The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Ndoto za njaa tuuNikiwa Rais naondoa huu upuuzi wa magari..kila mtu ajinunulie gari lake au adandie daladala..
Mbona wafanyakazi wengine wanatumia gharama zao kufika maeneo yao ya kazi?.
Gari zitakuwa chache tu na zitakuwa hazina mwenyewe..ukitokea uhitaji wa kusafiri kikazi ndo utatumika tu and not otherwise.
Yule wa korona aliyaondoa?Bahati nzuri utakuwa raisi ambaye atahudumu kwa muda mfupi mno. 🤣🤣🤣 Kabla Corona ya mchongo haijalala mbele na wewe.
Hivi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma anaitwa nani ?Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Nitashukuru kama nitaonyesjwa invoice ya bei ya gari hiyoMtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Unajua gari alizokuwa anatumia kipindi kile zilikuwa Aina gani na ulaji wake Wa mafuta ukokuaje? Au unapayuka tuuKwenye taifa lililojaa vijana wasiokuwa na ajira rasmi na umasikini wa kutupwa?kwani kipindi kile Mwalimu anatawala kiwanda cha Marcedes Benz kilikuwa bado hakijafunguliwa ili Mwalimu ale Bata na Mawaziri na RCs wake waote!
Huwa nawaza hivi hizi pesa tungezielekeza kwenye Kilimo kupitia Magereza na JKT wqkishirikiana na SUA si tungekuwa mbali sana kwa kulisha Afrika na Dunia.
Kaka Pascal tumepotea sana Tanzania au ndiyo Mungu anatuonesha watesi wetu kwa vitendo!
Pambana mkuu utakifikia kibobo Cha asali uanze kulambaYes kama una uwezo wa kulipa, kopa tuu, why not?.
P
Hakuna raha hapo,Ni gari ya Kiongozi hiyo hata wewe siku ukiwa Kiongozi utaikutaNi sahihi kabisa ila Mungu hakuwa na kusudi watu wale raha kwa hela haramu ufisadi au kodi za wananchi masikini. Pata raha kwa jasho lako.
Katiba mpya ndio inasema Serikali usinunue gari? 🤣🤣🤣🤣🤣.Kiukweli katiba mpya inatakiwa ujinga wa namna hii uishe nchi inamatatizo kibao lakini wao wanaona raha kutembelea gari za milioni 600? Kiukweli ccm wanatakiwa wapumzishwe!
Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Kumbe una kichwa Hakina akili za deep thinking and rationalize issuesKama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Umejibu kisomi sanaNi sahihi kabisa ila Mungu hakuwa na kusudi watu wale raha kwa hela haramu ufisadi au kodi za wananchi masikini. Pata raha kwa jasho lako.
Comfortable kwakuwa wenzako wanaopanda treni la TRC hawafai kuwa comfortable? Kwani pickup Hilux haliko comfortable?Huwa tunawapiga picha na haya magari wakiwa mjini.
Lakini kiuhalisia uwe mkuu wa mkoa Ruvuma halafu uanze ziara za Nantumbo huko sijui wilaya gani nyingine ambazo miundombinu ya barabara ovyo. Mara umeitwa Dodoma utoke Mwanza usiku wa manane
Au ziara za mawaziri mikoani sehemu zingine mapori, milima, upite kwenye mto; mjomba kama unatumia gari ‘tia maji, tia maji’ kila siku unabadili shock absorbers au unajikuta unatafuta fundi gari maporini na awepo huyo fundi mwenyewe.
Jumlisha na shughuli ya kushinda njiani siku kadhaa au week, surely unahitaji gari comfortable kidogo.
Binafsi sikubaliani na matumizi mengi ya ovyo ila kwenye magari naona logic yake, it is justified.
Unaumia nini? Kodi umetoa kiasi gani tukurudishieMtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Mkuu Jasho lake amelitoa kupata hio nafasi ya kuwa RC, so hilo chuma la 600m ndio moja ya matunda ya Jasho lake..
Waasia wako classified as 'yellow' - Korea, Japan, China....; au brown (Indians, Arabs, Philippinos...)Wao wako kwenye group la mwarabu.
Watu wa Asia wote nimewatumbukiza humo kwa mwarabu
Ukiona mtu anapenda vilivonnje ya uwezo wake then ujue anamatatizo makubwaMtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Unaumia nn?, Halafu maskini toka lini analipa Kodi, msituchosheKama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P