makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Population kubwa ya Afrika iko vijijini siyo "miji iliyochangamka." na hata hiyo miji unayosema utakuta watua wanshindia chips, mayai, soda na kijiweni; utakosa vipi kisukari kama maisha yako ndiyo hayo?Basi ni kijijini kwelikweli.
Miji iliyochangamka ndo ina hii changamoto, sasa huko ndichi hata kiepe ni anasa, chakula kila nyumba inajipikia chake local kabisa.
Maduka yanauza viberiti na chumvi, tatizo ni maskini wa mijini mkuu, tuvitu vitu twa barabarani ni sh 100, 200 mpaka buku, unapata shingo miguu kwa jero + ndizi za kukaanga.
assume umekula ubwabwa wako ama ugali wa kutosha, unapoenda kufanya mazoezi ile energy ya carbohydrate itatumika na Mwili hautatengeneza mafuta ya ziada.Mkuu, naomba uhusiano wa kisukari na mazoezi. Kuna kitu nataka kujifunza.
Shukrani kwa maelezo yako mujarabu. Kwenye hiyo paragraph ya mwisho, umenipa jibu la swali ambalo nilikuwa nimejiandaa kuliuliza. Thanks Chief 👊Kwa sababu sukari inalundikana ndani ya damu kupitia kiasi kwa hiyo ile mishipa ya damu diameter yake inakuwa ndogo (narrowing of blood vessels) ,pia inapelekea mishipa ya damu kukakamaa hivyo inashindwa kusinyaa na kutanuka.
Uharibifu huu wa mishipa ya damu unatokea mwili mzima kwa hiyo kuna kuwa na poor blood flow , na ili mtu aweze kusimamisha lazima kuwe mtiriko mzuri wa damu kwenye uume, mtiririko mbovu wa damu unapeleka mtu kushindwa kusimamisha kwa sababu kuu ndio hiyo niliyokwambia kuna kuwa na damage ya blood vessela hivyo inapelekea kuwa na poor blood flow.
Blood vessels za kwenye macho pia zikiharibika zinapelekea upofu wa macho (diabetic retinopathy).
Kwa kifupi kisukari kina madhara mengi mno na kinapelekea kuua ogani nyingi kufeli na pia kina shusha Kinga ya mwili ndio maana mtu akipata kidonda kupona inakuwa ni tabu mno kwa sababu ya hiyo immunodeficiency.
Karibu.Shukrani kwa maelezo yako mujarabu. Kwenye hiyo paragraph ya mwisho, umenipa jibu la swali ambalo nilikuwa nimejiandaa kuliuliza. Thanks Chief 👊
Kweli kabisa mkuu hii nchi kuna mda nikiiwaza naona kabisa ni kama sisi kwa dunia ni zile grade za mwisho mwisho [emoji1787][emoji1787]Hizi wanga wanazozidis ndo vyakula vya bei chee.
Matunda ni ya wenye kipato cha ziada, matunda kibongo bongo hasa mkoa uliojaa mafukara kama dsm, matunda ni anasa labda uwe karibu na soko au unfanya kazi humo sokoni.
Chipsi hata za buku unapata, nguna buku, wali buku, pilau buku.
Matunda bei imechangamka, mtu wa kipato kidogo hata mtumishi anaelipwa below 500k sio rahisi kuafford mlo na tunda kwa mwezi mzima. Tunda na msosi bei inaweza kulingana si hasara hiyo [emoji23].
Tatizo ni kweli ni elimu ya lishe ila hata hiyo elimu ikitolewa na kueleweka ndo italeta shida zaidi ya vitu kupanda bei, na pia wadau kutoafford.
Tuendako hali ni mbaya zaidi ya hii.
Ndo ivo, yaani huku ukiumwa kwa wengine ni kicheko maana watakuvuna vilivyo.Kweli kabisa mkuu hii nchi kuna mda nikiiwaza naona kabisa ni kama sisi kwa dunia ni zile grade za mwisho mwisho [emoji1787][emoji1787]
Kwanza ni kujua kisukari kinaletwa na nini nipo jibu linapatikanaAfrika watu wanafanya kazi ngumu sana lakini bado kisukari ni tishio, nilikuwa Dodoma kukawa na upimaji wa Bure Cha kushangaza vijana below 40 wengi tu wana sukari.
Nikazama gugo kudadisi statistics zinatisha watu jamii ya black race wapo kwenye risky ya kupata kisukari ukilinganisha na wazungu.
Nikasikitika sana kwani nilijua kazi ngumu ni mbadala wa mazoezi.
Hizi data kwa picha zunainesha Tanzania ni namba 4 kwa wingi wa wa wagonjwa wa kisukari Africa.
Mkuuu, umemaliza. Ngozi nyeusi na kiasi ni mbingu na ardhiLife style ndo inachangia hizo zingine zinaweza kuwa sababu za kijenetiki.
Unaweza kuwa hard worker Ila lifestyle ikakuangusha na hii ndo huwapata Africa.
MTU mweusi neno kiasi huwa halielewi
Kama ni kula anakomoa
Ngono anakomoa
Kila kitu anakomoa so hawezi kuwa safe .
Nimeona wachangiaj wengi wamejitaid kuelezea kuhusu kisukari ila mim nafikir kisukari kinasababishwa na hitilafu kwenye kongosho ,pia na ulaj mbovu unakuta mtu anakula vyakula ambavyo sio rafiki sana Kwa mfano anakula mara Kwa mara nyama nyekundu,soda Kwa wingi,chips ,bia na vinywaj vyenye sukar sana,kumbuka mtu huyu anapofanya hivyo hata kama atafanya mazoez inakuwa Kaz Bure,pia nimeona Kuna tiba yenye seli(stem cell) imewasaidia watu wengi wenye changamoto ya kisukari ikiwemo kubust immunity na kutibu hitilafu ya kongosho,na nimeona wengi wameondokana na maradhi haya hatari maana kisukari ni ndg yake na presha,na utakuta mtu mwenye presha (high blood pressure)yupo kwenye risk ya kupata kisukari.Kwa ufupi haya maradhi ni hatari na yanaua haraka sana,yanasababisha upofu ,uanith ,uharibifu wa Figo ,in na viungo vingine vya mwili,kinachotakiwa ni kuchukua hatua haraka sanaKwanza ni kujua kisukari kinaletwa na nini nipo jibu linapatikana
Afrika watu wanafanya kazi ngumu sana lakini bado kisukari ni tishio, nilikuwa Dodoma kukawa na upimaji wa Bure Cha kushangaza vijana below 40 wengi tu wana sukari.
Kabisa mkuu upo sahihi.Sema vyakula vya wanga mkuu. Sisi tunatumia sana nafaka zenye carbohydrates sana kama mahindi na mchele na ngano. Hili lina mchango mkubwa sana kwenye gonjwa la sukari.
Ukifanya mazoezini au kazi ngumu unaunguza au kutumia sukari nyingi kama energy.Mkuu, naomba uhusiano wa kisukari na mazoezi. Kuna kitu nataka kujifunza.
Sukari ina uhusiano mkubwa sana na upofu pamoja na urijali,Kisukari na kudindisha vinahusiana vipi Mzee? Au huo upofu?
Sio kweli hakuja watu wanakula vitu vyenye sukari kama wazungu, kinachowasaidia wazungu ni huduma za afya zipo bora pia tamaduni ya upimaji wa afya mara kwa maraMfumo wa maisha maana afrika watu wanapenda sana vitu vitam