Acha ushamba wewe mshamba
Kuna uhusiano gani? Ni mmiliki?Nashauri bank za dtb leo sizifunguliwe kama ishara ya kumuenzi HH The Aga khan
Kuna uhusiano gani? Ni mmiliki?
Ni uvivu tu wako kufuatilia mambo. Hizi taarifa zipo mitandaoni ni wewe tu hutaki kujiongeza wala hakuna maajabu hapo.Dah... Kuna WATU mna taarifa za watu kushinda wahusika wenyewe
Kiranga komoRIP HH Aga Khan.
Shule ulizojenga tumesoma.
Hivi kutokufuatilia mambo ya watu ni uvivu?Ni uvivu tu wako kufuatilia mambo. Hizi taarifa zipo mitandaoni ni wewe tu hutaki kujiongeza wala hakuna maajabu hapo.
Acha ushamba ...Kosa lake ni lipi Mkuu? Kutuhabarisha kuhusu Hayati Agakhan ama nini??
Wabongo tuna roho za kichawi chawi tu, yaan hata jambo liwe la namna gani lazima tulikosoe. Ukinitukana na mm basi ndo itathibitika kweli we Mchawi
Hapana ni hobby tu mtu kupenda kufahamu vitu. Lakini kinachoshangaza ni pale mtu anaposhangaa mtu mwingine kufahamu taarifa za mtu ambae ni maarufu kiasi hicho kama wewe ulivyoshangaa.Hivi kutokufuatilia mambo ya watu ni uvivu?
Apumzike kwa AmaniKiongozi wa waislamia duniani ajulikanaye kama HH The Aga Khan amefariki dunia akiwa na Umri wa miaka 88.
Kwa Tanzania, Aga Khan atakumbukwa sana kwa kujenga miundo mbinu mizuri sana ya kutoa huduma za afya na elimu. Shule za Tambaza (Dar), Mkendo (Musoma), Mzizima (Tanga) ni baadhi ya shule zilizojengwa na Aga Khan Tanzania lakini pia alijenga mahospitali mengi sana karibu kila mkoa.
Mungu aipumzishe roho yake pema peponi
=============
A notice on the website of the Aga Khan Development Network - the development organisation he founded - announced his death, saying that he "passed away peacefully in Lisbon on 4 February 2025... surrounded by his family".
It said: "His Highness Prince Karim Al-Hussaini, Aga Khan IV, 49th hereditary Imam of the Shia Ismaili Muslims and direct descendant of the Prophet Muhammad (peace be upon him), passed away peacefully in Lisbon on 4 February 2025, aged 88, surrounded by his family.
View attachment 3225600
Tatizo watumia sana wanafunzi wa kufanya placement na hiyo ni hatari sana kwani hawa huitaji uangalizi wa jicho kwa jicho.Shida moja ya ile Hospital ya Agakan ni kutokua na mabingwa wazuri wana vijana pale junior Doctors hawana utalamu wa kutosha. Usafi wako vizuri sana ila huduma zao sio kivile.
Apumzike kwa amani. Agha Khan iliingia MoU na Serikali ya Nyerere isamehewe kodi ili itoe huduma za bei ya chini kwa wananchi. Pesa wanazipiga kwa sasa kutokana na bei za juu za huduma zao hakuna mfano. Walikuwa wamejitoa kwenye utaratibu wa bima ya afya unaolipiwa na Serikali na shule zao bila hela za maana huzigusi, hapo sijagusia namna zinavyowabeba Wahindi. Kimsingi huyu hakuwa na lolote la kufanya na maskini.Kiongozi wa waislamia duniani ajulikanaye kama HH The Aga Khan amefariki dunia akiwa na Umri wa miaka 88.
Kwa Tanzania, Aga Khan atakumbukwa sana kwa kujenga miundo mbinu mizuri sana ya kutoa huduma za afya na elimu. Shule za Tambaza (Dar), Mkendo (Musoma), Mzizima (Tanga) ni baadhi ya shule zilizojengwa na Aga Khan Tanzania lakini pia alijenga mahospitali mengi sana karibu kila mkoa.
Mungu aipumzishe roho yake pema peponi
=============
A notice on the website of the Aga Khan Development Network - the development organisation he founded - announced his death, saying that he "passed away peacefully in Lisbon on 4 February 2025... surrounded by his family".
It said: "His Highness Prince Karim Al-Hussaini, Aga Khan IV, 49th hereditary Imam of the Shia Ismaili Muslims and direct descendant of the Prophet Muhammad (peace be upon him), passed away peacefully in Lisbon on 4 February 2025, aged 88, surrounded by his family.
View attachment 3225600
Unafuatiliaje mtu Hadi wajukuu zake .... ??? Hivi unajielewa kabisa unafuatilia mtu wa uturuki Hadi idadi ya ndugu zake.....Hapana ni hobby tu mtu kupenda kufahamu vitu. Lakini kinachoshangaza ni pale mtu anaposhangaa mtu mwingine kufahamu taarifa za mtu ambae ni maarufu kiasi hicho kama wewe ulivyoshangaa.
Mkuu msiba ukiisha tuwasiliane, Kuna maeneo yenye uhitaji sana hukuMUNGU AMUIFADHI PANAPOSTAILI
KUBWA ZAID UYU ALIIPENDA TANZANIA
KAFANYA MENGI SANA TANZANIA
ATA ZA ZANZIBAR AMEIBOLESHA ILE FORODHAN BUSTANI ZA KUPENDEZA
KAWAIDA YAO ATATEULIWA MWENGINE
ATA UYU NAE ALIKUWA NA MTANGULIZI WAKE
KWA JUMUIYA YA AGA KHAN WANAWAITA
MTAKATIFU AGA KHAN kumbukumbuku zake kwa TANZANIA nyingi sana wengine Watakuja kuweka zao!!
Mm hii mbili za ZANZIBAR na Zanaki Rais mkapa alitaka kumrudishia shule ya Zanaki kwasasa iyo Shule kwa wanaojua ipo ktkt ya Shule mbili za AGA KHAN
kwakua eneo lile lote ni la AGA KHAN adi iyo Shule ya ZANAKI lkn alikataa akamwambia Rais Mkapa nitaitengeza lkn wacha Wasome Mabint wetu kama ilivo iwe chini ya Serikali,,,
Project za Shule Za AGA KHAN zitaendelea kwa kutafuta maeneoa mapya ambaya Yanauitaji.
Huwezi kufuatiliwa kama huna impact yoyote kwenye jamii. Huyo sio mtu mdogo ni public figure sio mkulima wa mihogo kutokea Busulwangiri.Unafuatiliaje mtu Hadi wajukuu zake .... ??? Hivi unajielewa kabisa unafuatilia mtu wa uturuki Hadi idadi ya ndugu zake.....