TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Heeee kumbee ndio maana nilikuwa naona shilwadu wanajiandaa kwelii,,
Naomba kuuliza Aggy alikuwa anavaa vizuri sana alikuwa ana ofisi wapi muda wote yupo kimtoko!
Na kupendeza kote kule hamuhudumii mwanae ??yatajulikana tu
Kwa sasa alikua hana kazi zaidi ya kuishi na bwana mwenye vyake aliyekua anamhudumia

Naona walishindwa kurusha kulingana na situation
 
Watu wengi huishi duniani na kusahau sisi ni wasafiri katika hii dunia, tunapita...neno la Mungu linasema;
Zaburi 90:12
Basi, utujulishe kuzihesabu siku zetu, Tujipatie moyo wa hekima.
 
Kwa sasa alikua hana kazi zaidi ya kuishi na bwana mwenye vyake aliyekua anamhudumia

Naona walishindwa kurusha kulingana na situation
Daah shilawadu wamekomeshwaa kwa hilii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] soud kama alivyoishiwa ummbea wotee
 
Hayo y
Watakumbuka wapi ...wakati wao wanafanya ni wasafi??
Wanga jaani haoooo.. .
Sawa pamoja na udhaifu wake....lakini angalau basi mtu atumie lugha nyepesi....
Unaona twana linakurupuka na kichwa chake bununu lina tapika tu...kwa Mungu si mbaya pengine alitubu.. na sisi hatujui tutakufaje...pengine juu ya kinena...kwa zinaa hiyo hiyo...
Tartibu waungwana....nani msafi kama mtoto mchanga hapa ?
Hayo ya kutubu mi hata sitaki kujua, mimi mwenye watoto nashukuru tu, sawa tu na kibaka mkomavu mtaani akivuta. .
 
Hata angekuwa mwizi, jambazi,n.k

The matter of fact hata mimi sijakamalika na wewe pia inatosha kabisa kutomhukumu tena akiwa amepoteza maisha yake.

We unaejifanya mtakatifu sawa, ila hekima na busara ndogo tuu ya kibinadamu inatuongoza tusimuongelee kwa ubaya marehemu, pengine wewe unayemuita muuaji una maovu makubwa na mabaya zaidi yake au mimi ninayeandika hapa ukute ni zaidi ya muuaji sema kwa vile hatujuani ndio maana tuna viburi vya kumuita marehemu muuaji na majina mengineyo.
NARUDIA TENA KWA HERUFI KUBWA, MUUZA UNGA YEYOTE NI MUUWAJI TU. PERIOD.
 
Watu wanavyoshtuka ,kwann?
Hii ni kutukumbusha kwamba duniani tunspita,grt ready!

Swali ukifa unaenda wapi?
 
30087208_2067719216842077_6374059186153586688_n.jpg
 
pombe na unga kipi hatari na kinaleta vifo vingi????,alcohol ni drugs kama unga ila serikali inapata kodi..deadly poison on earth..
Wewe ni mpumbavu kabisa, hizo opium zinazowageuza watu mazezeta ndio ufananishe na alcohol?

Kwa taarifa yako hayo maunga yasingekuwa more dangerous na kama issue ni kodi serikali zumngepata kodi zaidi kwenye maunga kuliko kwenye alcohol.

Wewe ni mjinga kabisa hujielewi.
 
Naomba nielimishwe kidogo maana sijaelewa. Huyo Masogange sijawahi muona hata movie moja au kuhudhuria vikao vya bongo movie ilaa kwanini kina Steve Nyerere wameuchukua msiba wake na kuuweka upande wao?
 
Hata akizikwa siku ya muungano lakin atazikiwa kijijin kwao mbeya ,kwaio hatutapata fursa ya kumuaga vizuri
 
Back
Top Bottom