Afungiwa na Maiti Chooni Siku 3

Akija FaizaFoxy atakupinga kuwaharibia ndugu zake
 
Serikali zetu nazo huwa haziko serious,hapa alitakiwa kukamatwa agent,haiwezekani unafanya udalali wa watoto wa watu wakiwa mbali na nyumbani kwao halafu hakuna ufatiliaji.

Katika mazingira ya kawaida,nchi ambayo pia haina utaratibu mzuri wa ktk mifumo ya haki kwa wageni,hiyo sio salama kwa wageni,ina maana agent ukiona unataka kufanya ufatiliaji wa wateja wako halafu kuna blah blah maana yake hakufai kuendelea na biashara.

Hawa watu baadhi wanapata shida sana,wanaporwa simu,au wanaishi nazo kwa siri vyumbani mwao,agent ulikabidhi mtu ukayeyukia hewani.
 
Yani ukiachana na ubaguzi wana viji customs vingine vya kipuuzi ambavyo ni uncivilized.
Yani katika jamii ambazo ziko nyuma kwenye kustaarabika ya kwanza ni wahindi wapili waarabu.
Hawa watu ni kama wanyama mambo yao ukiacha mbali na ubaguzi.
Uko sahihi. Japo weusi pia tuna shida zetu ila hizo jamii 2 hapana, ni level up
 
Yani ukiachana na ubaguzi wana viji customs vingine vya kipuuzi ambavyo ni uncivilized.
Yani katika jamii ambazo ziko nyuma kwenye kustaarabika ya kwanza ni wahindi wapili waarabu.
Hawa watu ni kama wanyama mambo yao ukiacha mbali na ubaguzi.
Kweli kabisa mkuu
 
Yani ukiachana na ubaguzi wana viji customs vingine vya kipuuzi ambavyo ni uncivilized.
Yani katika jamii ambazo ziko nyuma kwenye kustaarabika ya kwanza ni wahindi wapili waarabu.
Hawa watu ni kama wanyama mambo yao ukiacha mbali na ubaguzi.
Mkuu nikupe sana hongera huwa nakutana na michango yako. Uko fair kukosoa. Licha ya kua muislam hapa umekua fair tofauti na baadhi ya members wengine.
 
Ninachompenda member Kosugi licha ya kua muislamu hayuko biased kukemea. FaizaFoxy mradi imehusika ni uislamu au muislamu kwake hakuna kosa.
Big up kwake, uislamu usifanye baadhi ya watu kutetea hadi maovu kwa sababu tu kuna link na imani yao. Kwenye ukweli usemwe bila kujali mengineyo.
 
Uko sahihi. Japo weusi pia tuna shida zetu ila hizo jamii 2 hapana, ni level up
Shida zetu sisi ni normal sana ni shida ambazo kuzitatua ni rahisi pale tunapoelimishwa pia WaAfrika tuna utu.
Ila hizo njemba zina Superiority complex na pia utu upo kidogo sana kwasababu ya kuendekeza superiority complex.
Uzuri ukitizama Aljazeera wanakuonesha utumbo wao mwingi sana wanaofanya,kuna vipindi kama People and power,Inside story,Aljazeera world na 101 EAST.
Vijaribu kufuatilia unaweza ukasema aagh hawa jamaa utajiri wote huu mbona akili kama za ngedere!?
Ndio maana hata wanawake wengi wa kiarabu hawafurahii maisha uarabuni kama wakihama dunia nje na bara arab.
Tafiti ilifanyika na hilo liligundulika.
Na customs zao nyingi ni gender oppressing na zinaleta matabaka ya walionacho na wasio nacho.
 
uko vizuri kichwani mkuu wa kazi
yes, documentaries za Al Jazeera nondo sana. kitambo nilikua nazifuatilia hasa zinazohusu jamii zetu waafrika.
walau waarabu wa Lebanon naona wako kinamna tofauti kiasi na hawa wengine. niko qatar nawaona waarabu. wapo washenzi na waungwana.
 
SUBIRI WALE WA KUITWA UKIONA MUISLAMU BASI JUA NI NDUGU YAKO WAJE KUBISHA
Waarabu wenyewe wanafia baharini kwenda ulaya halafu kuna mtu anaenda kutafuta maisha kwenye nchi za kiislamu.
Ukitaka kufa, nenda nchi za waislamu maana hawa watu kukuua hawaoni shida
 
BINADAMU CYO ROBOT WANABADILIKA WAKIELEMISHWA NAKUFUNDISHWA UPENDO WA MUNGU. TATIZO HAO NDUGU ZAKO HAWANA UPENDO.
Hawa jamaa wanaabudu dini kuliko Mungu. Hawana hofu na Mungu ila wanahofu na dini.
 
Waarabu wenyewe wanafia baharini kwenda ulaya halafu kuna mtu anaenda kutafuta maisha kwenye nchi za kiislamu.
Ukitaka kufa, nenda nchi za waislamu maana hawa watu kukuua hawaoni shida
Shida sio uislam,shida UARABU.
Nchi za kiarabu hazina socio-balance pia hazina usawa wa kijinsia.
Angalau Qatar,UAE,Kuwait,Lebanon zinajitahidi kustaarabika.
Ila hizo zilizobaki ni mtihani sana.
Uislam huo huo uko Turkiye,Uzbekistan,Azerbaijan,Indonesia,Malaysia,Bosnia and Hezergovina ila mbona wanaishi shega tu kiroho safi!?
Shida JAMII INAYOITWA ARAB ni hatari.
 
Hapo hakukuwa kazini wala gerezani bali utumwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…