Afrika: Nchi 10 zenye barabara nzuri Tanzania haimo, Hayati Magufuli alikuwa anafanya nini?

Afrika: Nchi 10 zenye barabara nzuri Tanzania haimo, Hayati Magufuli alikuwa anafanya nini?

Hii ni uongo kabisa, nimesafiri kenya sehemu kubwa ni barabara mbovu na mbaya, yaani wakenya wenyewe wanaisifu tz kwa barabara bora leo useme wametupita? Hizi ni ngonjera tu
 
Namibia sijawahi fika ila niliangalia youtube wale jamaa wana barabara yaan huko watu wanakandamiza kibati mpaka mwisho maana barabara zimenyoooka km rula
Usipende kukandamiza kibati mpaka mwisho, mimi sidhani kama nimewahi kupvuka 120miles/hour
 
Namibia sijawahi fika ila niliangalia youtube wale jamaa wana barabara yaan huko watu wanakandamiza kibati mpaka mwisho maana barabara zimenyoooka km rula
Fika ujionee, barabara zao kwa Tz ni runways za Julius Nyerere International Airport.
 
Wakati huo unaosema Rais ni Kikwete na sio Magufuli na aliesema tutatoka Mwanza mpaka Mtwara ni Kikwete sasa sifa au lawama anastahili Kikwete na sio Magufuli
Kikwete ndio aliyetujingea barabara nchi hii kwa sisi ambao riziki zetu zinapatikana barabarani tunaelewa
 
Kama hao jamaa wange orodhesha nchi zote nahakika bado Tanzania isinge kuwa ya mwsho...

Mna msimanga magufuri kosa lake nn?
Magu ame kuwa rais kwa kipind kifup sana miaka sita au tuseme saba je hayo maendeleo ya wenzetu kwenye bara bara yame fanywa sawa na muda ule Magu yupo kwenye kit ad sasa?

Mnapo linganisha jaribu kutumia uharisia sahihi muda na uharisia.
NI kwel tupo nyuma Lakin sababu haiw magufuri yeye angalau amefanya machache wengine waendeleze
 
Hiyo alisema akamaliza utekeleji ukawa 0 baada ya pale Kuna watu walipita kwenye hiyo Nafasi Shukuru kawambwa , na marehem Bazir, hao wote wamefanya kazi isipokua hawakuwa na uwezo wakuzitakaza kazi zao.
Alijenga KM ngapi ebu tupe takwimu...Hizo chuki zitawapa cancer mfe kwa mateso makali
 
Alijenga KM ngapi ebu tupe takwimu...Hizo chuki zitawapa cancer mfe kwa mateso makali
Tukubaliane kutokubaliana.
Sio Kila unae mpenda unakubaliana nakila wazo lake.
 
kwan tanzania kipi landa kizuri kilichofanyika toka uhuru? mimi naonaga bora hao wazungu wangetawala mpka hata miaka ya 2000 wakatutengenezea blueprint nzuri ya miundombinu majengo na hata mpangilio wa makazi. tanzania hatuna hata muelekeo mzuri kwenye kupanga miji tu japo mingi inakuzwa tunaiona ila haipangiliwi vizur kwahyo tukija wekea kwenye ushindani lazima tukae pembeni
 
Barabara zetu za mchina zinajengwa chini ya kiwango sana kwa sababu ya 10%+
Barabara iliyojengwa kwa viwango ni Makambako-Songea.
Hii ilijengwa kwa msaada wa Malkia wa Uingereza na akatuma kampuni toka UK iliyojulikana kwa jina la Baffo&Bitt international.
Unamaanisha nini ukisema chini ya viwango?.. alafu alie kudanganya kila kitu wanachofanya wachina ni fake nani?.. wachina wamejenga:-

-Tazara
-Uwanja wa Taifa
-Hizo mnazo ita fly over n.k hiyo ni miradi michache tu kwa kumbukumbu zangu lakini inatubeba mpaka leo.

Dodoma iringa pia imepita barabara ambayo dhumuni lake ni kwenda mpaka Misri na kusini mpaka South Africa mradi unaodhaminiwa na world Bank barabara yenye ubora wa kimataifa kabisa

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Ni ukweli usioweza kufichika kuwa ujenzi wa barabara zetu zote huwa ni wa kulipua. Nashindwa kujua kama barabara tunazojengewa au kujenga wenyewe, tunazingatia zaidi kupitika tu majira ya mvua au nafuu ya gharama za ujenzi? au ukosefu wa maono ya kuwa na barabara bora zinazovutia na kupitika majira yote ya mwaka.
Nimetembelea baadhi ya nchi za Afrika Mashariki na kati na kugundua kuwa barabara zetu na zile za Zambia Malawi, DRC na Burundi viwango vyake vinafanana kwa maana ya kuwa duni.
Barabara za Kenya zina nafuu kidogo ingawa ni nyembamba. Barabara za Rwanda ziko vizuri kwa viwango vyote vya kitaaluma, na kwa kiwango kikubwa ingawa ni finyu pia lakini, zinapata matunzo na maboresho..... Najiuliza, Tanzania tunakwama wapi?

Sitegemei kuiona Tanzania ikiorodheshwa kwenye ligi inayo angazia barabara bora Afrika Mashariki, achilia mbali barabara bora ndani ya bara Afrika.
 
Back
Top Bottom