Mkuu mazingira ya wakati ule, huyo Profesa alikuwa chawa wa kihindi vibaya kwa Magufuli.
Kisaikolojia haikuwa bahati mbaya, ndivyo alivyokuwa anampercieve Magufuli!!!
That guy is a learned Old man aliye badili hekima na utu wake kisa cheo!! Hukumbuki shukran yake kwa kutolea Jalalani!!