Pre GE2025 Ahmed Kombo aliyesema akitoka Yesu na Mtume Muhammad anayefuata ni Rais Samia awaomba Radhi Wakristo na Waislam!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sema jambo la hovyo ili watu washangaye na wakujue, ukipata umaarufu omba radhi.

Kanuni ya kindezi sana hii, kuna mtu atakuja kuvuta nguo abakie uchi uwanja wa taifa
Kama wewe unavyotafuta umaarufu wa kinguvu JF na kuandika uzi wa kumkashfu DC na kuukashfu uumbaji wa Mungu kwake. Mkuu waswahili wanasema, hujafa hujaumbika.
 
Kama wewe unavyotafuta umaarufu wa kinguvu JF na kuandika uzi wa kumkashfu DC na kuukashfu uumbaji wa Mungu kwake. Mkuu waswahili wanasema, hujafa hujaumbika.
Samia anafanana na Mohammad na Yesu?? Uko serious kweli?

Yule DC ile pisi atakuwa anapigiwa, hawezi kuikata kiu, kwa nguvu zipi?
 
Yule profesa mwenye macho kama bundi alimuita dhalim Mheshimiwa Mungu naye dhalim hakukemea kufuru ile wote tunajua jinsi alivyokufa kibudu.
 

Wanaume wa kizazi hiki Mungu atusaidie sana, tabia za kujikombakomba na kujipendekeza zilikuwa ni tabia za kike, ila kwa sasa sisi wanaume ndio tunashika namba za juu katika uchawa.
Shuguli yao kubwa ni kujikomba
Huyo hata kupasuliwa rinda atakubali

Ova
 
Anaomba radhi ya nini, wakati wapo walio muita Rais mungu na hawajawai kuomba hata radhi...😜
Tofautisha kuchapia, hata Mbowe aliwahi kuchapia kwa kusema "ccm wenzangu" ila watu hawakuifutilia kwa sababu wanajua alichapia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…