Pre GE2025 Ahmed Kombo aliyesema akitoka Yesu na Mtume Muhammad anayefuata ni Rais Samia awaomba Radhi Wakristo na Waislam!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Machawa ni wapambe nuksi wanamuwashia mama moto na ubarakala wao
Kuna siku watamwita mungu kabisa
 
Mbali na huko kutamka hivyo je kuna yapi aliyokuwa akifanya yenye kukufanya useme kuwa alimuona Magufuli kama Mungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…