joely sandu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 1,962
- 1,818
Jaribu kufanya utafiti wa kutosha ndo useme tusijadil icho kifo chake toka ametoka jela kakaa mda gan na amekufaKwa mujibu wa maelezo yake mwenyewe marehemu akihojiwa na kituo flani cha redio alisema kwamba kesi iliisha na yeye alitakiwa kulipa pesa ambayo ni millioni moja na point something na ameshalipa sasa yupo huru na anafurahi kwa kuwa huru kwa sasa. Wewe tena unakuja kunambia kuwa walikata rufaa jee wewe na marehemu nani tumuamini?
mkuu unaposema Aggy ni public figure upo sahihi kabisa lakini nikuukize kitu kuna public figure wangapi waliokufa ndani ya kipindi hiki cha serikali ya awamu hii? jee kwa bahati mbaya simuombei kifo Maadam Wema sepetu akifariki leo hii na madokta wakisema amefariki kichomi kilicho mpata ndani ya siku tatu na kilichomsababishia kulazwa na hadi kufariki jee napo utakataa? na kuwahusisha wafu wengine na kifo chake?AGY NI PUBLIC FIGURE SIYO ILE YA SERIKALI UNAYOIJUA, KIFO CHAKE WATU HAWAWEZI KUKAA KIMYA BILA KUJADILI NA KUANGALIA MTIRIRIKO WA JAMBO ULIVYOTOKEA KEEP IN MIND KWAMBA KIFO CHAKE KIMEGUSA VYOMBO VYOTE VYA HABARI USITUTOE KWENYE NJIA WALA USIMLAUMU MSHANA JNR LABDA KAMA UTAKUWA UMETUMWA KWA FAIDA ZAKO NA ZA WALIOKUTUMA
Yap alikuwa anaumwa na chanzo au sababu ya kifo chake ni ugonjwa, nafikiri ulimaanisha hivyo ladyfurahia!ushaambiwa alikuwa anaumwa sasa unatka chanzo gani tena wakati taarifa tayari
usiseme tangu atoke jera sema tangu kesi yake iishe pale mahakamani na yeye kulipa ile faini ile ya millioni moja na laki tano kama sikosei alikaa muda gani?Jaribu kufanya utafiti wa kutosha ndo useme tusijadil icho kifo chake toka ametoka jela kakaa mda gan na amekufa
kosa analolifanya Mshana Jr kuwa kila kitu anakichukulia kisiasa hilo ndio kosa lake kubwa. Namkubali sana Mshana Jr kwa post zake lakini kwa hili nimekataa kuwa naye kwenye gari moja maana ni kitu ambacho kipo wazi kabisa... tulipofikia sasa hata leo hii Mange Kimambi akifariki kwa matatizo yake yanayomsumbua basi kuna watu watahusishwa tu maana ndio akili zetu zilipoishia kufikiliaMkuu ungekuwa unaangalia ID Investigation Discovery Channel Ungefikiria nje ya box kama mshana jr.
Jamaa wa motuary lazma apige kwanza[/QUOTE kweli hata kumfanyia utafiti yule mtoto pale milima miwili imekaaje. Namuonea wivu jamaa wa mwananyamala hospital
TABIA NA MATENDO YA MTU NDIYO HUFANYA AJADILIWE KWA LOLOTE LITAKALOMPATA IKIWEMO KIFO.mkuu unaposema Aggy ni public figure upo sahihi kabisa lakini nikuukize kitu kuna public figure wangapi waliokufa ndani ya kipindi hiki cha serikali ya awamu hii? jee kwa bahati mbaya simuombei kifo Maadam Wema sepetu akifariki leo hii na madokta wakisema amefariki kichomi kilicho mpata ndani ya siku tatu na kilichomsababishia kulazwa na hadi kufariki jee napo utakataa? na kuwahusisha wafu wengine na kifo chake?
Tukifata mafundisho ya dini zetu mkuu marehemu wanatakiwa kujadiliwa kwa mazuri yao tu na sio uchafu walio ufanyaTABIA NA MATENDO YA MTU NDIYO HUFANYA AJADILIWE KWA LOLOTE LITAKALOMPATA IKIWEMO KIFO.
Aya kila mtu na mawaz yake so unachokiamni EndeleA kuamini ivyo ivyo Ila ukweli utajulikana tyuusiseme tangu atoke jera sema tangu kesi yake iishe pale mahakamani na yeye kulipa ile faini ile ya millioni moja na laki tano kama sikosei alikaa muda gani?
MSHANA JNR HAJASEMA SASA AMESEMA UKWELI ANAOFIKIRIkosa analolifanya Mshana Jr kuwa kila kitu anakichukulia kisiasa hilo ndio kosa lake kubwa. Namkubali sana Mshana Jr kwa post zake lakini kwa hili nimekataa kuwa naye kwenye gari moja maana ni kitu ambacho kipo wazi kabisa... tulipofikia sasa hata leo hii Mange Kimambi akifariki kwa matatizo yake yanayomsumbua basi kuna watu watahusishwa tu maana ndio akili zetu zilipoishia kufikilia
Tukifata mafundisho ya dini zetu mkuu marehemu wanatakiwa kujadiliwa kwa mazuri yao tu na sio uchafu walio ufanya
Labda biblia yako haina hii sura .Kama inayo soma hapa,"Biblia yangu imeandikwa akikubali kufa kwa ajili ya kuukomboa ulimwengu. Hakuna palipoandikwa amejiua/ametoa uhai wake yeye mwenyewe
Hujaisoma vizuri post ya Mshana Jr... nimesoma post zake nyingi sana lakini post zake za sasa hivi nyingi sana zimekaa Kimange Kimambi sana hatumii tunu ya ubongo wake aliyobalikiwa na Muumba katika kudadavua mambo kama alivyokiwa anafanya zamaniMSHANA JNR HAJASEMA SASA AMESEMA UKWELI ANAOFIKIRI
Kwa watumishi wake ikimpendeza hufanya hivyo si kwa wote,vipi hauamini kama kuna watu Mungu huwataarifu ili watengeneze mambo yao?Mkuu Mungu anakupa taarifa kabla hajakuchukua?
Mungu akusaidie kama mtu amekufa wewe unachokumbuka juu yake ni hicho hauko salama,trust me.Mtu husema yaujazao moyo wake.Lile kontena alilofungasha yule binti had I wakati huu siamini kama linaenda kuwa mavumbi.
Umewahi kuisoma hiyo aya kwa kiingereza pia?Labda biblia yako haina hii sura .Kama inayo soma hapa,"
Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu."
Yohana 10:17-18
Katika mambo mazuri aliyo kuwa nayo marehemu ni meona hilo wengine unga .ukweli upande ule marehemu alikua kabalikiwa kwa mwanaume kama Mimi akipita tu lazima nipate mfadhaiko.kufa kupo ila watz unafiki umetujaa.nakama unabisha angalia kwenye kuaga mwili.Mungu akusaidie kama mtu amekufa wewe unachokumbuka juu yake ni hicho hauko salama,trust me.Mtu husema yaujazao moyo wake.