Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magu hakuwahi kuingiza magari namna hii.Huu upuuzi ulianza enzi za JK, ukakua zaidi kipindi cha Jiwe na sasa unaendelea.
Usimwamini Mwafrika ndugu.
Magufuli kwenye kampeni 2015 alisema ataondoa ma V8 na alipoingia ndiye aliyebariki mpaka ma DAS kuanza kutembelea ma V8.
Mungu-Mzungu-mwarabu-mwafrika-Sokwe
Punda ulikuwa usafiri wa Kimaskini. Kama huelewi. Farasi ndo ulikuwa usafiri wa kifahari. Taja mfalme ambaye alikuwa anapanda punda. Yesu alidharaulika kwa sababu hiyo pia. Tena alipanda mwana punda. Alipanda Vitz. Nyie hamsomi BibliaPaskali hata bwana Yesu alipo hitaji usafiri alipelekewa punda-V8 ya wakati ule
Ile picha ya yule DAS iliishia wapi?Hivi unaakili kweli, ninani aliyemfukuza kazi das wa geita kwa kuwa na gari la bei kubwa
Pole sanaPascal siyo yule wa kuheshimiwa wa enzi hizo yaani nimeangalia comments zake kwa hoja hii nimesikitika moyoni
Ukiwa na viongozi wa nchi wenye maono na wanajitambua , ujinga wa namna hiyo hauwezi kutokea!Wacha halafu unaambiwa kuna uhaba wa madarasa
Wanataka kumsikia Lungu aliyefukia magari aridhini kuyaficha baada ya kushindwa uchaguzi? Acha uongo Hichilema is very popular in Zambia kwasababu sio mwizi!Hichilema huko Zambia hawataki kumsikia
We mzee sometimes huwa unakuwa bwege sana.Yes kama una uwezo wa kulipa, kopa tuu, why not?
P
Mh.Rais ametuonesha thamani ya m600 ilivyo,kwa hiyo m600 unajenga kituo kipya cha afya,unaanzisha shule mpyaKama hizo fedha zipo, why not?
With all due respect Pascal 600 M for one car[emoji15] let's check out the reality HIYO HELA HAKUNA. Piga mahesabu kuanzia DC, wabunge na wengineo wakitumia GXR bajeti tunayospendi kwenye magari KIASI Gani?
I saw an article from the Citizen where Tanzania is one amoung the countries which spend a lot of money for buying expensive cars to government officials.
Hichilema anayesafiri kila uchwao? Sio Lazima wamkumbuke Lungu Ila Wazambia wanatafuta Mbadala wa HichilemaWanataka kumsikia Lungu aliyefukia magari aridhini kuyaficha baada ya kushindwa uchaguzi? Acha uongo Hichilema is very popular in Zambia kwasababu sio mwizi!
Ni sawa kwakuwa wanachi kama wa Morogoro wanataka Gari la kuzikiwa ambalo abood kishatoa, menas kila kitu wameridhka.Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476044
Ndio,bado wakurugenzi na wakuu wa mashirika.Huyo ni RC tu😢
AsanteNdio,bado wakurugenzi na wakuu wa mashirika.
Asante. Maoni yako yamepokelewa kikamilifuI think sababu ya kununua gari la 600M ni uimara na ubora wa gari. So usicomplicate bro.. kila mbuzi hula kulingana na urefu wa kamba yake.. but kuna wengine kamba zilishakatika kitambo
Serikali ya CCM imetufikisha mahali pabaya sana. Ni lini watanzania tutaamka na kumtoa huyu mbwa madarakani asiendelee kuchezea kodi zetu kwa mambo ya kipimbi kama haya?Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476044