Agizo: Wasafiri watakaoingia nchini watakaa karantini siku 14 kwa gharama zao

Wawaachie tuu waingie na virusi vyao tuvizoee na vyenyewe.
 
Huu ni ushauri au maagizo!? ile tume aliyounda Mama kumshauri ndiyo imetoa maagizo hayo!? Lakini kazi ya hiyo tume si kumshauri Mama au kutupa maelekezo!?
 
Jamani tukianza kufungiwa ndani mkae kiimyaaa maana mamb ndy yanaanza ivo
 
Leo wamekurupuka na kusema watu wanaotoka nchi zenye virus wakali wakae karantiini siku 14. Hili sidhani kama linatosha kwa wasafiri kutoka India. Wangesitisha safari kwanza. Virus wakienea Tanzania inaweza kuleta maafa.
Bado wanashangilia ujio WA Nyalandu Covid baadae.
 
Wazee wa Corona naona mnakuja kwa kasi sana sasa! Pls tusitishane! Maisha ni ya Mungu!!
 
Dalili za lockdown hizo..
 
Wazee wa Corona naona mnakuja kwa kasi sana sasa! Pls tusitishane! Maisha ni ya Mungu!!
Hakuna Wazee wa corona,Corona ipo tunatoa angalizo sio kutishana mpaka kesho Cape Town usipovaa barakoa unakula bakora na polisi vitu vya kufata havina gharama kuliko corona yenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…