Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Akifanya zuchu na wema Sepetu ni sawa ila bibi mwenzenu hamkubali....?? Tafadhali weka picha ya huyo bibi mwenzako nithaminishe..... Asante in advance.Umri na matendo kutoendana haimaanishi ni kuzeeka. Kuna vitu akifanya mtu wa 20s unaona ni sawa ila akifanya mtu mwenye 30s na kuendelea unaona kabisa kua sio sawa. Ndio diva sasa
Nipo Dodoma karibu na Mirembe!Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?
Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake
Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini
Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.
Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.
Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu
Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
Akili za wanawake wote ndivyo zilivyo. Ni nani huyu lakini mkuu?Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?
Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake
Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini
Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.
Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.
Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu
Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
Zuchu na wema wametokea wapi? Uzi unamuhusu diva hao wanawake zako unawataja wa nini. Bundle unalo ingia google msearch utakutana na picha zake. Hata bibi alikuaga bintiAkifanya zuchu na wema Sepetu ni sawa ila bibi mwenzenu hamkubali....?? Tafadhali weka picha ya huyo bibi mwenzako nithaminishe..... Asante in advance.
Weka picha.... Acha porojo.Zuchu na wema wametokea wapi? Uzi unamuhusu diva hao wanawake zako unawataja wa nini. Bundle unalo ingia google msearch utakutana na picha zake. Hata bibi alikuaga binti
NitueWeka picha.... Acha porojo.
Kajambe mbele kule....Nitue
Yule Kichwani bado Kuna changamoto 🙌1 Ml hesabu ukimpa kazi ya makusanyo imekula kwako na hatojali, ataenda nunua Prada 😀
Doh! Heri na kwako pia asee.
Tena kubwa mno.Yule Kichwani bado Kuna changamoto 🙌
Sawa.23M...ukute we mwenyewe hauna...
Sawa dada.Achana na wanawake weww kaka
Sasa hayo maneno ndiyo yanamfanya anunue miwani jaba linajaaaBeyoncé wa Bongo..
Umepotea njia dogo.The home of great thinker imevamiwa Diva kweli ni topic ya kuwekewa kwenye jukwaa hili ,peleka Ig,na Facebook
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa hayo maneno ndiyo yanamfanya anunue miwani jaba linajaaa
Pole sana.Nimekuvua nyota zote
napenda sana avator yako, ni wap hapo?Shauri zake wenzake wakiachika wanajipa pozi yeye juu juu atakoma
Nilichofurahi mahari yake imeshuka kutoka milioni 500 Mwaka 2018 hadi shilingi laki 5 Mwaka 2025
Na hapo inaelekea kufika hadi elfu 30 🤗