Patrick Girigo
Member
- May 30, 2020
- 68
- 108
Mtu wa kawaida kumwelewa Pascal Mayala sio rahisi ila wale ambao ni gifted wanampata sawa sawa kabisa. Kwenye elementary of economics kuna dhana 2 za muhimu sana, Rsource are always scarce but needs are unlimited halafu kuna opportunity Cost-the forgone choice. Sasa sijui kama Pascal alimaanisha kwamba kwamba sisi hizi kanuni tumeshazifikia au laKama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Kamjamaa kapumbafu tuUnapenda sana kujitoa ufahamu.
Zamu yenu hii wakina jumaUnaumia nn?, Halafu maskini toka lini analipa Kodi, msituchoshe
Wanasiasa wetu,anampinga Magufuli kukopa anakuja kumuunga Samia kukopa!Nimepiga mahesabu,Ya TOZO zetu nikasema kweli TOZO ni tamu sana.
Utakufa weye sheikh wanguWho cares? Kafie mbele
P are you okay?Yes kama una uwezo wa kulipa, kopa tuu, why not?.
P
Kajizima dataP are you okay?
Chawa huyo anatafutq teuziP are you okay?
Wee Mpumbavu tuu.Uchangiaji wako umemlenga Magufuli kwa kiasi kikubwa, pathetic, the man has gone
I know p is a good manChawa huyo anatafutq teuzi
Una mawazo makubwa sana kaka! Mungu akubariki, akuongoze, akulinde na akuzidishie.Huwa nawaza hivi hizi pesa tungezielekeza kwenye Kilimo kupitia Magereza na JKT wqkishirikiana na SUA si tungekuwa mbali sana kwa kulisha Afrika na Dunia.
Kaka Pascal tumepotea sana Tanzania au ndiyo Mungu anatuonesha watesi wetu kwa vitendo!
Ukiwa unaona mambo yasiyo faa na ambayo huwezi kuyatatua katika mazingira yake, then unaweza kuweka comment kama hiyo apo juu.Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Chameleon labda awe sarcasticI know p is a good man
matumizi wa fedha ndo main point,RC hata Land cruiser hard top inamfaa.izo V8 hata kuzihudumia(service)pia ni gharama kubwa.Ninachojua hilo gari la serikali unaonyesha kumshambulia RC kana kwamba ni lake wakati akikoma kuwa rc analiacha serkalini.Hii Roho ya kushambulia viongozi bila Elimu mnapata wapi?
OkayMtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044