macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Typhod haipo kwa wingi kama hospital nyingi wanavyodai. Kwa kifupi cases za typhod kwenye hospital zetu ni chache. Ila kuna kitu kimoja unatakiwa ku note. Mara nyingi watu wenye ukimwi hushambuliwa na magonjwa mengi na typhod ni mojawapo.Inategemea umeenda ukiwa stage gani mkuu .. kuna watu wanaenda na unakuta hadi utumbo umeanza kukatika.. jiulize kwann hiyo typhoid imepelekea akaishiwa mpk damu
Kama unaijua typhoid na stages za H.I.V huwez kuuweka kwenye kundi hilo.. niishie hapa naona tupo tofautiTyphod haipo kwa wingi kama hospital nyingi wanavyodai. Kwa kifupi cases za typhod kwenye hospital zetu ni chache. Ila kuna kitu kimoja unatakiwa ku note. Mara nyingi watu wenye ukimwi hushambuliwa na magonjwa mengi na typhod ni mojawapo.
GT, hata mimi nimewaza sana Mkuu.Hakuna mkono wa mtu hapo ? Maana uki deal na madawa ujue una deal na mafia.
There is money but anything can happen anytime
Hahaaa!poleniHuyo wa dalisalama, huku mikowani hajulikani ati
Wadau nilipita Mama Ngoma Health Centre Mwenge na kukuta watu wakilia kuuliza naambiwa Video Queen Masogange amefariki muda mfupi uliopita.
=========
UPDATES:
=========
Video queen maarufu Bongo Agness Gerald maarufu kama Agness Masogange amefariki Dunia leo katika Hospitali ya Mama Ngoma Mwenge jijini Dar Es Salaam.
Alikuwa anasumbuliwa na Homa ya matumbo pamoja na tatizo la kupungukiwa na damu.
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.
Anae ndio tutamuona alikuwa hataki kumpost sababu ya matusi ya mitandaoAjaachaa mtoto hata mmoja jmn???
Jaman kumbee anayee,wakiumee au wakikeee et mama Sabrina!!!Anae ndio tutamuona alikuwa hataki kumpost sababu ya matusi ya mitandao
Hapo hata sijuiJaman kumbee anayee,wakiumee au wakikeee et mama Sabrina!!!
Sijui kama ushawahi kuingia nyumba yoyote ya ibada pussss wewe. Jaribuni kumwogopa munguMwili wa masogange usipowekewa ulinzi stahiki, bhasi huenda jamaa wa mochwari leo ataserereka na masogange kibaiolojia maana si kwa mk*nd* ule Smart911 GENTAMYCINE demi Rebeca 83
Kumbe ana mtoto!!Anae ndio tutamuona alikuwa hataki kumpost sababu ya matusi ya mitandao
Yes maamKumbe ana mtoto!!