Aghairi kufunga ndoa iliyogharimu Tsh. 950m baada ya Mchumba wake kukataa kusaini PreNup

Aghairi kufunga ndoa iliyogharimu Tsh. 950m baada ya Mchumba wake kukataa kusaini PreNup

Nakumbuka babu yangu alipofariki aliacha kaandika mirathi kwa wanae.

Kila mtoto alilala na chake na mkewe pia akaachiwa nyumba. Baada ya yote kukamilika kuna baadhi ya nyumba hazikutajwa kwenye mirathi. Bibi akatusanua kua zile nyumba hazikua za mumewe ni zake, mume alisimamia ujenzi na ndio maana kwenye mirathi hazipo.

Hawa walisainishana hiyo prenup mioyoni mwao. Usijaribu kukubaliana kwa maneno tu kwa kizazi kisicho na uaminifu kama hiki cha leo.
 
Mcheza kikapu maarufu toka NBA, Stephen Jackson amemuacha solemba aliekuwa mchumba wake baada ya kukutaa kisaini makubaliano ya PreNup

Kwa Msaada wa Google Translator:

Umaarufu na utajiri humsaidia sana mtu aliyefanya kazi kwa bidii kwa ajili yake.

Lakini pia huwa na mabadiliko ya kila mtu anayehusika.

Muulize tu Stephen Jackson, ambaye aliona upendo wa maisha yake ukifichua rangi zake halisi kabla hawajakaribia kufunga pingu za maisha na mchumba wake.

Jackson alisimulia hadithi ya kichaa ya wakati alimuacha mchumba wake baada ya kukataa kutia saini makubaliano ya kabla ya ndoa (PreNup).

Jackson anafahamu vyema hadhi yake katika jamii.

Ni mchezaji wa NBA ambaye amejikusanyia kiasi kizuri cha umaarufu na utajiri.

Kusaini prenup halikuwa jambo la kibinafsi au la kujisifu. Alitaka tu kulinda mambo ambayo amefanyia kazi kwa bidii , kulinda mali na utajirialiochuma kipindi yupo NBA.

"Ninajali watu wengi.

Siruhusu mwanamke mmoja kudhibiti kazi ngumu ambayo nimefanya maishani mwangu.

Hakuna m@l@y@ hizi aliyekuwa kwenye mazoezi nami kipindi chote nipo Gym.

Kwa hivyo nilijiambia yeyote ambaye nimeolewa naye, wanasaini prenup , hataki hakuna ndoa."
Alisema Jackson


"Ninampa. Ninapompa, asishangae kwa sababu mimi na yeye tulikaa chini na kukubaliana juu ya prenup.

Tulikubali. Nisikilizeni nyote.


Tulikubaliana juu ya prenup" Aliongeza Jackson

Jackson alichukua neno lake na kuendelea na mipango ya harusi.

Bingwa huyo wa mara moja wa NBA alisema alitumia karibu dolar za kimarekani 400,000 ( karibia TSh. 950m za kitanzania ) kwenye siku hiyo kuu.

Jackson aligundua kuwa mwanamke huyo hakuwa ametia saini makubaliano ya kabla ya ndoa walipokuwa wakipanga.

Hakufanya fujo kutoka kwake, akionyesha upendo wake kwa mwanamke

Lakini basi, mambo yalibadilika haraka siku ya arusi yenyewe. Jackson aligundua kwamba mwanamke huyo kwa njia fulani alichukizwa na mchungaji.

Hakujali ni nani atakayeongoza.

Alichotaka ni kuolewa na mpenzi wa maisha yake, lakini ndoa imevunika baada ya mpenzi huyo kutia kuweka saini kwenye PreNup

Jackson alimalizia kwa kusema "I was born at night but not last night"

Akimaanisha "mimi siyo mjinga"

Ref: https://www.basketballnetwork.net/off-the-court/when-stephen-jackson-left-his-fiancé-after-she-didnt-want-to-sign-the-prenup

Kuna la kujifunza hapo

HUYU JAMAA NI SHUJAA ZAIDI YA ASHRAF HAKIM

View attachment 2589869
Si unamuona huyo ana akili za maruwe ruwe.Ajifanya hakuzaliwa jana kumbe wala hajui kesho yake. Fikra zake ziko kwenye pesa tu.Atabaki hivyo hivyo kama mwehu.Hajui wanawake ndio wanaoleta utulivu ukapata pesa zaidi.
 
Nashukuru kwauelewa dada yangu, hongera. Sipingi ndoa ila karibia kila siku kuna fikra za wanawake ukizipata kuzijua unazidi kuiona ndoa labda kweli sio sahihi kwasasa. Kuna mwenzako huko sijui anafikiria ndoa ni ajira na usipomlipa mshahara anakwambia unaoa ili iweje. Mungu atusaidie tu!
Ndoa zimejengwa katika misingi ya ukandamizaji, Inahitaji busara ya wahusika kufanya mambo yawe fair, Sasa usipofanikiwa kumpata mwenye busara wafwaaa! Hakika Mungu awasaidie, nanyi mtembee na akili zetu kila sehemu.
 
Kabisa, unajua ule mgawanyo wa mali, uliwekwa sababu mke ndiyo mfanya kila kitu kwa mume. Huduma zote za nyumbani. Ila sasa imeshakuwa nongwa, wanaona mwanamke anafaidi. Bora kila mtu abaki na chake tu.
Kwa mantiki hiyo hakuna kuoa wala kuolewa kila mtu apambane kivyake sio??
 
Hata kama ni sufuria vijiko sahan ni vya mwanaume alinunua kanunue vyako matako ya fisi
Matako ya fisi ni yale ya mama yako yanayonuka uvundo mpaka baba yako akamkimbia aliona funza watajaa ndani
 
Matako ya fisi ni yale ya mama yako yanayonuka uvundo mpaka baba yako akamkimbia aliona funza watajaa ndani
Narudia tena wewe ni matako ya fisi tena fisi pori
Akili yako imejaa mavii
 
Narudia tena wewe ni matako ya fisi tena fisi pori
Akili yako imejaa mavii
Kama yale ya mama yako mzazi tu yananuka uozo wa porini hebu fikiria umezaliwa na mama mwenye matako yameoza dah alafu unakuja kuongea ujinga mtandaoni😂😂😂😂
 
Kama yale ya mama yako mzazi tu yananuka uozo wa porini hebu fikiria umezaliwa na mama mwenye matako yameoza dah alafu unakuja kuongea ujinga mtandaoni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Narudia tena mara ya tatu wewe ni matako ya fisi pori
 
Hiyo inaitwa Life insurance. Unakwenda kampuni ya bima unakwenda kuingia nao mkataba kuwa endapo itatokea umekata waya kuanzia umri fulani say baada ya miaka 50 au 60 watalipa familia yako kwa maana ya mtoto na mke kiasi fulani mfano milioni 300 then wewe kila mwaka unalipa premium yao labda ya milioni 5 au 10.

Hii ni risk sana huko US watu wengi wanafanya hii michezo. Ingia YouTube hapo utakuta documentary videos zinaelezea homicides case nyingi ambazo unakuta kuna mwanaume au mwanamke ndio life style yake hiyo anaishi kwa kuanzisha mahusiano na mzee mtu mzima au kama ni kijana anatafuta wale wamama waliofika utu uzima kuanzia miaka 35 and above wanakuwa desperate na ndoa na mahusiano ya familia.

Ndoa inafungwa jamaa anakuwa entitled kuwa beneficiary wa life assurance ya mkewe kisha anatengeneza mazingira ya kumuua ili akacollect pesa hizo na mali kisha anapita hivi anaendelea na life yake anakwenda kutafuta mtu mwingine mwenye life assurance akatengeneze mtego apite nae.
Familia yalipa majambazi Tsh 800,000/= Yamuue baba wa familia. 😭
 

Attachments

  • VID-20230423-WA0034.mp4
    1.7 MB
Refusha na kunenepesha uume kwa size unayoitaka wewe kwa bei poa tu
Ongeza size na unene wa uume ndani ya muda mfupi tumia
*DAWA HII ILIYOFANYIWA UCHUGUZI NA KUSAIDIA WATU WENGI UNASAFIRIZHIWA NDIPO ULIPE EPUKA MATAPELI
* Ni Dawa asilia ya kuongeza size na unene wa uume wako,inanenepesha na kuongeza ukubwa na urefu wa uume wako kwa muda mfupi, ni dawa isiyo na kemikali, imetengenezwa kwa kutumia virutubisho vya mimea asilia, ni dawa bora inayotumiwa na wengi wameipenda, inarefusha na kunenepesha size ya uume wako kwa haraka ,ni ndani ya siku 5 tu unapata matokeo
JINSI YA KUTUMIA ni rahisi ,unapaka kwenye uume wako baada ya kuoga na kupaka mafuta yako ya lotion au mgando,inauwezo wa kuongeza uume
AGIZA SASA PIGA SIMU!
+255 744393735
Chupa nzima inapatikana kwa Tsh 30'000/= ,pia ukitaka ya kupima kulingana na size unayotaka,mfano ya kuongeza ukubwa wa kuanzia inch 1 ni sh Tsh 20,000/= tu
Agiza utumiwe popote ulio ndani ya Tanzania, mikoani na nje ya nchi tunatumaa
 
Back
Top Bottom