Afya ya akili ya "Diva" wa Wasafi ipo mashakani

Hivi alimpataga Neymar?
Maana alikuwa anamsifia sana redioni kipindi kile yupo Clouds FM na ndio ilikuwaga dream yake.
 
Diva ni delulu queen. Anapenda ku fantasize maisha ambayo hayaishi na hatokuja kuyaishi. Kweli atakua na shida ya akili maana umri wake na matendo haviendani. Na hiyo haihusiani na kuangalia cartoons πŸ˜‚πŸ˜‚
 
tukimuwahi anapona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…