio?
Mkuu maandamano unaweza ukaanzisha hata wewe!

Nafikiri ungekuwa umefany kitu bora zaidi, kuliko kuandika hapa haisIadii chochote.
 
Hivi kwa nini hakuna hata nchi moja ya Kiarab/Kiislam iliyoweza kuwa na ujasiri kama wa RSA? Ina maana wote wanaiogopa Israel?

Hawa watu ni hopeless kabisa. Kusubiri kusifia badala ya kuchukua hatua ni udhaifu wa hali ya juu. Na hapa aliyetoa hii kauli ni Mufti wala siyo Serikali ya Ufalme wa Oman, Israel wakikohoa tu kuhusu hii kauli utasikia mfalme wa Oman anasema hatuhusiki na kauli ya huyu mufti kama Makonda alivyokanwa na Serikali kwenye issue ya ushoga.
Nchi za Kiarabu/Kiislamu wanajuwa fika Israel siyo lazima Walete Jeshi kukutia adabu, Bali drone ndio mbaya kuliko likitumwa Jeshi, wao siyo wajinga kiasi hicho.
 
Hamas ndio walioanzisha uchokozi October 7. Wamepelekewa moto sasa wanalia lia
Una umri gani? isije ikawa naelewesha kitoto cha Shule,matatizo ya Palestina na Israel yameanza october 7? au wewe na wenzako mmeanza kufuatilia issue za wapalestina na Israel kuanzia october 7? hujui kua Palestina ipo under occupation chini ya zionists? hujui kua maisha ya Gaza ni kama an open prison?
 
PhD za bongo hizi duu hivi wanao wanajua kuwa unaharisha namna hii jukwani maana kama ni pungwani vile au wewe unajiona upo sawa?
Huyo labda awe na PhD ya ujinga coz ndio anaongoza hapa JF kwa kupost matapishi yasioeleweka,haka kajaa hua kanarukia kucomment tu bila kutafakari.
 
Una umri gani? isije ikawa naelewesha kitoto cha Shule,matatizo ya Palestina na Israel yameanza october 7? au wewe na wenzako mmeanza kufuatilia issue za wapalestina na Israel kuanzia october 7? hujui kua Palestina ipo under occupation chini ya zionists? hujui kua maisha ya Gaza ni kama an open prison?
Sheikh twende uwanja wa vita tukaipiganie dini ya haki ya mwinyazimngu siyo kwenye keyboard Tu.

Wale Mayahudi tukiungana Waislamu tunawamaliza.
 
Back
Top Bottom