Afrika Kusini yaishitaki Israel

Nimeongea in general uwe na akili ya uelewa,hivi hukuona nyuzi humu za kuwaponda Misri kiubaguzi wa rangi? hukuona humu nyuzi za kuwaponda Morocco kwa ubaguzi wa rangi?

Au umeamua tu kujitoa ufahamu? au hata huo ufahamu wenyewe huna?
Hujielewi
 
Wapi wamesema wanaogopa kufa?

Kuuawa kwa watoto ndio furaha kwenu enyi wayahudi weusi msio na utu wala huruma, na hao mnaowaunga mkono mazayuni hawakuanza October7 kuuwa, ni zaidi ya miaka 70 sasa.
Wayahudi na Waarab wanajuana wenyewe
 

Juzi wamecheza misri na Mozambique, mchezo ulikua 2-1.... egypt akasawazisha dakika ya 90+6. Aisee kuna watu waliumia sana, waarabu wamebebwa, mara sijui nini! Yani ni upumbavu na chuki za kijinga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…