Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Acha wivu mkuu. Kama na wewe unataka tukufuatilie fungukaUnafuatiliaje mtu Hadi wajukuu zake .... ??? Hivi unajielewa kabisa unafuatilia mtu wa uturuki Hadi idadi ya ndugu zake.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu mkuu. Kama na wewe unataka tukufuatilie fungukaUnafuatiliaje mtu Hadi wajukuu zake .... ??? Hivi unajielewa kabisa unafuatilia mtu wa uturuki Hadi idadi ya ndugu zake.....
Hongera sana Farasi ni moja kati ya wanyama napenda sana shida ni utunzaji wake ni wa gharama sana. ikikupendeza utumegee hizo tafiti za koo hizo za kifalme.Hizi taarifa huwa available unapozihitaji.
Mimi ni mpenzi wa mbio za farasi na kuna wakati niliishi UK (masomoni) wana uwanja wa mbio za farasi uitwao Ascot. Pale ni kiunga cha watu wote matajiri khasa koo za kifalme na matajiri wengine wengi tu.
Nilikuwa pale nafanya tafiti za koo za kifalme ndo nikawa na uwezo wa kuwachambua hawa watu, "very simple process" wapata habari zote.
GoogledDah... Kuna WATU mna taarifa za watu kushinda wahusika wenyewe
Oya Njemba acha zakoUnafuatiliaje mtu Hadi wajukuu zake .... ??? Hivi unajielewa kabisa unafuatilia mtu wa uturuki Hadi idadi ya ndugu zake.....
Nadhani wanaingia google kuzipata ni rahisi tu. Sana sana wanazitafsiri.Dah... Kuna WATU mna taarifa za watu kushinda wahusika wenyewe
Sasa wajukuu zake wanakuhusu nini???Huwezi kufuatiliwa kama huna impact yoyote kwenye jamii. Huyo sio mtu mdogo ni public figure sio mkulima wa mihogo kutokea Busulwangiri.
Asili ya Bagamoyo na Pakistan/ Afghsnistan! Walihama huko kwavile Sunni walikuwa wanawaua!Ukoo wake wa asili ni Uturuki, lakini walisambaa sana dunia nzima kuanzia Pakistani hadi ulaya huko Italy na Switzerland na hata Marekani na kanada.
Huyo sio comrade kama wana CCMComrade HH Agakhan, Pumzika Kwa Amani
Fanya correction mstarinwakonwankwanza, ni Ismailia siyo "Islamia".Kiongozi wa waislamia duniani ajulikanaye kama HH The Aga Khan amefariki dunia akiwa na Umri wa miaka 88.
Kwa Tanzania, Aga Khan atakumbukwa sana kwa kujenga miundo mbinu mizuri sana ya kutoa huduma za afya na elimu. Shule za Tambaza (Dar), Mkendo (Musoma), Mzizima (Tanga) ni baadhi ya shule zilizojengwa na Aga Khan Tanzania lakini pia alijenga mahospitali mengi sana karibu kila mkoa.
Mungu aipumzishe roho yake pema peponi
=============
A notice on the website of the Aga Khan Development Network - the development organisation he founded - announced his death, saying that he "passed away peacefully in Lisbon on 4 February 2025... surrounded by his family".
It said: "His Highness Prince Karim Al-Hussaini, Aga Khan IV, 49th hereditary Imam of the Shia Ismaili Muslims and direct descendant of the Prophet Muhammad (peace be upon him), passed away peacefully in Lisbon on 4 February 2025, aged 88, surrounded by his family.
View attachment 3225600
Baada ya miaka 6 wakaachanaAlizaliwa Switzerland na baadae akawa na uraia wa UK lakini makazi yake ya kudumu yalikuwa ni Monaco ambako kwa sababu za kikodi baadhi ya matajiri wengi huishi pale.
Alichukua taji hilo la kuongoza Washia akiwa na umri wa miaka 20 na hadi anafariki ameacha utajiri wenye thamani ya pauni bilioni 11.
Ameacha watoto wanne Princess Zahra, Prince Rahim, Prince Hussain na Prince Aly Muhammad pamoja na wajukuu wanne.
Prince Rahim ndie mkubwa akiwa na umri wa miaka 53 na ndie anetarajiwa kutangazwa kuchukua taji la baba yao. Rahim alizaliwa kwa mke wa kwanza mzungu mwingereza aitwae Sally Croker-Poole.
Mke wake wa pili pia alikua ni mzungu mwingereza ambae walioana mwaka 1988 na akamzalia mtoto mmoja na baada ya miaka sita wakaachana.
RIP.