Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka usikie nini?kwani umeliona la upungufu wa damu tu?jengine hulioni la pumu?Kifo ni fumbo sana Ila cha masogange kimeaccha [emoji780][emoji780][emoji780][emoji780]
Eti upungufu wa damu?
Wazee wa mochwari kama nawaona huko walipo
Mawazo ya kusadikika tu ka kila jambo na ndiyo yanayowapoteza wengi kila kitu ni kudhani tu.Huyu naye ni askari! Hii Kazi ina laana Wallah!
upoMarehemu Masogange alikuwa ni mdangaji na muuza unga.
Nakufahamu kaka, yaani ukitaka nitoe na picha yako natoa.Mawazo ya kusadikika tu ka kila jambo na ndiyo yanayowapoteza wengi kila kitu ni kudhani tu.
Na ndiyo maana hata trillion 1.5 mnadhani tu na kuandika mitandaoni wakati ukweli anao aliyeandika ripoti na jana ametoa ukweli wake.
Acheni kudhani dhani tu kila jambo.
Yan asilimia kubwa humu watu wanasikitika na tako tu
Aiseeeeee???? kweliiii?????Kama na hiyo dhambi basi karibia 75% ya wadada wa mjini wanayo
DhuuuuuMarehemu Masogange alikuwa ni mdangaji na muuza unga.