antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Punguza jazba shekhe..Wanachokifanya unaona ni sahihi? Pale sio kwao, ni wavamizi. Wanapaswa kuondoka.
Wapalestina ndo wataondoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza jazba shekhe..Wanachokifanya unaona ni sahihi? Pale sio kwao, ni wavamizi. Wanapaswa kuondoka.
HujielewiNimeongea in general uwe na akili ya uelewa,hivi hukuona nyuzi humu za kuwaponda Misri kiubaguzi wa rangi? hukuona humu nyuzi za kuwaponda Morocco kwa ubaguzi wa rangi?
Au umeamua tu kujitoa ufahamu? au hata huo ufahamu wenyewe huna?
Wayahudi na Waarab wanajuana wenyeweWapi wamesema wanaogopa kufa?
Kuuawa kwa watoto ndio furaha kwenu enyi wayahudi weusi msio na utu wala huruma, na hao mnaowaunga mkono mazayuni hawakuanza October7 kuuwa, ni zaidi ya miaka 70 sasa.
Huku waarabu wenzake woote Kimyaaa!!!!View attachment 2861157Maneno ya Mstahiwa Mufti Mkuu wa Usultani wa Oman Sh. Ahmed Al khalili, kuhusu Africa ya Kusini, Allah amuhifadhi.
Mods naomba uzi huu msiuhamishe wala kuufuta
Wakati wa fainali ya AFCON Senegal vs Misri,waafrika wengi walikua wakishabikia Senegal,wakiamini kua ndio waafrika wenzao,hilo huoni kua ni ubaguzi?
Leo hii wakicheza Morocco vs Cameroon sio ajabu hata wewe ukawa upande wa Cameroon,sio kwa ushabiki bali kwa ubaguzi tu,
Acheni unafiki.
Angepeleka JeshiView attachment 2861157Maneno ya Mstahiwa Mufti Mkuu wa Usultani wa Oman Sh. Ahmed Al khalili, kuhusu Africa ya Kusini, Allah amuhifadhi.
Mods naomba uzi huu msiuhamishe wala kuufuta
Wayahudi na Waarab wanajuana wenyewe
Wote hawa walishalaaniwa na ndiyo maana kila mmoja anataka kumfuta mwenzie dunianiHakuna hicho kitu, mayahudi yalishalaaniwa kitambo