TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

soon possible yule chizi wa Insta utasikia anasema eti ni mipango ya bashite ... ndo mtaamini kama dunia inawatu waliyelaniwa... R.I.P sister Agnes
 


mnnnnhhhhhh leo umeokoka?
 


Moja ya swala la haraka nililoweza tambua ni kua kulikua na "negligence" kwa upande wa wanafamilia na madoktar wa hiyo healthcare centre.

Tatizo la kupungukiwa na damu ni kubwa, na walikua nae tangu jana.

Wangempeleka Muhimbili, ndio sehemu yenye ICU za nguvu na uwezo mkubwa wa kudili na emergencies za haina hii.
 
ntakufaje ni swali la kila mmoja,mbele yako nyuma yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…