Ahly Athletic Club vs Dar Yanga Africam

Ahly Athletic Club vs Dar Yanga Africam

Hehehe naona prediction yangu ya 3-1 inaweza ikatimia!
 
Jana manu walianza hivyo tu lakini mwishoni kibao kikawageukia
 
Hehehe naona prediction yangu ya 3-1 inaweza ikatimia!


Waarabu wakirudi wanakuja kufunga virago hapo 5-0.mpira wenyewe ule Yanga badala ya kwenda mbele wanarudi golini kwao.

SAHIBA.
 
Kipa mzuri sana, Mpira wa Yanga Mkubwa mno, wachezaji wanajituma na hawana mcheche. Ila hii Ahly ni nzito kusema ukweli. Labda kipindi cha pili tutaminimize damage.
 
Kipa mzuri sana, Mpira wa Yanga Mkubwa mno, wachezaji wanajituma na hawana mcheche. Ila hii Ahly ni nzito kusema ukweli. Labda kipindi cha pili tutaminimize damage.
you mean handsome!?
 
Nyadundwe upo sawa kwa kweli siwezi sema yanga hawachezi wanapiga inavyotakiwa lakini ndo hivyo tena nyavu za majamaa bado ni ngumu
 
Simba wana historia kule Misri Waarabu wakisikia jina tu Simba mikojo inawatoka lakini Yanga hata khofu hawana wanajua wanapeta kilaini kabisa.

SAHIBA.

Leta stastistics hapa!! Bila shaka utaanza kutuletea ile robo-fainali ya 1947!!
 
Hawa simba bwana analysis zao kama vile hawajaenda shule kwa kweli
 
Tena hawa yanga si kama ndo wamezidiwa ivyo, hawajui tu.....Ahly saivi wapo dhooooofu el hali, mpaka vibonde hapa Misri wanajipatiza, wajikaze zisifike nyingi angalau tununue magazeti kesho
 
haka ka Ngasa hodari kweli kwa nini mchezaji huyu bado yupo bongo hana malengo?
 
hIVYO WANAVYOCHEZA WANAONEKANA WAMEJITAYRISHA KUTUTIA AIBU NA MAJIBU KWA WAANDISHI WA HABARI WAMESHAYATAYARISHA.WAMEZOEA KUTESWA KULE MISRI.

SAHIBA.
 
Mnawapiga kwenye makorodani mtakoma Yanga subirini sasa.
 
Back
Top Bottom