bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Labda alitaka awe wa kwanza kufungua getiUjinga, si angeenda Sinza tu, tena hiyo elfu 20 nyingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda alitaka awe wa kwanza kufungua getiUjinga, si angeenda Sinza tu, tena hiyo elfu 20 nyingi sana
True Kama uliruka stage ya utoto kula vitoto Bora uwe mpole tu ili kujinusuru jelaHakuna cha mtego wala nini, wengi wenu mmezoea kuwanyanyasa na kuwadhulumu kingono watoto wadogo hasa mahousegirls.
Tafuta jimama achana na watoto wadogo utafungwa sana mpaka uchanganyikiwe.
Punguza Ushamba , unakurupuka Tu kudondosha comment unaelewa nimemaansh nn kwanza 🚮we kweli ni fala hata mke wako unaweza kumbaka, shida ujinga. Binti wa miaka 15 km hajaridhia siyo ubakaji?
Inashangaza sana.Mnaotetea angefanyiwa binti yako wa miaka 15 ungejisikiaje?acha akatumikie hicho ndio alichokuwa anataka mtu umekataliwa unalazimishwa,tuwaheshimu wafanya kazi wetu wa ndani
Huna akiliMwezi mmoja, Hapana.
Angekula miaka 3 au 5 , miaka 30 hapo ukute plate number yake inacheza 40+ ukiweka hiyo 30+ si atatoka jela akiwa antembelea mkongojo, upande WA Pili bado anafamilia inamtegemea cha kusikitisha zaidi aliemrubuni utakuta aliishia la 7c . 🥴
Kwanini mkuu hakupendi? Ulioa wa nini?[emoji16][emoji16]Mke ni adui kabisa.
Tena kama mimi msala ukinikumba unaotaka niende jela ama nifukuzwe kazi basi na hisi huyu QUMAr humu ndani ata chinja mbuzi na kuita Majirani Kenge wa head.
Kammwagia shahawaa zenye STDNikishinda urais 2025 nitamtoa kwa msamaha, maana mm sijaona kosa lake huyo mwanaume.
Kwan huyo mwanaume kaondoka na kiungo cha huyo binti? Au jamaa amekiziba hicho kiungo?
Kwann jamaa achezee mvua zote hizo wakati binti akiendelea kuwapa wahuni wengine bila shida?
Nikipata urais 2025 nitamuachia huru huyo jamaa
Safi sana hiyo, ubakaji ni wa kupigwa vitaMke atakua kamshikilia bango mumewe aende Jela
Eti morning glory...[emoji16][emoji16]Na unaweza kuta mke huyo huyo alimnyima mume wake mzigo siku hiyo ama asubuhi hiyo.
Siamini kama mume angepata moning glory kwa mkewe angekuwa na nguvu za kubaka mfanyakazi alfajiri hiyo hiyo
Hujasikia huko kwa wenzako eti wamama wengi breki mbupu so wanataka mnato/mbanoWamama wote hawa mtaani, alafu anaangaika na vitoto
Muhimu iweze kupita tu, ata mimi nikizidiwa nitakutafuta, au utanichinjia baharini 😂Hujasikia huko kwa wenzako eti wamama wengi breki mbupu so wanataka mnato/mbano
Hakuna cha ALIBI wala nini, jiandae kwenda jela tuu ukileta mchezo mchezo na watoto!Mchawi wa case ni alibi.
Wanakuambia wanataka zinazobana.Wamama wote hawa mtaani, alafu anaangaika na vitoto
Muhimu ipite tu, hayo ya kubana tuwaachie vijanaWanakuambia wanataka zinazobana.
Ila mtoto wa miaka 15 hata kama angekuwa amemkubalia, bado ni ubakaji kwa mujibu wa sheria. Ila sasa , kuna ushahidi upi? Au ni maneno tu ya huyo mdada wa kazi?Inashangaza sana.
Nimesoma bandiko kwamba ushahidi umepatikana wa kumtia hatiani. Kama ushahidi umepikwa basi pole zake ila kama ni kweli kabaka aende tu akapate stahiki yake.Ila mtoto wa miaka 15 hata kama angekuwa amemkubalia, bado ni ubakaji kwa mujibu wa sheria. Ila sasa , kuna ushahidi upi? Au ni maneno tu ya huyo mdada wa kazi?
Ushahidi tofauti na DNA, ni ipi unaweza kumtia mtu hatiani?Nimesoma bandiko kwamba ushahidi umepatikana wa kumtia hatiani. Kama ushahidi umepikwa basi pole zake ila kama ni kweli kabaka aende tu akapate stahiki yake.