Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
Wao wenyewe wanakiri kuwa ndoa zao ni msalaba ktk maisha yao.
Umuhimu wa familia ulikuwepo zamani. Siku hizi ni full vurugu, mara baba kaua mtoto au kinyume chake, mara mke kaua mke au kinyume chake, n.k.
Kumpata huyo sahihi ndiyo Kuna mtihani mkubwa. By the way, ili kufanya expansion siyo lazima uwe na mke. Nadharia nyingi zinasema "ukitaka kubadili Ulimwengu fanya ukiwa peke yako, lkn ukioa hata kubadili tv station inakuwa ngumu".
Mafanikio siyo muujiza, bali ni mipango thabiti
Endelea kufukuliwa kwa raha zako.Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.
Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.
Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.
Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Alishaolewa huyo mbona.usipooa utaolewa
Aliolewa baada ya kila mwanamke aliyempata wakajikuta wote ni wanawake.upuuzi mtaacha lini
kenge blue
Natafuta mke wa kuoa "soon"
Ukitaka kuona maisha ni magumu, hayaendi mbele wala hayapangiki, basi fanya makosa ktk kumpata mwenza (mke/mume). Haya si maneno yangu bali wahenga waliyanena haya. Nakuja jamvini hapa kwa nia thabiti ya kumpata mwenza wangu. Kwa mdada yeyote mwenye sifa zifuatazo ani-PM. -awe kabila lolote...www.jamiiforums.com
Hivi kwanini ukifa bila mtoto unatiwa gunzi huko bakta?Ponda mali uzee waja...Je watoto unao ama ndo ukifa tukutie nguzi huko kwa rutu.Wenzako wana familia ww baba yako angetaka aponde raha ww si ungeishia kwenye condom ukatupwa jalalaani 😎
Mkuu swala hilo ni matokeo ya malezii mkuuu soo usijaji hivyo ,and bado ni bara kuliko ambaye aliyekula bata kipindi chake na wewe leoYupo mzee jirani yetu ana mitoto kama yote lkn yote imesambaa mikoa tofauti kutafuta maisha. Mzee anafanya kugongea msosi hapa home.
Kuzaa siyo kigezo kuwa uzeeni hutapata shida.
Shetani wala hayupo jamaa katumia utashi wake tu ,kupangilia maisha yake.Wakala wa shetani kazini!
Na siku ukiamua kuoa oa kimya kimya, usije siku ukatuunga kwenye group la Whatsapp ukitaka mchango wa harusi, hatutakuchangia hata miaKwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.
Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.
Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.
Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Jamaa kutongoza kazi. Anahitaji msaada.upuuzi mtaacha lini
kenge blue
Natafuta mke wa kuoa "soon"
Ukitaka kuona maisha ni magumu, hayaendi mbele wala hayapangiki, basi fanya makosa ktk kumpata mwenza (mke/mume). Haya si maneno yangu bali wahenga waliyanena haya. Nakuja jamvini hapa kwa nia thabiti ya kumpata mwenza wangu. Kwa mdada yeyote mwenye sifa zifuatazo ani-PM. -awe kabila lolote...www.jamiiforums.com
Ukiingia kwenye ndoa lazima ukutane na misukosuko,hii haikwepeki,lakini huwa ni ya muda tu na ukifanikiwa kuvumilia utafika mahali utasahau machungu yote,sasa wewe endelea tu kula raha,utakapofikwa na kiu ya kuoa utakuwa tayari umeshachelewa sana.Ndoa ni sakramenti ambayo kila binadamu anapaswa kuipitia,usishindane na nature mkuu......Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.
Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.
Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.
Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Uko sahihi kabisa,umri wa 40 na kuendelea ni umri ambapo unaingia kwenye upweke,hapa watu wengi wanaachana na makundi na kila mtu anashikamana na familia yake,hapa ndipo kila mtu anashikilia kwa umakini shughuli za kiuchumi na kuacha makundi ya starehe,sasa utajikuta katika marafiki 20 uliokuwa nao wamebaki wawili au umebaki peke yako...Najua Umri wako ni kati ya 20 to 30
Kawaida sana hayo maneno tafuta interview za madam Rita umsikie
Maana halisi ya NDOA uanza ukishaanza kuinusa 40 ndo utaelewa kwann MUNGU alimpa Adam msaidizi ili aondoe upweke
Finali uzeeni,mbuzi na mbwa hawana familia lakini uwa wanajivunia kuponda maishaKwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.
Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.
Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.
Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
jaman mbona kama wapendwa😱