Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Bashite alimchukulia mtoto nyumba MakongoRIP masogange,natoa pole kwa bashite maana huu ni msiba mzito kwake.
Pole bashite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashite alimchukulia mtoto nyumba MakongoRIP masogange,natoa pole kwa bashite maana huu ni msiba mzito kwake.
Pole bashite
Kwa sasa alikua hana kazi zaidi ya kuishi na bwana mwenye vyake aliyekua anamhudumiaHeeee kumbee ndio maana nilikuwa naona shilwadu wanajiandaa kwelii,,
Naomba kuuliza Aggy alikuwa anavaa vizuri sana alikuwa ana ofisi wapi muda wote yupo kimtoko!
Na kupendeza kote kule hamuhudumii mwanae ??yatajulikana tu
Heeeeee!Bashite alimchukulia mtoto nyumba Makongo
Wasanii hawa wasikutishe wengi fake tuuu!Duuuuuhhh, kumbe asifiwaye njiani..........
Hahaaaa lohBasi wenzie wajifunze sasa, mi nilijua utaibuka mgogoro wa kugombea Mali zake
Daah shilawadu wamekomeshwaa kwa hilii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] soud kama alivyoishiwa ummbea woteeKwa sasa alikua hana kazi zaidi ya kuishi na bwana mwenye vyake aliyekua anamhudumia
Naona walishindwa kurusha kulingana na situation
Hayo ya kutubu mi hata sitaki kujua, mimi mwenye watoto nashukuru tu, sawa tu na kibaka mkomavu mtaani akivuta. .Watakumbuka wapi ...wakati wao wanafanya ni wasafi??
Wanga jaani haoooo.. .
Sawa pamoja na udhaifu wake....lakini angalau basi mtu atumie lugha nyepesi....
Unaona twana linakurupuka na kichwa chake bununu lina tapika tu...kwa Mungu si mbaya pengine alitubu.. na sisi hatujui tutakufaje...pengine juu ya kinena...kwa zinaa hiyo hiyo...
Tartibu waungwana....nani msafi kama mtoto mchanga hapa ?
NARUDIA TENA KWA HERUFI KUBWA, MUUZA UNGA YEYOTE NI MUUWAJI TU. PERIOD.Hata angekuwa mwizi, jambazi,n.k
The matter of fact hata mimi sijakamalika na wewe pia inatosha kabisa kutomhukumu tena akiwa amepoteza maisha yake.
We unaejifanya mtakatifu sawa, ila hekima na busara ndogo tuu ya kibinadamu inatuongoza tusimuongelee kwa ubaya marehemu, pengine wewe unayemuita muuaji una maovu makubwa na mabaya zaidi yake au mimi ninayeandika hapa ukute ni zaidi ya muuaji sema kwa vile hatujuani ndio maana tuna viburi vya kumuita marehemu muuaji na majina mengineyo.
Sanaa!anatamani izirael amrudishie uhai kidogo kwanza amsute then afe tenaDaah shilawadu wamekomeshwaa kwa hilii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] soud kama alivyoishiwa ummbea wotee
Au NaCNZERO BRAIN basi atakuwa kashafanya yake,jamaa ni mafia usikute kamlambisha Dimethylmercury.
Basi wenzie wajifunze sasa, mi nilijua utaibuka mgogoro wa kugombea Mali zake
Wewe ni mpumbavu kabisa, hizo opium zinazowageuza watu mazezeta ndio ufananishe na alcohol?pombe na unga kipi hatari na kinaleta vifo vingi????,alcohol ni drugs kama unga ila serikali inapata kodi..deadly poison on earth..
Huu ni ushamba na madhara ya kuwa na majobless wengi Tanzania.