Locci
JF-Expert Member
- Dec 16, 2017
- 1,002
- 824
mi nilikuwa napita pita sana kwenye page zake kusafisha mijicho,!!ila sio siri alikuwa mzuri....Shoga warembo wetu wanaisha,aisee mi nilikuwa napenda kumuona anavyotuonyesha tako lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nilikuwa napita pita sana kwenye page zake kusafisha mijicho,!!ila sio siri alikuwa mzuri....Shoga warembo wetu wanaisha,aisee mi nilikuwa napenda kumuona anavyotuonyesha tako lake
Tatizo ni ufahamu wa wasikilizaji. Wangapi wansoma hata makara muhimu zaidi ya whatsapp?Hahaa yaani sijui anakitu gani special yule dada maana siyo kwakusikilizwa huko
tushapoa..!!ila sanchi nae ana mavi uuhh akitembea sasa doh doh doh!!..Wanakuwa wachache tatizo,,agness mshepu wake mtamu weweeee ,
Poleni wanaume mmepata pigo
Cc @Behaviorist
copy ipo mkuu ila bado inakua kua..Masogange umeondoka na utamu wako, umeondoka na lile shape lako bila hata kuacha copy, I am crying for you baby.RIP darling
Kweli tatizo ni ufahamu loohTatizo ni ufahamu wa wasikilizaji. Wangapi wansoma hata makara muhimu zaidi ya whatsapp?
habari zake zinakuwaga sources za ukweli kwa mujibu wa MusibaHahaa yaani sijui anakitu gani special yule dada maana siyo kwakusikilizwa huko
Mmmh kawa too much lakinihabari zake zinakuwaga sources za ukweli kwa mujibu wa Musiba
Haujawahi kusikia mtu kafa kwa typhoid?au ulikua haujui kiswahili chakehivi homa ya matumbo huwa inaua kweli???ndo kwanza nasikia Leo..
sijawahi...Haujawahi kusikia mtu kafa kwa typhoid?au ulikua haujui kiswahili chake
Maneno meengi...mhhh...mtoto mzuri aliyeishi maisha ya tamaa sana...kiasi cha kuhangaika Na biashara ya mihadarati....
...mtoto mashalah mrembo angeweza kupata basha yeyote tajiri akamweka ndani kama Mke....lakini ndio hivyo tamaa mbele...
....BTW ...hiki kifo cha ghafla isijekuwa ni cancer ya kizazi....ama madhara ya mihadarati!!..maana huo upungufu wa damu lazima una chanzo...
..au ndio wamemfanya kitu mbaya huko lockup kwenye issue yake ya madawa....usijekuta alipigwa mtungo hatari hadi kupata madhara makubwa,...au ngoma ..ama TB...alikwaa..
..nahisi kuna kitu mbaya kafanyiwa huyu mrembo...si bure...maana haya mambo ya kibashite yanyofanywa gizazani utawala huu ni mengi....
.
..muda utasema..RIP mrembo....
Yani pipo wako desperate sana Mkuuu...Huu ni ushamba na madhara ya kuwa na majobless wengi Tanzania.
Maneno meengi.
Hapo bashite tu bas.
Ok, mambo ya Imani si ya kuyadiscuss sana. Nimekuelewa mkuuKama unaamini Biblia ikitaja Yesu aliishi miaka 33 hapa duniani biblia hiyohiyo inaeleza Yesu kristo yeye aliyeutoa uhai wake mwenyewe.Hakufa natural death alitoa uhai wake kwa ajili ya ukombozi wa mwanadamu .Usisome bibilia nusu ukiamua kusoma biblia soma yote na ukubaliane na maneno yote ya kwenye biblia.Kifo cha mapema sio mpango wa Mungu!
Na ndio maana adhabu yake ni kuwambwa msalabani, hata kabla yake wahalifu wengi wa uhaini na uchochezi dhidi ya mamlaka waliuawa kwa namna hiyo hiyo wakiwemo na wahalifu wengine hatari.Mkuu km hujui Yesu alikufa kwa kosa LA uhaini,
Case ya akwlina bashite hahusiki kabisa..word...nimejaribu kumjengea hoja...maana sioni mhusika mwingine hapa...hata iweje..matukio mengi ya vifo tata ..ama kutekana yanmrudia bashite....akiwemo huyu binti....hata akwilina....
Na hii kuvichukua na kuanza kusambaza na kucheka ndio inafanya hadi watu wazima wanakuwa kama vichaa,wanapata 'kichwa' na kuona masifa.Huu ni ushamba na madhara ya kuwa na majobless wengi Tanzania.