Afrika: Nchi 10 zenye barabara nzuri Tanzania haimo, Hayati Magufuli alikuwa anafanya nini?

Afrika: Nchi 10 zenye barabara nzuri Tanzania haimo, Hayati Magufuli alikuwa anafanya nini?

Uliyemtaja ni awamu ya 5 ,umesema hajafanya kitu,hao wengine mbona huwazungumzii?Nchi ulizotaja hapo hizo barabara zilijengwa ndani ya awamu moja au mbili?Ujenzi wa nchi ni mchakato.Siyi jambo la kuamka na mtu mmoja ghafla tu na kutimiza.Sema chama Tawala kwa zaidi ya miaka 40 na awamu zaidi ya nne bado inasua sua katika ujenzi wa nchi kulinganisha na nchi nyingine Afrika.
Tukumbishe, tuna miaka mingapi tangu uhuru?
 
Kukosa kazi, maadili, ni pamoja na kukaa unaongelea vibaya uongozi wa hayati/ kiongozi aliyekwishafariki. Ili hali wewe inawezekana hata familia yako imekushinda, Takataka kabisa!
 
Tz barabara nyingi zinajengwa/zimejengwa chini ya kiwango

Ova
 
Namibia ina wakazi less than mil 2.6.
Miaka 25 iliyopita kutoka Mwanza mpaka Shinyanga ilikuwa siku nzima na kuna nyakati mnalala njiani.

Kutoka Dar mpaka Bukoba ililazimila mtu kupitia Kampala-Busia-Nairobi-Namanga-Arusha.

Kutoka Dar-Mwanza ililazimila kupitia Namanga-Arusha-Nairobi-Sirari-Tarime-Mwanza

Kutoka Mwanza-Singida ilochukua zaidi ya saa 14 (nimewahi kulala Singida mara 3 mwaka 2001) nikielekea Dar.

Kuna kazu kubwa imefanyika kuiunganisha Tanganyika kwa barabara.
Kama watu hawajaona kilochofanywa, basi huenda walikuwa chekechea wakati kazi zinafanyika.
Inawezekana kusiwa na kazi bora sana ukilinganisha na Namibia nchi yenye wakazi wachache kuliko baadhi ya mikoa ya Tz, ila itoshe kusema kuna kazi imefanyika.
 
Namibia ina wakazi less than mil 2.6.
Miaka 25 iliyopita kutoka Mwanza mpaka Shinyanga ilikuwa siku nzima na kuna nyakati mnalala njiani.

Kutoka Dar mpaka Bukoba ililazimila mtu kupitia Kampala-Busia-Nairobi-Namanga-Arusha.

Kutoka Dar-Mwanza ililazimila kupitia Namanga-Arusha-Nairobi-Sirari-Tarime-Mwanza

Kutoka Mwanza-Singida ilochukua zaidi ya saa 14 (nimewahi kulala Singida mara 3 mwaka 2001) nikielekea Dar.

Kuna kazu kubwa imefanyika kuiunganisha Tanganyika kwa barabara.
Kama watu hawajaona kilochofanywa, basi huenda walikuwa chekechea wakati kazi zinafanyika.
Inawezekana kusiwa na kazi bora sana ukilinganisha na Namibia nchi yenye wakazi wachache kuliko baadhi ya mikoa ya Tz, ila itoshe kusema kuna kazi imefanyika.
Utetezi maandazi huu
 
Mleta post mwenyewe ni CCM sema sio timu Magufuli.

Tanzania kwasasa hakuna upinzani wa vyama kama zamani.

Kwasasa kuna upinzani baina ya HAPAKAZI TU, na KAZI IENDELEE.

Mtoa post anaonekana ni timu KAZI IENDELEE!!!!!
Figaniga alikuwa Team Jiwe
 
Kenya tumewaacha mbali sana.. ninamashaka na mtoa takwimu

Naomba kujua source ya hii taarifa..

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Barabara zetu za mchina zinajengwa chini ya kiwango sana kwa sababu ya 10%+
Barabara iliyojengwa kwa viwango ni Makambako-Songea.
Hii ilijengwa kwa msaada wa Malkia wa Uingereza na akatuma kampuni toka UK iliyojulikana kwa jina la Baffo&Bitt international.
 
09 October 2022

Barabara zetu na usafiri DR Congo

South Kivu mjini Bukavu, Kamanyola Port of Uvira, Ngomo Road kuelekea nchi za Afrika Mashariki na Kusini kama Tanzania, Burundi and Rwanda

Source : Perfect Afrika
 
Ni ujinga kutumia takwimu mfu...pita kwa wananchi waulize watakupa jibu sahihi...Anza na uswahilini mnyamala,tandale na mbagala
 
Salaam Wakuu,
View attachment 2382228
Huwa nasikia watu wanamsifia Magufuli eti ni Baba wa Barabara/Mabarabara, hakutaka Demokrasa Nchini eti yeye ni Hapa kazi tu.

Lakini hakuna kazi hata moja alofanya inatambulika kwa watu wenye akili zao wanaojua nzuri na au maendeleo ni nini.
View attachment 2382234
Hayati Magufuli alivyokuwa anajisifia hadi kujiita Askari wa Mwamvuli kwa kufanya kazi ya barabara vizuri

Umasikini Ujinga na Maradhi; Kundi la Wajinga likapumbaza Taifa eti Hayati ni Mchapa kazi kajenga barabara, sijui Nchi iliibiwa sana hivyo kaongea na Barrick watalipa Kodi trilioni zaidi ya 347, huku bajeti ya nchi kwa mwaka ikiwa haifiki trilioni 40.

Haya mambo ya kumsifia hayati Magufuli tuwaachie Wananchi wa Chato japo hajawahi kuwa hata balozi wao wa nyumba kumi.

Mungu anajibu maombi.
View attachment 2382185
Top 11 African Countries With Quality Road🛣

1: Namibia🇳🇦 (score 5.2) world ranking 23

2: Egypt 🇪🇬(Score 5.0)world ranking 28

3: South Africa🇿🇦 (score 5.0) world ranking 29

4: Rwanda🇷🇼 (score 5.0) world ranking 31

5: Ivory Coast🇮🇪 (score 4.7) world ranking 42

6: Mauritius🇲🇺 (score 4.7) world ranking 44

7: Morocco🇲🇦 (score 4.4) world ranking 55

8: Kenya🇰🇪 (score 4.2) world ranking 61

9: Botswana🇧🇼 (score 4.1) world ranking 64

10: Cape Verde🇨🇻 (score 4.1) world ranking

11: Senegal🇸🇳 (score 4.0) world ranking 71

🌐Source: World Economic Forum’s Global Competitiveness Report Index
Wewe ni mbuzi tu Kenya hawatuzidi hata kidogo barabara za Nairobi zisikufanye kuwa Kenya wana barabara nzuri kuliko sisi.
 
Salaam Wakuu,
View attachment 2382228
Huwa nasikia watu wanamsifia Magufuli eti ni Baba wa Barabara/Mabarabara, hakutaka Demokrasa Nchini eti yeye ni Hapa kazi tu.

Lakini hakuna kazi hata moja alofanya inatambulika kwa watu wenye akili zao wanaojua nzuri na au maendeleo ni nini.
View attachment 2382234
Hayati Magufuli alivyokuwa anajisifia hadi kujiita Askari wa Mwamvuli kwa kufanya kazi ya barabara vizuri

Umasikini Ujinga na Maradhi; Kundi la Wajinga likapumbaza Taifa eti Hayati ni Mchapa kazi kajenga barabara, sijui Nchi iliibiwa sana hivyo kaongea na Barrick watalipa Kodi trilioni zaidi ya 347, huku bajeti ya nchi kwa mwaka ikiwa haifiki trilioni 40.

Haya mambo ya kumsifia hayati Magufuli tuwaachie Wananchi wa Chato japo hajawahi kuwa hata balozi wao wa nyumba kumi.

Mungu anajibu maombi.
View attachment 2382185
Top 11 African Countries With Quality Road[emoji922]

1: Namibia[emoji1176] (score 5.2) world ranking 23

2: Egypt [emoji1093](Score 5.0)world ranking 28

3: South Africa[emoji1221] (score 5.0) world ranking 29

4: Rwanda[emoji1206] (score 5.0) world ranking 31

5: Ivory Coast[emoji1132] (score 4.7) world ranking 42

6: Mauritius[emoji1164] (score 4.7) world ranking 44

7: Morocco[emoji1173] (score 4.4) world ranking 55

8: Kenya[emoji1139] (score 4.2) world ranking 61

9: Botswana[emoji1052] (score 4.1) world ranking 64

10: Cape Verde[emoji1065] (score 4.1) world ranking

11: Senegal[emoji1211] (score 4.0) world ranking 71

[emoji273]Source: World Economic Forum’s Global Competitiveness Report Index
Nyie ndo mna mimba ya magufuli Kwani Barabara zimeanza kujengwa enzi za magufuli?
 
Mleta mada ni mpumbavu unazungumzia ubora wa barabara kwa ujumla wa nchi ulizotaja, yet unasahau kuwa magufuli alidumu only five years shame on you dude.
 
Naona watu mna Mimba ya Magufuli.Mleta mada unahoja nzuri ulichokosea hapo ni kumuweka magufuli as if ndiye aliyewahi kuwa Rais pekee wa Tanzania.Imagine tena kakaa miaka mitano tu.sijui unamimba ya magufuli ya miezi mingapi
 
Hata sishangai kwa nyuzi za namna hii, watu wanatumwa na wanatumika. Lakini kumbukeni toilet paper inatumika mara moja tu ukishamaliza kuichambia hutupwa tena kwa kinyaa...
Nchi hii imekua na marais toka miaka ya 60, iweje asemwe rais aliyakaa only 5 years?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Nataka nifungue uzi kwa ajili yako mleta mada. Je. Wewe Mkuu tukupime katika lipi ili tujue Uwajibikaji wako.
 
Mshukuruni hata hapo alipotufikisha, wakati anaingia mabasi yalikuwa yanapitia Kenya kwenda mikoa ya nfnai ya nchi yetu au mlisha jjisahaulisha haya? Lakini ni yeye aliyesema tutaendesha taxi mpaka huko mikoa iliyokuwa inafikika kupitia nchi jirani...

Watu msio na aibu wala moral conscious...
Hiyo alisema akamaliza utekeleji ukawa 0 baada ya pale Kuna watu walipita kwenye hiyo Nafasi Shukuru kawambwa , na marehem Bazir, hao wote wamefanya kazi isipokua hawakuwa na uwezo wakuzitakaza kazi zao.
 
Back
Top Bottom