Nimeona wachangiaj wengi wamejitaid kuelezea kuhusu kisukari ila mim nafikir kisukari kinasababishwa na hitilafu kwenye kongosho ,pia na ulaj mbovu unakuta mtu anakula vyakula ambavyo sio rafiki sana Kwa mfano anakula mara Kwa mara nyama nyekundu,soda Kwa wingi,chips ,bia na vinywaj vyenye sukar sana,kumbuka mtu huyu anapofanya hivyo hata kama atafanya mazoez inakuwa Kaz Bure,pia nimeona Kuna tiba yenye seli(stem cell) imewasaidia watu wengi wenye changamoto ya kisukari ikiwemo kubust immunity na kutibu hitilafu ya kongosho,na nimeona wengi wameondokana na maradhi haya hatari maana kisukari ni ndg yake na presha,na utakuta mtu mwenye presha (high blood pressure)yupo kwenye risk ya kupata kisukari.Kwa ufupi haya maradhi ni hatari na yanaua haraka sana,yanasababisha upofu ,uanith ,uharibifu wa Figo ,in na viungo vingine vya mwili,kinachotakiwa ni kuchukua hatua haraka sana