njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
ILa ukweli usemwe kuna makosa kama mwanadamu Raisi wetu anakosea ila hili la kuruhusu pasi na kukemea masifa sifa haya ya watu waliomzunguka na machawa wanamuharibia mnoo, hebu ona mpaka kufru hizi kweli?