Pre GE2025 Ahmed Kombo aliyesema akitoka Yesu na Mtume Muhammad anayefuata ni Rais Samia awaomba Radhi Wakristo na Waislam!

Pre GE2025 Ahmed Kombo aliyesema akitoka Yesu na Mtume Muhammad anayefuata ni Rais Samia awaomba Radhi Wakristo na Waislam!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sema jambo la hovyo ili watu washangaye na wakujue, ukipata umaarufu omba radhi.

Kanuni ya kindezi sana hii, kuna mtu atakuja kuvuta nguo abakie uchi uwanja wa taifa
Kama wewe unavyotafuta umaarufu wa kinguvu JF na kuandika uzi wa kumkashfu DC na kuukashfu uumbaji wa Mungu kwake. Mkuu waswahili wanasema, hujafa hujaumbika.
 
Kama wewe unavyotafuta umaarufu wa kinguvu JF na kuandika uzi wa kumkashfu DC na kuukashfu uumbaji wa Mungu kwake. Mkuu waswahili wanasema, hujafa hujaumbika.
Samia anafanana na Mohammad na Yesu?? Uko serious kweli?

Yule DC ile pisi atakuwa anapigiwa, hawezi kuikata kiu, kwa nguvu zipi?
 
Mungu si wa kulinganishwa na Chochote humu Duniani, peponi wala ahela. Na Ni mungu mwenye wivu sana. ukifuatilia watu walio toa kauli kama hizo historia inaonesha ni nini kilitokea kwao... Parapanda italia haraka sana. Mtoa kauli na mlengwa wasije sema hawakujua.
Yule profesa mwenye macho kama bundi alimuita dhalim Mheshimiwa Mungu naye dhalim hakukemea kufuru ile wote tunajua jinsi alivyokufa kibudu.
 

Wanaume wa kizazi hiki Mungu atusaidie sana, tabia za kujikombakomba na kujipendekeza zilikuwa ni tabia za kike, ila kwa sasa sisi wanaume ndio tunashika namba za juu katika uchawa.
Shuguli yao kubwa ni kujikomba
Huyo hata kupasuliwa rinda atakubali

Ova
 
Anaomba radhi ya nini, wakati wapo walio muita Rais mungu na hawajawai kuomba hata radhi...😜
Tofautisha kuchapia, hata Mbowe aliwahi kuchapia kwa kusema "ccm wenzangu" ila watu hawakuifutilia kwa sababu wanajua alichapia tu.
 
Back
Top Bottom