Afrika: Nchi 10 zenye barabara nzuri Tanzania haimo, Hayati Magufuli alikuwa anafanya nini?

Afrika: Nchi 10 zenye barabara nzuri Tanzania haimo, Hayati Magufuli alikuwa anafanya nini?

Salaam Wakuu,
View attachment 2382228
Huwa nasikia watu wanamsifia Magufuli eti ni Baba wa Barabara/Mabarabara, hakutaka Demokrasa Nchini eti yeye ni Hapa kazi tu.

Lakini hakuna kazi hata moja alofanya inatambulika kwa watu wenye akili zao wanaojua nzuri na au maendeleo ni nini.
View attachment 2382234
Hayati Magufuli alivyokuwa anajisifia hadi kujiita Askari wa Mwamvuli kwa kufanya kazi ya barabara vizuri

Umasikini Ujinga na Maradhi; Kundi la Wajinga likapumbaza Taifa eti Hayati ni Mchapa kazi kajenga barabara, sijui Nchi iliibiwa sana hivyo kaongea na Barrick watalipa Kodi trilioni zaidi ya 347, huku bajeti ya nchi kwa mwaka ikiwa haifiki trilioni 40.

Haya mambo ya kumsifia hayati Magufuli tuwaachie Wananchi wa Chato japo hajawahi kuwa hata balozi wao wa nyumba kumi.

Mungu anajibu maombi.
View attachment 2382185
Top 11 African Countries With Quality Road[emoji922]

1: Namibia[emoji1176] (score 5.2) world ranking 23

2: Egypt [emoji1093](Score 5.0)world ranking 28

3: South Africa[emoji1221] (score 5.0) world ranking 29

4: Rwanda[emoji1206] (score 5.0) world ranking 31

5: Ivory Coast[emoji1132] (score 4.7) world ranking 42

6: Mauritius[emoji1164] (score 4.7) world ranking 44

7: Morocco[emoji1173] (score 4.4) world ranking 55

8: Kenya[emoji1139] (score 4.2) world ranking 61

9: Botswana[emoji1052] (score 4.1) world ranking 64

10: Cape Verde[emoji1065] (score 4.1) world ranking

11: Senegal[emoji1211] (score 4.0) world ranking 71

[emoji273]Source: World Economic Forum’s Global Competitiveness Report Index
Kenya tumewaacha mbali sana.. ninamashaka na mtoa takwimu

Naomba kujua source ya hii taarifa..

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Mumuache mzee wa idadi ya mbuzi ng’ombe na samaki apumzike kwa amani
Raisi wa wanyonge na wazalendo alieiba na kuzurumu uchaguzi kwa kutumia jeshi la Tanzania tena watoto wa maskin walio weng
 
Salaam Wakuu,
View attachment 2382228
Huwa nasikia watu wanamsifia Magufuli eti ni Baba wa Barabara/Mabarabara, hakutaka Demokrasa Nchini eti yeye ni Hapa kazi tu.

Lakini hakuna kazi hata moja alofanya inatambulika kwa watu wenye akili zao wanaojua nzuri na au maendeleo ni nini.
View attachment 2382234
Hayati Magufuli alivyokuwa anajisifia hadi kujiita Askari wa Mwamvuli kwa kufanya kazi ya barabara vizuri

Umasikini Ujinga na Maradhi; Kundi la Wajinga likapumbaza Taifa eti Hayati ni Mchapa kazi kajenga barabara, sijui Nchi iliibiwa sana hivyo kaongea na Barrick watalipa Kodi trilioni zaidi ya 347, huku bajeti ya nchi kwa mwaka ikiwa haifiki trilioni 40.

Haya mambo ya kumsifia hayati Magufuli tuwaachie Wananchi wa Chato japo hajawahi kuwa hata balozi wao wa nyumba kumi.

Mungu anajibu maombi.
View attachment 2382185
Top 11 African Countries With Quality Road🛣

1: Namibia🇳🇦 (score 5.2) world ranking 23

2: Egypt 🇪🇬(Score 5.0)world ranking 28

3: South Africa🇿🇦 (score 5.0) world ranking 29

4: Rwanda🇷🇼 (score 5.0) world ranking 31

5: Ivory Coast🇮🇪 (score 4.7) world ranking 42

6: Mauritius🇲🇺 (score 4.7) world ranking 44

7: Morocco🇲🇦 (score 4.4) world ranking 55

8: Kenya🇰🇪 (score 4.2) world ranking 61

9: Botswana🇧🇼 (score 4.1) world ranking 64

10: Cape Verde🇨🇻 (score 4.1) world ranking

11: Senegal🇸🇳 (score 4.0) world ranking 71

🌐Source: World Economic Forum’s Global Competitiveness Report Index
Huna .maho ya kuona? Huwezi hata kulinganisha kipindi kabla hajawa waziri wa ujenzi na baada yake?

Andiko lako limeongozwa na chuki kuliko uhalisia au uwezo wako wa kupambanua mambo uko chini.

Kuna wakati nchi hii toka Dsm hadi Mikoa ya kusini watu walilala njiani kwa sababu barabara ya Rufiji haipotiki, watu walitegemea meli ambayo walipigana vikumbo kupata tiketi. Wale wa Kanda ya ziwa walilazimika kupitia Nzirobi na au Kampala ili tu kwenda, makwao. Naku.buka wakati anaanza alisema kuwa anataka ndani ya miaka mitano ijayo watu waweze kusafiri kwa teksi toka mtwara hadi mwanza na alichekwa kuwa ni kitu kisichowezelana lakini leo hii hiyo imewezekana.

Linganisha wakati anaanza Tanzania ilikuwa ya ngapi na sasa ni ya ngapi.
 
Orodha ilitakiwa ziwe Nchi 10 tu, wakatoa bonasi ya Nchi moja ziwe 11, bado Tanzania haimo. Tatizo ni nini?
Wakatoa kwa lengo gani?.. mbona kuna watanzania wengi sana mnakosa uzalendo laleq zenu hivi ushaenda kenya ukaona barabara zao.. sisi ya unatoka dsm mpaka kigoma lami tupu.. mpaka Mbeya.. Kagera Mwanza.. Kilimanjaro n.k nendeni mkajionee wenyewe huko Kenya alafu mrudi hapa kusoma huo uzi

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Mzee wa Chato kwake quantity ilikua inamfaa sana kuliko quality ndo maana barabara nyingi mpya zimeshachakaa.
 
Salaam Wakuu,
View attachment 2382228
Huwa nasikia watu wanamsifia Magufuli eti ni Baba wa Barabara/Mabarabara, hakutaka Demokrasa Nchini eti yeye ni Hapa kazi tu.

Lakini hakuna kazi hata moja alofanya inatambulika kwa watu wenye akili zao wanaojua nzuri na au maendeleo ni nini.
View attachment 2382234
Hayati Magufuli alivyokuwa anajisifia hadi kujiita Askari wa Mwamvuli kwa kufanya kazi ya barabara vizuri

Umasikini Ujinga na Maradhi; Kundi la Wajinga likapumbaza Taifa eti Hayati ni Mchapa kazi kajenga barabara, sijui Nchi iliibiwa sana hivyo kaongea na Barrick watalipa Kodi trilioni zaidi ya 347, huku bajeti ya nchi kwa mwaka ikiwa haifiki trilioni 40.

Haya mambo ya kumsifia hayati Magufuli tuwaachie Wananchi wa Chato japo hajawahi kuwa hata balozi wao wa nyumba kumi.

Mungu anajibu maombi.
View attachment 2382185
Top 11 African Countries With Quality Road🛣

1: Namibia🇳🇦 (score 5.2) world ranking 23

2: Egypt 🇪🇬(Score 5.0)world ranking 28

3: South Africa🇿🇦 (score 5.0) world ranking 29

4: Rwanda🇷🇼 (score 5.0) world ranking 31

5: Ivory Coast🇮🇪 (score 4.7) world ranking 42

6: Mauritius🇲🇺 (score 4.7) world ranking 44

7: Morocco🇲🇦 (score 4.4) world ranking 55

8: Kenya🇰🇪 (score 4.2) world ranking 61

9: Botswana🇧🇼 (score 4.1) world ranking 64

10: Cape Verde🇨🇻 (score 4.1) world ranking

11: Senegal🇸🇳 (score 4.0) world ranking 71

🌐Source: World Economic Forum’s Global Competitiveness Report Index
Hata top 20 Tanzania haiwezi kuwemo..

Mwendazake alikuwa anajenga esijiara 😁😁..

Hatuwezi kuwemo kwa sababu tunajenga vitu vya ajabu ajabu kwa gharama kubwa kama hili daraja la Ubungo limegharimu Bei kubwa na ni baya wakati Ghana limegharimu Bei nafuu na kali kuliko letu 👇
images.jpeg
images (1).jpeg
 
Salaam Wakuu,
View attachment 2382228
Huwa nasikia watu wanamsifia Magufuli eti ni Baba wa Barabara/Mabarabara, hakutaka Demokrasa Nchini eti yeye ni Hapa kazi tu.

Lakini hakuna kazi hata moja alofanya inatambulika kwa watu wenye akili zao wanaojua nzuri na au maendeleo ni nini.
View attachment 2382234
Hayati Magufuli alivyokuwa anajisifia hadi kujiita Askari wa Mwamvuli kwa kufanya kazi ya barabara vizuri

Umasikini Ujinga na Maradhi; Kundi la Wajinga likapumbaza Taifa eti Hayati ni Mchapa kazi kajenga barabara, sijui Nchi iliibiwa sana hivyo kaongea na Barrick watalipa Kodi trilioni zaidi ya 347, huku bajeti ya nchi kwa mwaka ikiwa haifiki trilioni 40.

Haya mambo ya kumsifia hayati Magufuli tuwaachie Wananchi wa Chato japo hajawahi kuwa hata balozi wao wa nyumba kumi.

Mungu anajibu maombi.
View attachment 2382185
Top 11 African Countries With Quality Road[emoji922]

1: Namibia[emoji1176] (score 5.2) world ranking 23

2: Egypt [emoji1093](Score 5.0)world ranking 28

3: South Africa[emoji1221] (score 5.0) world ranking 29

4: Rwanda[emoji1206] (score 5.0) world ranking 31

5: Ivory Coast[emoji1132] (score 4.7) world ranking 42

6: Mauritius[emoji1164] (score 4.7) world ranking 44

7: Morocco[emoji1173] (score 4.4) world ranking 55

8: Kenya[emoji1139] (score 4.2) world ranking 61

9: Botswana[emoji1052] (score 4.1) world ranking 64

10: Cape Verde[emoji1065] (score 4.1) world ranking

11: Senegal[emoji1211] (score 4.0) world ranking 71

[emoji273]Source: World Economic Forum’s Global Competitiveness Report Index
Tuanzie kwenye innovation..


Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Salaam Wakuu,
View attachment 2382228
Huwa nasikia watu wanamsifia Magufuli eti ni Baba wa Barabara/Mabarabara, hakutaka Demokrasa Nchini eti yeye ni Hapa kazi tu.

Lakini hakuna kazi hata moja alofanya inatambulika kwa watu wenye akili zao wanaojua nzuri na au maendeleo ni nini.
View attachment 2382234
Hayati Magufuli alivyokuwa anajisifia hadi kujiita Askari wa Mwamvuli kwa kufanya kazi ya barabara vizuri

Umasikini Ujinga na Maradhi; Kundi la Wajinga likapumbaza Taifa eti Hayati ni Mchapa kazi kajenga barabara, sijui Nchi iliibiwa sana hivyo kaongea na Barrick watalipa Kodi trilioni zaidi ya 347, huku bajeti ya nchi kwa mwaka ikiwa haifiki trilioni 40.

Haya mambo ya kumsifia hayati Magufuli tuwaachie Wananchi wa Chato japo hajawahi kuwa hata balozi wao wa nyumba kumi.

Mungu anajibu maombi.
View attachment 2382185
Top 11 African Countries With Quality Road[emoji922]

1: Namibia[emoji1176] (score 5.2) world ranking 23

2: Egypt [emoji1093](Score 5.0)world ranking 28

3: South Africa[emoji1221] (score 5.0) world ranking 29

4: Rwanda[emoji1206] (score 5.0) world ranking 31

5: Ivory Coast[emoji1132] (score 4.7) world ranking 42

6: Mauritius[emoji1164] (score 4.7) world ranking 44

7: Morocco[emoji1173] (score 4.4) world ranking 55

8: Kenya[emoji1139] (score 4.2) world ranking 61

9: Botswana[emoji1052] (score 4.1) world ranking 64

10: Cape Verde[emoji1065] (score 4.1) world ranking

11: Senegal[emoji1211] (score 4.0) world ranking 71

[emoji273]Source: World Economic Forum’s Global Competitiveness Report Index
Muulize mama yako
 
Salaam Wakuu,
View attachment 2382228
Huwa nasikia watu wanamsifia Magufuli eti ni Baba wa Barabara/Mabarabara, hakutaka Demokrasa Nchini eti yeye ni Hapa kazi tu.

Lakini hakuna kazi hata moja alofanya inatambulika kwa watu wenye akili zao wanaojua nzuri na au maendeleo ni nini.
View attachment 2382234
Hayati Magufuli alivyokuwa anajisifia hadi kujiita Askari wa Mwamvuli kwa kufanya kazi ya barabara vizuri

Umasikini Ujinga na Maradhi; Kundi la Wajinga likapumbaza Taifa eti Hayati ni Mchapa kazi kajenga barabara, sijui Nchi iliibiwa sana hivyo kaongea na Barrick watalipa Kodi trilioni zaidi ya 347, huku bajeti ya nchi kwa mwaka ikiwa haifiki trilioni 40.

Haya mambo ya kumsifia hayati Magufuli tuwaachie Wananchi wa Chato japo hajawahi kuwa hata balozi wao wa nyumba kumi.

Mungu anajibu maombi.
View attachment 2382185
Top 11 African Countries With Quality Road[emoji922]

1: Namibia[emoji1176] (score 5.2) world ranking 23

2: Egypt [emoji1093](Score 5.0)world ranking 28

3: South Africa[emoji1221] (score 5.0) world ranking 29

4: Rwanda[emoji1206] (score 5.0) world ranking 31

5: Ivory Coast[emoji1132] (score 4.7) world ranking 42

6: Mauritius[emoji1164] (score 4.7) world ranking 44

7: Morocco[emoji1173] (score 4.4) world ranking 55

8: Kenya[emoji1139] (score 4.2) world ranking 61

9: Botswana[emoji1052] (score 4.1) world ranking 64

10: Cape Verde[emoji1065] (score 4.1) world ranking

11: Senegal[emoji1211] (score 4.0) world ranking 71

[emoji273]Source: World Economic Forum’s Global Competitiveness Report Index

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Kila awamu ingefanya katika kiwango hichi

kila awamu ingefanya kwa aslimia hizi tungekuwa mbali sana.Naona kuna watu hawaoni kabisa juhudi zilozofanywa na JPM,Tupongeze na wengine wenye moyo huo wakija wafanye mengine zaidi.Tunachotaka wananchi ni maendeleo yanayoonekana na yanaisaidia jamii.
Awamu iliyojenga barabara kwa wingi ni kipindi cha Kikwete na sio Magufuli
 
Huna .maho ya kuona? Huwezi hata kulinganisha kipindi kabla hajawa waziri wa ujenzi na baada yake?

Andiko lako limeongozwa na chuki kuliko uhalisia au uwezo wako wa kupambanua mambo uko chini.

Kuna wakati nchi hii toka Dsm hadi Mikoa ya kusini watu walilala njiani kwa sababu barabara ya Rufiji haipotiki, watu walitegemea meli ambayo walipigana vikumbo kupata tiketi. Wale wa Kanda ya ziwa walilazimika kupitia Nzirobi na au Kampala ili tu kwenda, makwao. Naku.buka wakati anaanza alisema kuwa anataka ndani ya miaka mitano ijayo watu waweze kusafiri kwa teksi toka mtwara hadi mwanza na alichekwa kuwa ni kitu kisichowezelana lakini leo hii hiyo imewezekana.

Linganisha wakati anaanza Tanzania ilikuwa ya ngapi na sasa ni ya ngapi.
Wakati huo unaosema Rais ni Kikwete na sio Magufuli na aliesema tutatoka Mwanza mpaka Mtwara ni Kikwete sasa sifa au lawama anastahili Kikwete na sio Magufuli
 
Wakati huo unaosema Rais ni Kikwete na sio Magufuli na aliesema tutatoka Mwanza mpaka Mtwara ni Kikwete sasa sifa au lawama anastahili Kikwete na sio Magufuli
Hii sentensi uliyoiandika inathibitisha chuki yako dhidi ya Magufuli, unakataa hata ukweli wa kihistoria! Pengine labda ulikuwa mtoto aliyetamka kuwa watu watasafidi kwa teksi ni Magufuli sio Kikwete. Pili ujenzi wa barabara kwa mtindo huu uliasisiwa wakati wa Mkapa na waziri wake wa ujenzi alikuwa .Magufuli. Mzgufuli ndiye aliyeanzisha kujenga barabara kwa kutegemea pesa zetu za ndani kwa kupitia tozo ya mafuta .
 
Kwa maana ya quality roads, Tanzania haiwezi kuingia kabisa. Hizi barabara zinazojengwa na Wachina zinazojaa mashimo baada ya mwaka mmoja (nyingine chini ya miezi 6), utaziingiza kwenye quality roads?

Barabara ambayo angalao ilikuwa na kiwango cha juu ni ile iliyojengwa na Denmark (Mikumi to Mafinga) lakini baadaye tena imekuja kuharibiwa kwa kuweka matuta. Uliona wapi highway inakuwa na matuta?

Hizo nchi zote na baadhi ambazo hazimo kwenye hizo 10 best, mijini wana flyovers hasa, siyo yale madaraja yetu ya Ubungo na TAZARA ambayo ukiwa kwenye barabara moja huwezi kubadili kwenda barabara nyingine.

SHIDA YA CHAWA, MAFANIKIO KIDOGO, SIFA INAKUWA KAMA VILE SISI TUMEFANYA MAMBO YA AJABU KULIKO DUNIA NZIMA. TANZANIA KATIKA MAMBO MENGI, BADO TUPO NYUMA.
👍👍🙏
 
Ahsante kwa taarifa, siyo wote lazima tufanane...
 
Wakati wenzetu china wanatuzidi maendeleo , sisi tunawazidi democrasia na uhuru wa kutoa mawazo ambayo wengine pia wana uhuru wa kuyapinga
 
Sasa Sisi ni wangapi ?.
Bwana yuleeee alikuwa mwongo kweri kweri.
Wakati wa Mwendazake Barabara za Tanzania zikuwa Bora kuliko barabara zote hapa Duniani. Akili ya Mwendazake ndo ilikuwa Akili ya kila Mtanzani ukibisha kuwa Tanzania ndo yenye barabara Nzuri kuliko nchi zote Duniani ilikuwa kujitafitia Matatizo ya bure bure na watu Wasiojulikana!
 
Mzee wa Chato kwake quantity ilikua inamfaa sana kuliko quality ndo maana barabara nyingi mpya zimeshachakaa.
Mfano ipi mkuu...njoo makumbusho,tandale,sinza,yombo huku uone mikeka ilivyonyooka alafu kishimo cha kuokoteza hakuna.
 
Alikuwa mtu wa kutumwa na akatumika kwa usahihi na kwa kujitoa hata baada ya yeye kushika hatamu akaendeleza na kufanya mazuri aliyojifunza alipokuwa wa kutumwa Juhudi alizozionyesha alipokuwa akitumwa ndo hizo zilifanya apewe dhamana kubwa zaidi.Kila anayetumwa kutumikia wananchi afanye kwa kiwango cha juu ili nchi ipige hatua.kila awamu ikifanya hivyo basi baada ya miaka 10 tutakuwa tumepanda kwenye orodha.
Laiti tungejifunza hili, tungesaidika kama nchi, lakini tumetawaliwa na ubinafsi na umimi mwingi, uswahili katika picha yake kamili!
 
Back
Top Bottom