njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Hapo kwenye kitaulo na buku ishirini jamaa ndezi kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama alikua na mali zinayeyuka zote.Huu ni mchongo wa mke wa jamaa.
Ni dhairi jamaa aliwekewa mtego wa mkakati ambao kwa mazingira yake wadau walifahamu lazima anase.
Na ukute housegirl mwenyewe anatikea mkoa mmoja na wakili msomi Antipas!
Mchawi wa case ni alibi.Ndiyo maana kahusishwa kwenye utetezi kuwa aliambiwa.
Ila mwanaume anajitetea hakuwepo.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ni kwel,tena vitoto vidogo inatakiwa kukitazama vizur kama kinajua mambo hayo na kinayapenda,sio unakivamia tuUsilazimishe mapenzi kwa mwanamke yeyote akisema hataki au hata kukuzungusha achana nae.Utapata wa kwako ikishindikana kwa wakati unaotaka wewe, nenda kwa madada poa maliza haja zako huko na maisha yataendelea kwa uzuri kabisa
Shida kada Moja.Kwani kumuacha hadi umwambie? Tena hivyo mwanaume potea Kama Jini.
Kama ndoa haikupi Amani ya nafsi haina haja kuendelea nayo.
Acha tuu...Siku ya kwanza tu utakayoingia gerezani mkeo (adui yako) atamuita mchepuko wake.
Mchepuko wake atakuja kubiringika kitandani kwako huku akiichakata mbususu.
Huku huyo adui yako (mke) akikuita majina ya ajabu kama mbwa, nguruwe, chizi ama fara.
Je mahakama hazikuona alibi, au yeye kwenye utetezi hakufanya hivo?Mchawi wa case ni alibi.
NakaziaUsilazimishe mapenzi kwa mwanamke yeyote akisema hataki au hata kukuzungusha achana nae.Utapata wa kwako ikishindikana kwa wakati unaotaka wewe, nenda kwa madada poa maliza haja zako huko na maisha yataendelea kwa uzuri kabisa
Mke atakua kamshikilia bango mumewe aende Jela
Kuoa sio lazima mkuuMke siyo ndugu yako, bali ni adui uliyeamua kuishi naye kwa hiari yako.
Ndo mana watu wa zaman kina suleyman walikuwa wanasema mtu akiwa kijakaz wako au wenyew wanaita suria inatakiwa umtombe tu haina shida coz huwez kaa na mtu sio mwanao sio mkeo halaf yuko ndani kwako anakula ananona umuangalie tu ujue watu wa zaman walikuwa na akili sn mfalme suleyman alikuwa na wake 300 na masuria 700 wote alikuwa anawapiga pumbu hao ss huyo jamaa kosa lake n lipi angekuwa enzi izo angepewa na u bey kabisa nmehuzunika mm mpk nalia hapa
Bora akuue tuDah nikisema na muacha ataniua huyu
Aaaah sifi ng'ooh ni mpera mpera tuu mpaka atasepa yeye alafu naleta pisi kutoka kwa KagameBora akuue tu