Aghairi kufunga ndoa iliyogharimu Tsh. 950m baada ya Mchumba wake kukataa kusaini PreNup

Aghairi kufunga ndoa iliyogharimu Tsh. 950m baada ya Mchumba wake kukataa kusaini PreNup

I dont know about nature ya kuvunjika huko, but ndoa ni kitu cha uwazi. Sasa kama upande mmoja haukutaka uwaz tatizo lilianzia hapo
Kwenye ukweli uongo hujitenga. Huyo demu nj Gold digger alikuja kuchuma sasa ameshtukiwa anamind. Fala huyo aende zake.
 
Sasa anaoa ili agawane mali?! Wanawake wa siku hizi sijui mpoje, utadhani majini wanyonya damu a.k.a Vampires?! Me mnanikera.

Hivi why u guys lack class and dignity, baba zenu na mama zenu hawajawafunza kuwa kuna utu kwanza before anything katika mahusiano?!

Me mnanikeraaaaaaaa sheeeeeenzi.
Hahahahaha
Kaka za asubuhi
 
Kwenye ukweli uongo hujitenga. Huyo demu nj Gold digger alikuja kuchuma sasa ameshtukiwa anamind. Fala huyo aende zake.
Nampenda Sana Beyonce sijui Kwa Nini
The lady ana real love Kwa jigga mnooo
Maana Kwa vurugu za jigga angekua ametemana nae Kitambo sana but they are still hold onto each other with pure luv
Nawapenda sana
 
Mimi ni mwanamke ila sitaki mambo ya kujumlishana kwenye mali. Kila mtu akae na mali zake. Ikitokea kuachana kila mtu atabaki na chake, mtoto/watoto tutachangia kuwalea. Nilienda sababu ya mapenzi, mali kila mtu yake.
Swala la mali utata wake huwa ni mdogo sana sema wanawake huwa hawajiamini na kujikuta wanafanya mambo ya hovyo hovyo yanayoishia kuwachafua.
 
Kabisa, unajua ule mgawanyo wa mali, uliwekwa sababu mke ndiyo mfanya kila kitu kwa mume. Huduma zote za nyumbani. Ila sasa imeshakuwa nongwa, wanaona mwanamke anafaidi. Bora kila mtu abaki na chake tu.
Eeeee basi na hayo mayai yenu mkakaangie chipsi tutaanza kugoma kutoa mbegu. Mkazae na nyani. Si mnataka usumbufu. Ndio maana siku hizi wanaume wanazaa na wanawake na kutoka nduki sababu wameona hamna tena maana kwenye maisha yao sababu ya kupenda ligi za kitoto badala ya kuangalia maisha.
 
Kwa mentality hiyo utakuwa single milele.
Anyway kufua boksa ni jukumu la mwanaume ila nguo zingine ni jukumu la mkewe kama heshima kwa mumewe. Je wewe unaweza mpa mumeo mshahara wako? Kama huwezi kwanini unataka Mali zake ziwe zako?
Madobi wamejaa kibao mtaani huko, wadada wanaopita kufua nguo wapo kibao tu tena bei nzuri. Chakula mwanaume unaweza jifunza kupika na wanaume siku hizi ni wapishi wazuri sana kuanzia chapati hadi kisamvu ukiambiwa kapika mwanaume unakataa jinsi vinavyopikwa vizuri.

Umeshindwa sana unakwenda kula mgahawani. Chumba kizima nalala pekee yangu kitandani nalala mkao wa air Jordan yaani najigeuza mwenyewe kwa raha zangu. Nikitaka mzigo wadangaji wamejaa tele.

Shida ni moja wanawake wanahisi Ndoa ni zawadi kwa mwanaume au wanatufanyia hisani. Mama zetu walikuwa na hekima sana kutulia ndani ya ndoa maana walijua kuwa Ndoa ni faida zaidi kwa mwanamke kuliko mwanaume. Sasa hiki kizazi cha nyoka a.k.a Daughters of Jezebel wakaona mama zao wajinga wao ndio werevu wanataka kubadili mfumo, sasa subiri watajua hawafahamu.

Huu mchezo hautaki ujuaji ila hekima. Ujana maji ya moto fainali ni utu uzimani.
 
Hiv alimsainisha Elizabeth prenup eee
Ila yule mwamba me sikumuelewa kabisa kukaoa kale kabinti. Maana Dah, kwanza kabinti kana mambo mengi hapa mjini hadi basi, video za utupu, picha za utupu, kameruka na manjemba na madingi kibao plus kana damu ya mtu maarufu mikononi mwake. Jamaa amekaweka ndani.
 
Kwakizazi hiki ukimpata huyo binti anayefanya hivyo, shukuru Mungu[emoji23][emoji23][emoji23]. Ukipata mtoto wa kiume akifika kipindi chakuoa muulize mabinti wangapi wanaziweza hizo kazi na hao waliosoma waulize wangapi wanataka kuzifanya hizo kazi[emoji23][emoji23][emoji23], ukiwa mwanamke huyajui maswaibu ya mwanaume bora tu utulize sista. Binti, kazi yake ni starehe shopping na kununua chakula cha nyumbani hataki kupika[emoji23][emoji23][emoji23]. Wacha sisi tukae kimya nyie mjione watakatifu na wakamilifu kwenye majukumu yenu[emoji23][emoji23].

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kukata mauno hawawezi pia🤣🤣🤣
 
Kabisa, unajua ule mgawanyo wa mali, uliwekwa sababu mke ndiyo mfanya kila kitu kwa mume. Huduma zote za nyumbani. Ila sasa imeshakuwa nongwa, wanaona mwanamke anafaidi. Bora kila mtu abaki na chake tu.
Not like that. Mgawanyo wa mali uwepo kuwalinda wanaume dhidi ya wanawake gold diggers. Wanaoingia kwenye ndoa na nia ovu ya kupata mali za mwanaume alafu asepe maana wapo wengi sana wa hivyo siku hizi.

Na huo mgawanyo haumaanishi kuwa mimi mwanaume nisikuhudumie wewe na familia kwa kila kitu.

Nakuhudumia na wewe unanihudumia. Pika, fua, usafi wa nyumba na watoto etc.
Na mm saloon, mavazi, malazi, chakula, na starehe zingine ni juu yangu.
 
Wazo zuri. Shida inakuja kwa baadhi ya wanawake wanaoingia ndoani kwa malengo ya muda mfupi. Yaan mtu anaingia ndoani kajipanga kuwa baada ya miaka 2, 3 tunaachana tunagawana hao ndio walioharibu game.

Zaman watu walikua wakiachana na wanagawana haikua shida. Ila siku hizi imekua ka mchezo ka maksudi kabisa.

Kuna jamaa alioa mwanamke yy ni mfanya biashara na binti alikua mtu wa home, alimtoa kwao. Wakati wanaoana jamaa alikua amepanga ila alikua na kiwanja na ka spacial kake.

Baada ya kuoana wakashauriana waanze kujenga. Kweli wakaanza. Mwamba akawa ni mtu wa kutafuta mpunga anampa mwanamke akafanye jambo kwenye ujenzi wao.

Bwana we, kumbe binti ni akili nyingi kuliko mchizi. Binti alikua kila anaponunua kifaa cha ujenzi (tofari, mchanga, mawe, sment nk) risiti alikua anaandika jina lake. Mwamba hakuona kama ni shida hio kwa kua mwanamke si ndio alienda kununua.

Baada ya nyumba kukamilika wakahamia. Wakakaa miezi kama 9, 10 hivi binti akalianzisha waachane. Purukushani hadi mahakamani. Kufika mahakamani ikaonekana ile nyumba ni mali halali ya mwanamke na mwanaume hakuchangia kitu. Sababu ni ushahidi wa zile risiti za vifaa vya ujenzi ambazo zote zina jina la mwanamke

Mahakama ikaamua, ile nyumba iuzwe na pesa ya nyumba apwe mwanamke, na mwanaume apewe pesa ya kiwanja chake. Kisha mali zingine walizo nazo wagawane sawa. Mwamba alilia kilio cha mbwa koko aliyeshikwa na chatu.

Mazingira kama haya yanaonesha kuwa kwa miaka ya sasa, 80% ya wanawake huolewa kwa malengo ya mali. Ndio maana wanaume wamesanuka siku hizi.
Mmmmmmhmn labda kama Hakimu alikuwa ni shangazi yake huyo dada. Ila ni ngumu sana hapo kwa mwanamke kutoboa hiyo kesi. Kwanza mambo ya kuhoji yapo mengi.

1. Kiwanja ni mali ya mwanaume, hii kitu huwa nawaambia wanaume popote pale, usije ukathubutu hata kama unamuamini vipi mkeo kujenga juu ya kiwanja alichonunua kwa pesa zake au alichopewa na wazazi wake au nduguze. Kaa mbali na hiyo kitu. Jenga kwenye kiwanja ambacho ni cha kwako wewe. Yeye akiwa na chake atajua afanye nacho nini usishiriki katika kukiendeleza hawa viumbe hawajitambui muda wowote akili zake zikianza kubangi anakugeuka kama hakujui ndivyo walivyo.

2. Huwezi justfy umiliki wa mali kwa kigezo cha ushahidi waa risiti ya manunuzi ya vifaa vya ujenzi. Ingekuwa hivyo basi hata wale makandarasi wa ujenzi wa hizi kampuni zinazojengea watu wangekuwa wanatapeli nyumba za watu. Yaani hata ukimtumia mdogo wako dukani yeye ndie ananunua bidhaa so lazima aandike jina lake kwenye receipt ya manunuzi ili hata bidhaa ikiwa na shida au kukiwapo na haja ya kubadilisha yeye ataweza kuirejesha sasa asipoandika jina lake atatambulikaje kama mnunuzi wa ile bidhaa hapo dukani?

So hii ni hoja dhaifu sana na mahakama labda wapewe rushwa ndio watumie hii hoja kudhihirisha ukweli au ushahidi wa umiliki ila ni hoja dhaifu sana kutumika.


3. Jambo la kuhoji lingine ni mwanaume anashughuli za kujingizia kipato na ndie aliyekuwa anatoa matumizi. Unathibitishaje kuwa huyu mwanamke alikuwa anatoa pesa za manunuzi alikuwa anashughuli gani ya kumuwezesha kujenga halafu mume hajui chochote?!

Mara nyingi huwa busara inayotumika ni kumuonea huruma mwanamke endapo kuna mgogoro wa kifamilia. Na huwa hoja inayotazamwa ni kama mwanaume ni mkorofi na ndie analeta shida basi kumtetea na kumlinda mwanamke asidhulumiwe wataangalia hoja ya mwanamke kupotezewa muda wake kwa kujitoa kwa mwanaume wake kisha mwanaume kutaka kumuacha solemba bila sababu za misingi.

Ila sio mwanamke anaanza kukengeuka na kudai mali, ataambulia patupu maana mahakamani sio wajinga washindwe jua dhamira ya mtu nyuma ya kilio chake cha kudai haki lazima watajua tu kuwa hapa huyu mwanamke anataka kufisadi hizi mali za familia ajipatie asepe zake.
 
Kwakizazi hiki ukimpata huyo binti anayefanya hivyo, shukuru Mungu[emoji23][emoji23][emoji23]. Ukipata mtoto wa kiume akifika kipindi chakuoa muulize mabinti wangapi wanaziweza hizo kazi na hao waliosoma waulize wangapi wanataka kuzifanya hizo kazi[emoji23][emoji23][emoji23], ukiwa mwanamke huyajui maswaibu ya mwanaume bora tu utulize sista. Binti, kazi yake ni starehe shopping na kununua chakula cha nyumbani hataki kupika[emoji23][emoji23][emoji23]. Wacha sisi tukae kimya nyie mjione watakatifu na wakamilifu kwenye majukumu yenu[emoji23][emoji23].

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye kuongea hawa viumbe huwezi shindana nao wanaongea kama ndege chiriku. Njoo kwenye vitendo sasa [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa kifupi hawa wa kizazi hiki wameshafeli kuwa wanawake na ndio maana mambo yanajidhihirisha. Wanavimaneno viiingiii vya kujitetea mara ooooh wanaume hawahudumii, sijui hawajui majukumu, wewe umeona wapi ng'ombe asiyetoa maziwa analishwa?
 
Kwamba ukinipikia wali maharage, na kufua boxer zangu, basi unaqualify kubeba nusu ya mali zangu?

Kama kweli hii ingekua ni hoja ya msingi, basi wafanyakazi wa ndani a.k.a beki tatu, wangekua matajiri wa kutupwa. Maana wanafanya yote hayo kwa ufanisi mkubwa!
Ha ha ha ha ha ha aliyesema wanawake hawana akili inabidi atafutwe apewe hela yake. Hawa viumbe ni changamoto aisee. Ukicheka na mwanamke utapata hasara muda wote.
 
KUna siku jamaa wa bima walikuja kazini kushawishi watu wakate bima mbalimbali, basi mhamasishaji mmoja akatueleza kuhusu jamaa .moja huko Iringa alikata bima akifa familia yake ipewe milioni mia saba na ushee ( kiasi halisi nimeficha makusudi). Kilichotokea inasemekana mke alimuua mumewe baada ya muda mfupi tangu mume alipokata bima. Ndugu wa mume walijaribu kuizuia kampuni ya bima isimlipe mke kwani walijua kwa uhakika mke ndiye aliyemuua lakini kampuni ilikataa na ikamlipa kwa sababu ya mkataba na hakukuwa na uthibitisho wa kimahakama.
Hiyo inaitwa Life insurance. Unakwenda kampuni ya bima unakwenda kuingia nao mkataba kuwa endapo itatokea umekata waya kuanzia umri fulani say baada ya miaka 50 au 60 watalipa familia yako kwa maana ya mtoto na mke kiasi fulani mfano milioni 300 then wewe kila mwaka unalipa premium yao labda ya milioni 5 au 10.

Hii ni risk sana huko US watu wengi wanafanya hii michezo. Ingia YouTube hapo utakuta documentary videos zinaelezea homicides case nyingi ambazo unakuta kuna mwanaume au mwanamke ndio life style yake hiyo anaishi kwa kuanzisha mahusiano na mzee mtu mzima au kama ni kijana anatafuta wale wamama waliofika utu uzima kuanzia miaka 35 and above wanakuwa desperate na ndoa na mahusiano ya familia.

Ndoa inafungwa jamaa anakuwa entitled kuwa beneficiary wa life assurance ya mkewe kisha anatengeneza mazingira ya kumuua ili akacollect pesa hizo na mali kisha anapita hivi anaendelea na life yake anakwenda kutafuta mtu mwingine mwenye life assurance akatengeneze mtego apite nae.
 
Back
Top Bottom