Age-mates wangu waliojiingiza kwenye ndoa wamechoka, wanatia huruma. Mimi ambaye bado "napuyanga" naponda raha tu

Age-mates wangu waliojiingiza kwenye ndoa wamechoka, wanatia huruma. Mimi ambaye bado "napuyanga" naponda raha tu

Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?

Njoo na huu uzi ukiwa na miaka 40
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Wewe endelea kuponda hizo raha unazozisema ila wakati unakuja na wewe zitakuponda mpaka utajuta 🤣😂😂
 
Ukiona mtoto wa kiume anajitapa namna hii na kuponda Ndoa. Ogopa sana Huyo ni mwanaupinde na anatafuta followers, kuweni macho sana.

Kama anamaanisha anachosema mwombe aweke picha yake hapa kama hutoana katinda nyusi na lips kapaka nanii.
 
Hizi mada zimekua nyingi mno. Muhimu tukumbuke kila mtu ana maisha yake. Kuna ambao hawapo ndoani na wamechoka vile vile vipi hawa unawazungumziaje? Vipi walio ndoani na wanang'aa kukuzidi? Ebu kila mtu apambane na maisha yake bila kuangalia ya wengine.
 
Muhubiri / Mfalme Suleiman anasema

"Kila jambo lina majira na nyakati zake,.....
Ila yote ni kujilisha upepo tu"

Amani inayokupa familia inashinda raha anazokupa kahaba/barmaid/ Dada Poa.

🚀🚀
 
upuuzi mtaacha lini
kenge blue



Wanaume tunahesabika bro
 
Wa kwanza mimi najuta kwann nimechelewa kuoa mapema. Kuoa kuna sitiri mambo mengi sana mwanangu wa kiume ataoa mapema sana mama baba yake nilichelewa kwa kuhofia maisha.
Ukienda kwa nchi za wenzetu waliostaarabika mapema utakuta watu wanaoa wanaachana , wanaoa wanaachana, mwisho wa siku wanajikatia tamaa ya kuoa , Mindset ya waafrika wengi ni kwmba ukioa au ukiolewa at age ya 20 to 30's huyo mwanamke au mwanaume ndio utazeeka nae , huu ni mtazamo uliokwisha ku'expire na ndio mtazamo unaofanya vijana wengi kuogopa ndoa , Mtu akioa au kuolewa afanye hivyo, furaha na mapenzi yakiisha ndoa ivunjwe mambo ya kuvumiliana kwa kigezo cha Strong family na cha kupata wa kuzeeka nae ni kujitoa kafara... uwe mzee au kijana unastahili kupata mapenzi yanayoleta furaha na sio uvumilivu unaondoa furaha , ndio maana mnakufa mapema.
Anaetaka kuoa aoe asietaka aache , kwenye kuitafuta furaha hakuna kanuni ya aina moja.
 
Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.

Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.

Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.

Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Mbona siye tunanenepa na tunapendeza na tumeoa!?
 
Sio bure itakuwa ulipigwa na kitu kizito,yaani uponde raha zako kwa uamuzi wako alafu uje kuleta uzi.Pole kwa tukio lililokupata
 
Dini ya kikristo haitaki kuachana, tunaoifuata ndo tupo makini tusikosee kuoa.
Ukienda kwa nchi za wenzetu waliostaarabika mapema utakuta watu wanaoa wanaachana , wanaoa wanaachana, mwisho wa siku wanajikatia tamaa ya kuoa , Mindset ya waafrika wengi ni kwmba ukioa au ukiolewa at age ya 20 to 30's huyo mwanamke au mwanaume ndio utazeeka nae , huu ni mtazamo uliokwisha ku'expire na ndio mtazamo unaofanya vijana wengi kuogopa ndoa , Mtu akioa au kuolewa afanye hivyo, furaha na mapenzi yakiisha ndoa ivunjwe mambo ya kuvumiliana kwa kigezo cha Strong family na cha kupata wa kuzeeka nae ni kujitoa kafara... uwe mzee au kijana unastahili kupata mapenzi yanayoleta furaha na sio uvumilivu unaondoa furaha , ndio maana mnakufa mapema.
Anaetaka kuoa aoe asietaka aache , kwenye kuitafuta furaha hakuna kanuni ya aina moja.
 
Back
Top Bottom