TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Napenda kuwa na afya njena kuliko kuwa na Hospitali mzuri!
 
Video queens hawana chama chao. Kama hawa Bongo Movies wameamua kuunga nguvu basi na iwe heri.

Ila ndo wawe macho na rambi rambi.
 
Ama kweli udongo unakula vitu vizuri, rest easy aggie.
 
EBOO!! Tunakoelekea hadi Malaya mtataka wazikwe maziko ya kitaifa
 
Kwa nini sio Mei Mosi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…