SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
- Thread starter
-
- #201
Usilaumu rangi Sasa...hamna tofauti ya ubongo wa mwafrika na MhindiLazima tutofautiane:-
kuna kuku wa kienyeji na kuku wa kisasa, lakini wote ni kuku; ingawa wanatofautiana namna ya kuishi, kufikiri, kujilinda n.k Kuna ng'ombe wa kienyeji na ng'ombe wa kisasa, lakini wote ni ng'ombe; ingawa wanatofautiana namna ya kuishi, kufikiri, n.k Hivyo hivyo, kuna binadamu weusi, weupe n.k, lakini wote ni binadamu; ingawa wanatofautiana namna ya kuishi, kufikiri, kujilinda n.kKwa hiyo hakuna wakumlaumu; uwezo wetu wa kufikiria ndio umeishia pale
Tupange mkuunilisoma history ya Singapore, hatari sana
Asa...huoni kwamba tungenyanyaswa...ukoloni sio kitu kizuri tafuta watu wazima walioshi kipindi hicho watakuelezea.Wazungu walipaswa endelea baki hadi tujitambue, sababu tayari tulikuwa huru tungeishi nao
🤣Wanaombea corona iondoke au sio ..Dini ni utumwa wa fikra kwa waafrika wengi.
Badala ya kufanya kazi wana amini eti Mungu atatenda, Mungu ata saidia au kwamba kuna kudra za mwenyezi Mungu.
Kitu ambacho hakipo.
Viongozi wa serikali badala ya kuwa jibika ipasavyo, Wana omba eti viongozi wa dini wawa ombee na kuombea taifa!!!!
This kind of Mentality, ndizo zina zalisha viongozi wa hovyo na wabovu.
Unanyanyaswa vp wakati we tayari una uhuru?Asa...huoni kwamba tungenyanyaswa...ukoloni sio kitu kizuri tafuta watu wazima walioshi kipindi hicho watakuelezea.
Wavivu kwanzia kifikra mpaka kimaendeleoCorruption na uvivu. Nikiwaambia waafrika sisi ni wavivu namaanisha ni wavivu. Kama watanzania ndiyo komesha.
Sijawahi ndo maana naulizaUnataka uendelee kama watu wa Asia una spirit kama ya watu wa Asia ?
Umewahi fanya kazi na Wachina, Wajapan, Wakorea na Wahindi ?
Ukisema rangi unakua unakosea so unamaanisha tujichubue au...hio sio sababu .coz hamna tofauti ya ubongo wa mtu mweusi na mweupeRangi ndio tatizo
Tofauti ipo, ndio maana dunia ina vitu viwili viwili; angalia nchi zote zenye waafrika, iwe Haiti, Guyana, nchi za kiafrika n.k matatizo yetu yanafanana fanana.Usilaumu rangi Sasa...hamna tofauti ya ubongo wa mwafrika na Mhindi
Mafuta bro...kabla ya hapo Saudi palikuwa kama sumbawanga tuMbona uarabuni kama Saudi Arabia wanaendekeza sana dini tena kwa siasa kali lakini wameweza kuwaendeleza raia wao?
Kwani kujichubua ndio kutabadili vinasaba?Ukisema rangi unakua unakosea so unamaanisha tujichubue au...hio sio sababu .coz hamna tofauti ya ubongo wa mtu mweusi na mweupe
Haha alafu yeye anafaidika Nini...🤣au ndo kama kocha wa Tanzania ila mgerumaniWaafrika ni wabishi, wavivu halafu ni wezi sana. Kuna kitu tunaita ''ujanja'' lakini kumbe ni upumbavu. Mtu corrupt anaitwa mjanja. Mimi ningefurahi sana kama tungeajiri viongozi wetu kuitoka nchi zilizoendelea. Urais ufanyiwe usaili, tuchague mmoja kutoka eg Sweden, tumuombe aje na timu ya mawaziri na nafasi nyingine nyeti waje kutuongoza.
Very trueMBS kila siku anapunguza makali ya dini huko Saudia.
Kiuhalisia dini haiathiri maendeleo ila kuendekeza sana dini ndiko kuna athiri maendeleo.
Bana ..🤣ushazingua. Usiseme rangi...mi spendi ukisema rangi unakuwa husaidii ni sawa na kusema tumeshindikana which is not trueTatizo ni kwamba maoni haya ya kuisaidia Afrika yamezungumzwa sana, yana zungumzwa sana kila mara na watu mbalimbali, Lakini Nothing happens.
Kina profesa Lumumba na watu wengine wengi wamesha toa semina sana, piga kelele sana za kuwahimiza viongozi wa Afrika kubadilika, wamehubiri vya kutosha kuhusu kuibadili Afrika iwe ya maendeleo, Lakini Hakuna hata dalili ya kubadilika.
Utofauti wa mwafrika na nyumbu ni mdogo sana.
Labda kama Evolution ina endelea waafrika wanaweza kubadilika na kuwa binadamu kamili.
Lakini ni kama vile waafrika ni "incomplete human beings"
Ndio maana yule balozi wa Romania nchini Kenya ali wafananisha waafrika na Tumbili.View attachment 2731601
Alright I'll read itMkuu,
Hata kwenye conspiracy theories, watu huwa wanatia chumvi habari yenye kiini fulani cha ukweli.
Ni vigumu sana kuanzisha conspiracy theory out of the blue.
Ukisoma ripoti hii ya Department of Justice ya USA (ambayo iko biased kutetea serikali) utaona wanasema kuna habari zimetiwa chumvi, lakini utaona pia kuwa kuna kiini kikubwa cha ukweli kufanya hiyo habari kutiwa chumvi.
It can be confusing kwa sababu mara nyingine kuna tatizo la definition na makosa ya omission na commission.
Ya nidhamu ya uoga kutokana na tamaduni zetu na fikra zetuSababu kubwa ni uchu wa viongozi na akili finyu bila kusahau nidhamu ya uoga TZ included as the first
Hawajaendelea waleTuige North Korea. Wauwawe kwa kupigwa bomu kifuani.
Hamna tofauti ya ubongo wa mwafrika na mzungu bana...msiseme hivi mnakuwa hamsolve chochote zaidi ya kukatisha tamaaBrain au IQ za watu weusi zipo kidogo kulinganisha na watu weupe. Na Afrika tunakumbatia ujinga.
🤣Jamani wakikuskia wenyewe mi simoBandari ya Dar es salaam hata isingekuwepo kusimgezuia nchi zote landlocked zinazotuzunguka zisipate mizigo kwa Bei rahisi.
It's not that special, ni makelele tu.
Hahaha Ila wazee wanasema ukoloni ulikuwa jauUnanyanyaswa vp wakati we tayari una uhuru?
Kwani walipoondoka mmefaidi kipi