Age-mates wangu waliojiingiza kwenye ndoa wamechoka, wanatia huruma. Mimi ambaye bado "napuyanga" naponda raha tu

Age-mates wangu waliojiingiza kwenye ndoa wamechoka, wanatia huruma. Mimi ambaye bado "napuyanga" naponda raha tu

Nadhani ifike mahali waafrika tufungue akili kidogo.

Hivi ni LAZIMA kila mtu aoe/olewe?

Hivi ni LAZIMA kila mtu awe na watoto?

Kwani mtu hawezi kujiamulia mwenyewe aina ya maisha anayotaka kuishi, na sisi kama jamii tukaheshimu maamuzi hayo?

Nadhani matatizo mengi tunayoyaona leo kwenye ndoa yanatokana na watu kuhisi WANALAZIMIKA kuoa/olewa kwa sababu ya shinikizo kutoka kwa jamii.

Ni kweli ndoa ina umuhimu wake, lakini kama wanavyosema wazungu "Marriage is not for everybody".

Pengine kuna watu wangeishi maisha mazuri sana ya amani kama wasingekua kwenye ndoa, ila wanaishia kwenda kuteswa kwenye ndoa miaka nenda rudi, mwisho wengine wanauawa, wanapigwa, wanakufa kwa presha nk kisa jamii imeng'ang'ania kila mtu aolewe.
Umemaliza mkuu
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Unajikwatua sio kama Ni mwanaume basi tushakuelewa kinachokuweka mjini
 
Ukiingia kwenye ndoa lazima ukutane na misukosuko,hii haikwepeki,lakini huwa ni ya muda tu na ukifanikiwa kuvumilia utafika mahali uatasahau machungu yote,sasa wewe endelea tu kula raha,utakapofikwa na kiu ya kuoa utakuwa tayari umeshachelewa sana.Ndoa ni sakramenti ambyo kila binadamu anapaswa kuipitia,usishindane na nature mkuu......
Hapo mwisho umeongopa mkuu. " kila binadamu anapaswa kupitia" kwahiyo vipi kuhusu mpadre?? Ndoa sio lazima mwenye kutaka kuoa na aoe si dhambi na asietaka pia asioe si dhambi ni maamuzi tu
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
usipooa una olewa
 
Nadhani ifike mahali waafrika tufungue akili kidogo.

Hivi ni LAZIMA kila mtu aoe/olewe?

Hivi ni LAZIMA kila mtu awe na watoto?

Kwani mtu hawezi kujiamulia mwenyewe aina ya maisha anayotaka kuishi, na sisi kama jamii tukaheshimu maamuzi hayo?

Nadhani matatizo mengi tunayoyaona leo kwenye ndoa yanatokana na watu kuhisi WANALAZIMIKA kuoa/olewa kwa sababu ya shinikizo kutoka kwa jamii.

Ni kweli ndoa ina umuhimu wake, lakini kama wanavyosema wazungu "Marriage is not for everybody".

Pengine kuna watu wangeishi maisha mazuri sana ya amani kama wasingekua kwenye ndoa, ila wanaishia kwenda kuteswa kwenye ndoa miaka nenda rudi, mwisho wengine wanauawa, wanapigwa, wanakufa kwa presha nk kisa jamii imeng'ang'ania kila mtu aolewe.
Ujuaji mwingi = Kukosa maarifa.
Mbona hukujiamulia kuzaliwa ktk sayari hii?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Kwa hiyo wewe bado lihunihuni tu?
 
Majina haya ya baba, Babu n.k hayanaga faida. Hata nikiyakosa hakuna shida.
Kuna mzee alikuwa anaishi kiwangwa,alipata ugonjwa ikabidi aletwe Kwa ndugu zake kuuliza kwani hana watoto wanaomjua wakasema alikataa watoto enzi za ujana
 
Back
Top Bottom