Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

Nani atashika hio laws Sasa wakat hao watunza laws ndio corrupt wakubwa.
Unakamatwa na rushwa Takukuru unawapa rushwa mambo yanaisha.
Jela utakaa kama huna pesa
Kunakuwa na chombo cha kusimamia organs kama Takukuru.

Kiwe tied na wananchi na wawe na full control ya kuwawajibisha viongozi hao wa Takukuru endapo hawatatenda haki.
 
Sio Mawala advocates hao kweli? 😂
 
Sawa..Ila sisi ni watu wa 21st century tunaelimu hatuwezi tesana hivyo....okay corruption solution yake ni good laws na prison...coz wazungu wanafanya hivi na wanaendelea
Sio kwa bongo hii. Huku suluhu ni kupelekana ahera tu.

Mob Justice ni mbaya ila imesaidia sana kuishape jamii hata maaskari wanajua kuwa kuna wezi ambao wao jela kwao kama nyumbani hadi wamezoeleka.

Inapotokea fursa ya wananchi kuwafyeka huwa inawapa hata wao ahueni. Wanaacha mmalize kazi wao wanafuata mzoga tu.
 
Maombi yanataka imani ili yafanye kazi sasa mtu anaiba ili akamuhonge malaya au kufeera mashoga. Huyo maombi yatasaidia nini kwake?🤣
 
Ngoja waje wabongo kutetea Marekani hapa utafikiri ni baba yao mzazi. Mtu anakaza misuli mpaka ya tako kuisifia marekani na kuudharau uafrika wake.
 
Bongo hakuna biashara ya kimataifa na ile ya Tanzanite na Gold ni nini? 😂 Sema tu watawala ni wabinafsi na hawajali maslahi ya taifa as a whole bali wao watapewa nini na hao wawekezaji wanaokuja kunyonya resources.

Mtu anapewa billion 50 ya hongo anawamegea wenzake 10B kisha anasainisha mkataba wa miaka 90 wa vitalu vya madini. Watu wanajichotea mara elfu ya hio billion 50 wakimaliza hio miaka ni wameacha mahandaki tu.

Kiongozi hapo akishapewa hizo hela atakula yeye na familia yake tu. Watajenga majumba ya kifahari na magari. Raia wa kawaida mtapigwa mabomu mpishe site alipopewa muwekezaji. Huu ndio mfumo wa bongo.

Kwa ubinafsi huu bila kupigana nakoz na watawala hatutoboi. Tutabaki kulalama tu miaka nenda rudi wajukuu wetu ndio watakaoteseka..Wakati wangeweza kuja kuogelea kwenye utajiri wa rasilimali kama wafanyavyo warabu wa Dubai tunaotamania maisha yao. We unadhani wangekubali kuchimbiwa mafuta kwa kupewa 3% ya faida kila mwaka wangeendelea wale?
 
Hii akili ndio wanayoitumia vijana wakikabidhiwa ofisi za umma kujinufaisha binafsi ndio hugeuka mafisadi wakiwa wazee.
Sijasema MTU awe mwizi. Ila kila MTU apambane Kwa ajiri ya familia yake.
 
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.

Afrika jamani shida ni nini?
Ninaamini kuwa tungetawaliwa tungeuchangsmkia uhuru wetu, ukimpa mtu nyumba bure usijeshangaa ukaikuta imeota mti sebuleni, hana uchungu nayo.
 
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.

Afrika jamani shida ni nini?
Muafrika anataka mambo matatu
1-Pombe
2-Mwanamke
3-Mziki
Akishalewa anataka mwanamke plus mziki.
Muafrika kazoweya Kutaaliwa na sio kutawala .
Mfano aingie Mzungu ofisi yyote atafanyiwa mambo yake haraka haraka na rushwa hatoi ,lkn muafrika mwenzako pesa unatoa na mambo yako hayendi tofouti sana na Waarabu Mzungu anaoekana mtu wa kawaida sana tu.

Waafrika bado HAWAJITAMBUA hawajui wanataka kitu gani ktk nchi zao.
 
Okay okay...so ur saying India haijaendelea
Ndio hapo inabidi tuweke definition ya maendeleo ? Maendeleo ni nini ? Unaweza ukasema nchi yako imeendelea kama majority ni masikini wa kutupwa ? Katika nchi zenye gap la classes India ni mojawapo
 
Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.

Afrika jamani shida ni nini?
Shida ni Upstairs Zetu
 
Hapana ,wananchi wakiamua kuiondoa serikali wenyewe pasipo kumwaga damu ,ni kama zile harakati za kudai uhuru alizozifanya Nyerere na watu wake ,kwasasa sisi tuna mkoloni mweusi tudai uhuru wa pili kumuondoa "MKOLONI MWEUSI".
🤣Okay okay...so njia ni uchaguzi si ndio...ukisema watu waandamane ni mwendo wa machozi tu
 
Kwani wamepata uhuru hatujawapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…