Kunakuwa na chombo cha kusimamia organs kama Takukuru.Nani atashika hio laws Sasa wakat hao watunza laws ndio corrupt wakubwa.
Unakamatwa na rushwa Takukuru unawapa rushwa mambo yanaisha.
Jela utakaa kama huna pesa
Ukiiba bilioni 10 unatoa milion 500 police,DPP,Hakimu wanagawana.
Kisha unachagua hukumu kuadaa umma.
Faini milioni 90 au jela miaka 3.
Miaka ya 80 palikuwa na wahasibu ndugu waliiba Hela makusudi wakazificha hawakukimbia makusudi ili wakamatwe wakaenda jela hukumu ikatoka wakaamua kuhukumiwa miaka 5 jela ili wakitoka wakafanye biashara na ndivyo walivyofanya wakawa wafanyabishara wakubwa tu
Sio kwa bongo hii. Huku suluhu ni kupelekana ahera tu.Sawa..Ila sisi ni watu wa 21st century tunaelimu hatuwezi tesana hivyo....okay corruption solution yake ni good laws na prison...coz wazungu wanafanya hivi na wanaendelea
Maombi yanataka imani ili yafanye kazi sasa mtu anaiba ili akamuhonge malaya au kufeera mashoga. Huyo maombi yatasaidia nini kwake?🤣Wizi ni ngazi ya familia hadi juu Kila mmoja kwa level yake.Mwingine atauza nchi,baba anaiba ofisin analeta home,mama nae anampiga baba apate za vicoba,dada wa kazi nae anapiga za matumizi huku anawashindisha watoto wa boss viporo ili atume kijijini kwa mzazi wake amlimie mazao, mzazi kijijini nae anakula bata kilabuni ye ndo boss akitamba kwamba ye ndo anajua kuzaa binti anafanya kazi mjini.
Tufanye maombi tu kuondoa hii roho ya upigaji
Watu wanataka kuhubiri amani ili waibe kwa starehe bila kupigiwa kelele.Ndio...lakini hatuko tayari kuwa na sheria ya kuua. Mbona kipindi Cha magu mambo yalikuwa yanaenda tu
Kwanza kabisa mnatakiwa kuacha kuamini miungu ya watu.
Huwezi kuendelea kama unapangiwa dini na Roma, Uyahudi au unasoma dini kwa Kiarabu na kuhiji Mecca na kuelekea Al-Qabr unaposali. Mpaka hapo tu ushahsindwa kwa sababu saikolojia yako ishashikwa umejiweka chini ya Mzungu, Myahudi au Muarabu.
Pili, tunatakiwa kutaka kweli kuendelea kama jamii. Waafrika wengi tunaridhika kirahisi, tunasema hewala hewla, tunaishi kwa kudura za Mungu (ambaye tumepachikiwa tu). Hatuna ari ya kweli ya kutaka maendeleo, tumekubali umasikini wetu na hivyo hatuwezi kuupita.
Inatakiwa tuukatae umasikini, tukubali kwenda kwa mazoea na utamaduni tu, tukubali kukataa tamaduni mbovu, mifumo mibovu na viongozi wabovu, au angalau tujue jinsi ya ku phase out vizuri vitu vibovu. Sasa hivi tunaheshimu sana tamaduni hata kama mbovu, tunaheshimu sana wakubwa na historia.
Umeuliza haya matatizo ya historia tunayapita vipi?
Huwezi kupita tatizo la historia mbaya kama bado unaiheshimu hiyo historia mbaya.
Mfano.
Afrika mpaka leo inatumia US dola kufanya intra-African trade. Biashara kati ya nchi za Africa inafanyikankwa US dollars. Mmarekani anapata nguvu ya ku control hii biashara kupitia US Federal Reserve (tawi la Benki Kuu ya US la New York). Hiki kitu kinaipa nguvi US dollar bila sababu. Kwa nini Waafrika wasifanye biashara zao kwa kutumia hela zao na kuiondoa US katika biashara za Africa? Hakuna sababu nzuri.
Rais William Ruto wa Kenya kaanza kulipigia mbiu hili. Settlement system tayari ipo Addis Ababa Ethiopia.
Lakini sioni Waafrika wakilichangamkia jambo hili. Wanalalamika tu hawana dola. Kwani kufanya biashara kati ya Waafrika ni lazima kuwa na US dollar?
Unaona ujinga wa akili tegemezi zinazoangalia historia tu bila kutaka kui challenge hapo?
Bongo hakuna biashara ya kimataifa na ile ya Tanzanite na Gold ni nini? 😂 Sema tu watawala ni wabinafsi na hawajali maslahi ya taifa as a whole bali wao watapewa nini na hao wawekezaji wanaokuja kunyonya resources.Hakuna watu corrupt kama wachina popote pale ie kwao au nje ya kwao. Ila ni wachapa kazi.
Singapore, Thailand, Indonesia na Malaysia ni nchi ambazo zipo maeneo strategic hasa the strait of Malacca.
Southern China Sea kupitia strait of Malacca, inapitisha 5.7 Trillion worth of trading goods na hizo nchi zinachukua tax kutoka nchi nyingi, ikiwemo USA. hiyo income ni sawa na kuwa na mafuta.
Mkuu hata ukiwa corrupt vipi, thats a lot of money for small countries kama hizo, lazima kutakuwa na maendeleo. Waafrika hatuna biashara za kimataifa, labda Suez canal ambayo nayo inaipa sana hela Egyp.
Mifano mingine ni Panama canal na Strait of Hormuz kwa Panama na Iran.
Kuna nchi nyingine zimebarikiwa tu, zipo kwenye strategic areas.
Sijasema MTU awe mwizi. Ila kila MTU apambane Kwa ajiri ya familia yake.Hii akili ndio wanayoitumia vijana wakikabidhiwa ofisi za umma kujinufaisha binafsi ndio hugeuka mafisadi wakiwa wazee.
Ninaamini kuwa tungetawaliwa tungeuchangsmkia uhuru wetu, ukimpa mtu nyumba bure usijeshangaa ukaikuta imeota mti sebuleni, hana uchungu nayo.Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.
Afrika jamani shida ni nini?
Una uhakika Tanzania ilipata uhuru bure?Ninaamini kuwa tungetawaliwa tungeuchangsmkia uhuru wetu, ukimpa mtu nyumba bure usijeshangaa ukaikuta imeota mti sebuleni, hana uchungu nayo.
Muafrika anataka mambo matatuJamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.
Afrika jamani shida ni nini?
Ndio hapo inabidi tuweke definition ya maendeleo ? Maendeleo ni nini ? Unaweza ukasema nchi yako imeendelea kama majority ni masikini wa kutupwa ? Katika nchi zenye gap la classes India ni mojawapoOkay okay...so ur saying India haijaendelea
Shida ni Upstairs ZetuJamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.
Afrika jamani shida ni nini?
UN haijawahi kuitawala nchi, ruhusa ya kujiendesha wenyewe ilitoka UN na siyo uingereza ambayo iliambiwa isitishe usimamizi wa Tanganyika, Kenya ndiyo ilikuwa koloni la uingereza.Una uhakika Tanzania ilipata uhuru bure?
So we should change our culture ..hio ni process ndefu Sana mazeeMaendeleo nayo ni culture ya kutaka kufanikiwa kama hauna hiyo culture sahau kuhusu kufanikiwa.
🤣Okay okay...so njia ni uchaguzi si ndio...ukisema watu waandamane ni mwendo wa machozi tuHapana ,wananchi wakiamua kuiondoa serikali wenyewe pasipo kumwaga damu ,ni kama zile harakati za kudai uhuru alizozifanya Nyerere na watu wake ,kwasasa sisi tuna mkoloni mweusi tudai uhuru wa pili kumuondoa "MKOLONI MWEUSI".
Kwani wamepata uhuru hatujawapa?Kila taifa liishi kwa amani kivyake acha kukumbatia ukoloni jinga kabisa kuendelea kuua na kumwaga damu za Wazanzibar kisa muungano ni zaidi ya ukoloni wa mzungu
Muungano haulindwi kwa bunduki huo ni ukoloni mna akili za kipuuzi sana nyie majitu roho za kinyama zimewajaa roho za Wazanzibar zitaendelea kuwalilia maisha yote waacheni wawe huru na nchi yao kina wauma nini wao wakiwa huru kivyao ?
Ndio maana nimesema huu ubinafsi hauwezi leta maendeleoHii akili ndio wanayoitumia vijana wakikabidhiwa ofisi za umma kujinufaisha binafsi ndio hugeuka mafisadi wakiwa wazee.
Mambo yetu ni yapi., kumbuka uarabuni china India wameadopt tech ya nje na imewasaidiaShida ya waafrika ni kuiga mambo ya nje hatutaki kufanya mambo yetu wenyewe basiii