Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuache siasa.Umepata danga?Nipo hapa nataka nikununulie senene na mantonga.Say yes,babe!Umeona eeh!! Hili nalo neno. Nitaliwnzishia uzi siku si nyingi
Mabuti ya kijeshi uyaone mafupi mepesi/Nimejiuliza mbona makelele yamekuwa mengi sana kwenye hii ripoti ya CAG??
Mbona jiwe alipomtumbua prof. Assad kwa kuonesha 1.5 trilioni haijulikani ilipo (ilivchukuliwa na jiwe mwenyewe) hakukiwa na kelele kubwa kama hivi?
Nimebaini ya kwamba sukuma gang wana hasira na machungu. Hivyo wanapiga sana makelele ili mama ayumbe na kufanya maamuzi ya papara kisha waje washangilie siku za usoni.
Mama ameondoa uuaji, uporaji, kupiga watu risasi, utekaji na ubaguzi wa kisiasa. Mama ameruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Mama ameifungua nchi. Mama amewafanya wapinzani kuwa ndugu. Halafu Kuna sukuma gang linapanua mdomo kumlaumu mama kwa ripoti ya CAG???? Ebo!
Mama tuliza akili yako, jipe muda na ufanye kile nafsi yako inakutuma, ikibidi nyamaza kimya. Hakuna wa kukufanya chochote.
Nimemaliza!
Sifa za danga.
1. Uwe na fedha za kutosha. Ukiombwa gari mara moja tunaenda showroom. Ukiombwa kiwanja fasta unalipia na kunikanidhi hati.
2. Uwe ni mtu wa tungi, shisha, viwanja na safari za kwenda nje huko.
3. Uwe na biashara zaidi ya moja zinazokuingizia kipato kikubwa hapa nchini na nje ya nchi.
4. Unaweza kuwa na mwenza wako na familia lkn sharti uwe na muda wa kutosha wa kunipeleka viwanja.
Nimamaliza!
N.B . Waajiriwa/wafanyakazi mpite kushoto kabisa!!. Ninyi mnalialia na mabango yenu kila mei mosi siwataki hamna hela.
Jiwe alivuobeba 1.5 trilioni mbona hukulalama??Du, yaani ina maana CAG naye ni sukuma Gang? Sasa kama vitu vya kweli navyo vinafanyiwa siasa, basi nchi ina shida. Wengine hatupo chama chochote lakini walioiba/kuchukua pesa yetu wanafanya vibaya.
Jibu hoja wewe acha mbambamba!Tuache siasa.Umepata danga?Nipo hapa nataka nikununulie senene na mantonga.Say yes,babe!
Kuna kipindi unakuwa waziri mkuu Margareth Thatcher na kuna muda unakuwa secret agent wa Russia.😂😂😂😂Jibu hoja wewe acha mbambamba!
Wewe kila mtu anayemkosa huyo mama yako wa ushungi basi ni Sukuma gang kwako? Acha hiyo character asssass…,,,, ongelea point, sitakuwa na bias ati Kwa sababu JPM alikuwa wa dini hii au ile, ufisadi ni ufisadi tu, lazima upigwe vita, umeonyesha kuwa huna human quality ulikuwa ni victimNimejiuliza mbona makelele yamekuwa mengi sana kwenye hii ripoti ya CAG??
Mbona jiwe alipomtumbua prof. Assad kwa kuonesha 1.5 trilioni haijulikani ilipo (ilivchukuliwa na jiwe mwenyewe) hakukiwa na kelele kubwa kama hivi?
Nimebaini ya kwamba sukuma gang wana hasira na machungu. Hivyo wanapiga sana makelele ili mama ayumbe na kufanya maamuzi ya papara kisha waje washangilie siku za usoni.
Mama ameondoa uuaji, uporaji, kupiga watu risasi, utekaji na ubaguzi wa kisiasa. Mama ameruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Mama ameifungua nchi. Mama amewafanya wapinzani kuwa ndugu. Halafu Kuna sukuma gang linapanua mdomo kumlaumu mama kwa ripoti ya CAG???? Ebo!
Mama tuliza akili yako, jipe muda na ufanye kile nafsi yako inakutuma, ikibidi nyamaza kimya. Hakuna wa kukufanya chochote.
Nimemaliza!
Mmestukia mapema wewe na nani? Kwa nini hamuamiagi huko Tunisia Kwa wenzenu halafu wanawafukuza ati mnaharibu demography ya Tunisia?Hata bilioni 6 za vyura alizo saini Kalemani wakati Rais Magufuli mwaka 2020 wanajaribu kumuangushia January na Samia..
Mchezo huu tumestukia mapema..
CAG ripoti inasema huo mkataba umesainiwa mwaka 2020...wao hawamgusi Kalemani kabisa
Hizi hela zinaikaribia 1.5 trilioni? Zilipokwapuliwa 1.5 trilioni na jiwe mlipaswa kuandamana na kumuondoa madarakani.manunuzi ya ndege ya mzigo kutoka 57 $mil hadi 86 $ mil,
Kama hamkufanya hivyo kwa jiwe aliyeiba mwenyewe 1.5 trilioni na kumfukuza prof. Assad kwa kuziweka kwenye ripoti, hamna uhalalli wa kupiga kelele hivi Sasa. Mnaonekana wanafiki mliojaqa chuki binafsi.Wewe kila mtu anayemkosa huyo mama yako wa ushungi basi ni Sukuma gang kwako? Acha hiyo character asssass…,,,, ongelea point, sitakuwa na bias ati Kwa sababu JPM alikuwa wa dini hii au ile, ufisadi ni ufisadi tu, lazima upigwe vita, umeonyesha kuwa huna human quality ulikuwa ni victim
Over invoicing haikulipwa ndugu. Ilishtukiwa mapema. Na huo ndio uongozi tunaoutaka, uongozi wa kuzuia wizi.Duh! Kwa hiyo kitu kama "over invoicing" ya manunuzi ya ndege ya mzigo kutoka 57 $mil hadi 86 $ mil, tunyamaze kwa sababu Sukuma gang nao wanaipigia kelele.! Kwa hiyo nchi nzima tunyamaze kwa point za kijinga kama hizi!
Hapa unamtetea nani?
onesha ushahidi wa mali yoyote kaacha huyo marehemu yenye nusu thaman ya 1.5BKama hamkufanya hivyo kwa jiwe aliyeiba mwenyewe 1.5 trilioni na kumfukuza prof. Assad kwa kuziweka kwenye ripoti, hamna uhalalli wa kupiga kelele hivi Sasa. Mnaonekana wanafiki mliojaqa chuki binafsi.
Mmestukia mapema wewe na nani? Kwa nini hamuamiagi huko Tunisia Kwa wenzenu halafu wanawafukuza ati mnaharibu demography ya Tunisia?
MkuuNimejiuliza mbona makelele yamekuwa mengi sana kwenye hii ripoti ya CAG??
Mbona jiwe alipomtumbua prof. Assad kwa kuonesha 1.5 trilioni haijulikani ilipo (ilivchukuliwa na jiwe mwenyewe) hakukiwa na kelele kubwa kama hivi?
Nimebaini ya kwamba sukuma gang wana hasira na machungu. Hivyo wanapiga sana makelele ili mama ayumbe na kufanya maamuzi ya papara kisha waje washangilie siku za usoni.
Mama ameondoa uuaji, uporaji, kupiga watu risasi, utekaji na ubaguzi wa kisiasa. Mama ameruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Mama ameifungua nchi. Mama amewafanya wapinzani kuwa ndugu. Halafu Kuna sukuma gang linapanua mdomo kumlaumu mama kwa ripoti ya CAG???? Ebo!
Mama tuliza akili yako, jipe muda na ufanye kile nafsi yako inakutuma, ikibidi nyamaza kimya. Hakuna wa kukufanya chochote.
Nimemaliza!
hahaahaaaaSababu nyingine yakufanya Jpili ya leo Nivute kaya siku nzima huku nikisikiliza hotuba za hayati Jiwe JPM kiboko ya wahuni na mafisadi wa Taifa hili.