Aghairi kufunga ndoa iliyogharimu Tsh. 950m baada ya Mchumba wake kukataa kusaini PreNup

Aghairi kufunga ndoa iliyogharimu Tsh. 950m baada ya Mchumba wake kukataa kusaini PreNup

Kabisa, unajua ule mgawanyo wa mali, uliwekwa sababu mke ndiyo mfanya kila kitu kwa mume. Huduma zote za nyumbani. Ila sasa imeshakuwa nongwa, wanaona mwanamke anafaidi. Bora kila mtu abaki na chake tu.
Unafanya kilakitu wapi wewe! Wakati sikuhi house girl ndo anafanya kilakitu
 
20230421_172523.jpg
 
Naendelea kupata madini,ndoa ni gereza huru...
 
Kabisa, unajua ule mgawanyo wa mali, uliwekwa sababu mke ndiyo mfanya kila kitu kwa mume. Huduma zote za nyumbani. Ila sasa imeshakuwa nongwa, wanaona mwanamke anafaidi. Bora kila mtu abaki na chake tu.
Acheni janja janja Mali nilizochuma kabla hatujaoana zinakuhusu Nini?

Tulizochuma pamoja ni sawa una haki,

Halafu kufua na maswala ya usafi ni kitu Gani? Anaajiriwa mtu wa kufanya yote hayo mbona
 
Mwingine huyu hapa kalizwa
 

Attachments

  • IMG-20230422-WA0001.jpg
    IMG-20230422-WA0001.jpg
    53.5 KB · Views: 3
Unalinganisha mapenzi na mali? Kwani kwangu sili? Silali? Ninakoelekea wenda huu mkataba utanihusu na nitauomba mwenyewe nachokitaka ni upendo mali akipenda anipe asiponipa aacha anipe upendo tu inatosha.
 
Pre nup ndo nini
Ni makubaliano ya kisheria , aina ya mkataba ambao hutumika kwa wanandoa kabla ya kufunga ndoa kuridhia kutokuwapo na muingiliano wa mali katika mahusiano yao.

Yaani mfano mwanamke anakukuta wewe una magari nyumba, fedha nyingi kwenye account na utajiri mwingine, sasa makubaliano yatasema ni mwiko itakapotokea mnashindwana katika ndoa hatopata hata kijiko, ataondoka kama alivyokuja.

Kwa kifupi ni mkataba unaozuia muingiliano wa mali watu wawili wanapokutana na kutaka kuanza maisha ikiwa mojawapo hana imani na mwingine.
 
Asioe akae mwenyewe tu anaoa ili iweje
Sasa anaoa ili agawane mali?! Wanawake wa siku hizi sijui mpoje, utadhani majini wanyonya damu a.k.a Vampires?! Me mnanikera.

Hivi why u guys lack class and dignity, baba zenu na mama zenu hawajawafunza kuwa kuna utu kwanza before anything katika mahusiano?!

Me mnanikeraaaaaaaa sheeeeeenzi.
 
Back
Top Bottom