TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Mungu atusamehe wote wenye pumzi tunaojifanya ni watakatifu na kuhukumu vile tunavyopenda..

Agness hakuwa malaika, kama sisi tuu kila mtu ana makosa yake, nashangaa wengi mnajifanya humu kama ni wasafi mno na kumsema marehemu kwa mabaya, Mungu atusamehe sana maana najua sote tuna mapungufu makubwa tuu ila tuna jeuri maana bado tuna pumzi ya bure bure aliyotupa Muumba aliyemuumba na agness..

Tukumbuke pia agness ana ndugu, ni dada,mdogo,shangazi n.k , tusiwaumize wenzetu katika kipindi hiki kigumu, licha ya umaarufu wa agness tutambue ana haki zake ikiwemo ya kuheshimu faragha yake.Tujaribu kuheshimu maana njia hiyo ni yetu sote na haikwepeki, zaidi tuombe tubadilike matendo pamoja na kuiombea familia yake katika nyakati hizi ngumu... ni hayo tuu wakuu Please dont judge her...

Maisha ya Mwanadam yanasehem kuu mbili ambazo lazima uzipitie “kuzaliwa na Kifo” sote tutakufa hilo halipingiki, ila heshima ya mwisho wa maisha yako au yetu unatokana na matendo yetu tuyatendayo tukiwa hai,

Jambo hili linafanya watu wengi kujisahau na kuhalalisha alamu kuwa halali maana kipo kinapo tokea madhaifu huwa ayasemwi zaid ya mazuri maana hakuna kilicho na thaman zaid ya uhai wa mwanadam.

Saiz Bongo mitandao ya kujiuza inaongezeka kila leo na watu wanaona ni kawaida kabisa huku wakijua nin matokeo ya kufanya hivyo

Ukiingia instagram mitandao mingi ya uamasishaji wa ngono inaomboleza na kumpost picha yake, hiyo inamaana gan (mfano wewe ukiona picha ya mumeo au mkeo au ndugu wa karibu imepostiwa kwenye ac za kujiuza za mitandaoni upata picha gan)

Lazima tuthamin uhai tulio nao na sio kuuchezea.

NB
Aggy ni binadam hatuna kibali ya kujudge maisha yake maana ni ya yeye na Mungu wake
Si ajabu alitubu na kusamehewa kabla ya mauti kuliko sis tunao lia pasipo badili njia zetu mapema.
 
Naomba nielimishwe kidogo maana sijaelewa. Huyo Masogange sijawahi muona hata movie moja au kuhudhuria vikao vya bongo movie ilaa kwanini kina Steve Nyerere wameuchukua msiba wake na kuuweka upande wao?
Labda wanataka kutunisha mfuko wa bongo movie
 
Maisha ya Mwanadam yanasehem kuu mbili ambazo lazima uzipitie “kuzaliwa na Kifo” sote tutakufa hilo halipingiki, ila heshima ya mwisho wa maisha yako au yetu unatokana na matendo yetu tuyatendayo tukiwa hai,

Jambo hili linafanya watu wengi kujisahau na kuhalalisha alamu kuwa halali maana kipo kinapo tokea madhaifu huwa ayasemwi zaid ya mazuri maana hakuna kilicho na thaman zaid ya uhai wa mwanadam.

Saiz Bongo mitandao ya kujiuza inaongezeka kila leo na watu wanaona ni kawaida kabisa huku wakijua nin matokeo ya kufanya hivyo

Ukiingia instagram mitandao mingi ya uamasishaji wa ngono inaomboleza na kumpost picha yake, hiyo inamaana gan (mfano wewe ukiona picha ya mumeo au mkeo au ndugu wa karibu imepostiwa kwenye ac za kujiuza za mitandaoni upata picha gan)

Lazima tuthamin uhai tulio nao na sio kuuchezea.

NB
Aggy ni binadam hatuna kibali ya kujudge maisha yake maana ni ya yeye na Mungu wake
Si ajabu alitubu na kusamehewa kabla ya mauti kuliko sis tunao lia pasipo badili njia zetu mapema.
Umenena vema kiongozi
 
Mtoto anae mkuu, tena mkubwa mno, ila alikuwa anataka mumuone mbichi akawa anamficha sana..
Hakuna mwanamke anayetokea mbeya awe mzuri alafu afkishe miaka 20 bila kutolewa bikra ya kizazi..
hakumficha bali aligombana na mzazi mwenzie akamchukua mtoto na hakuruhusu mtoto awe mitandaoni
 
Maisha kujirusha ngada na ngono daima si marefu hasa Africa. Utavumaaaaa ila mwisho utapasuka tu. Hivi Aggy ni wa watu kutafuta michango ya kumzika? Mipicha yote ile kumbe account zero? Jifunzeni nyie ma staa maisha si hivyo. Mtoto wake tu yupo shule ya kata dahh.
 
Daaaa hata hakukumbuka kujenga, jamaa ake ni nani huyo atakaeachiwa mali zake
 
Mbona Jesus alidead na miaka 32 au 33 tu. Kwa nchi zetu maskini kuna sababu nyingi sana za vifo tunazosababisha wenyewe na haswa zinaloletwa na viongozi wanye dhamana ya kutuongoza. Kama hakuna madawa hospitali na wagonjwa wakafa kwa magonjwa ya kawaida hilo si la Mungu wala shetani, ni uzembe wetu. Barabara zinaharibika hazirekebishwi ikitokea ajali tumlaumu shetani? Maji safi na salama hakuna tukifa kwa typhoid tunamlaumu nani? tukiugua tunauziwa dawa zilizokwisha muda wake, nani wa kulaumu tukifa?
Kama unaamini Biblia ikitaja Yesu aliishi miaka 33 hapa duniani biblia hiyohiyo inaeleza Yesu kristo yeye aliyeutoa uhai wake mwenyewe.Hakufa natural death alitoa uhai wake kwa ajili ya ukombozi wa mwanadamu .Usisome bibilia nusu ukiamua kusoma biblia soma yote na ukubaliane na maneno yote ya kwenye biblia.Kifo cha mapema sio mpango wa Mungu!
 
Back
Top Bottom