Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa wabongo wa jf ni wanafiki mpk basiasante mkuu"" wabongo sisi daah nishida
Inaumiza sana I will miss more things from you masongangeNisamehe mkui
Hata usipofanya Dhambi Mauti yatakukuta Tu.Mshahara wa dhambi ni mauti bali karama za Mungu ni uzima wa milele
Dah we acha tu aise udongo unameza kweli kweli[emoji24] [emoji24] [emoji24]Kafa na umbo lake kweli maisha mafupi
Apumzike kwa amani
Ungemtag sanchokaAnaenda kuwa chakula cha funza tu ardhini pamoja na umbo lake alilokua nalo, binadamu c kitu tunaoita tu hapa duniani
Kwani mange anasemajefadhali taarifa iwe tetesi hadi ithibitishwe.
sindano ya sumuHow!??
Aende huko kunako mstahili tumademu wa mjini ndio desturi yao now days...sasa kama wamuona masogange anadhambi kwaliwa 0712"" vipi kuhusu viongozi wanao sabbisha migogoro baina ya nchi na nchi mpka kufikia ya watu kuuwana na kumwagana mapia ya damu ktika hii ardhi"" trust me hiyo dhambi uliyoisema hapo watu wengi mnoo huwa wanaishiriki ila kwaajili ya unafki wao wanaficha tu """
Mkuu umehakikishaNmemuuliza mdg wake nlokuwa naitomba cyo kweli
Apumzike salama tumkumbuke Mungu mkuuDah we acha tu aise udongo unameza kweli kweli[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Death is everywhere to meet it's appointment. Get prepared!
Kwa hiyo trillion 1.5 hazina maana tuDu nini chanzo? Uchunguzi huru unahitajika hapa.