Ahsante IGP Wambura kauli yako imeturudishia utulivu kwa haraka sana

Ahsante IGP Wambura kauli yako imeturudishia utulivu kwa haraka sana

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Natoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.

Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.

Tunamuomba Maxence Melo na ""Contents managers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.

Kwa uzoefu wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.

Hongera sana Wambura.
 
Natoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.

Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.

Tunamuomba @Maxence Melo na ""Contebts maagers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.

Kwa uzoef wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.

Hongera sana Wambura.
Ni zamu wa wana vilemba kula mema ya nchi,
 
Natoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.

Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.

Tunamuomba Maxence Melo na ""Contebts maagers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.

Kwa uzoef wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.

Hongera sana Wambura.
Wewe FaizaFoxy ndio mtu wa kwanza unayetakiwa kufungiwa na contents zako za udini kiasi kwamba unatufanya hata sisi wengine tunaounga mkono ubinafsishaji wa Bandari tuonekane wajinga na wadini kama wewe. Tena nikwambie, kwa comments zako humu, hazimsaidii Rais. Haziisaidii Serikali.
 
Natoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.

Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.

Tunamuomba Maxence Melo na ""Contebts maagers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.

Kwa uzoef wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.

Hongera sana Wambura.
Endelea kumpiga fix ili umpune hela
 
Natoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.

Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.

Tunamuomba Maxence Melo na ""Contebts maagers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.

Kwa uzoef wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.

Hongera sana Wambura.
Ya Mkiru nduguzo wa imani wanakofanya mauaji yamemshinda anahangaika na watu wanaotumia haki yao ya kikatiba kukosoa ufisadi.
 
Ahsante sana mama naona umekuja kusema ambacho ulipanga na hao kulifanya ila 2025 sidhani kama utaitia machoni aishie Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakob
 
Natoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.

Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.

Tunamuomba Maxence Melo na ""Contebts maagers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.

Kwa uzoef wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.

Hongera sana Wambura.
Naisoma vyema post yako ambapo between lines umeweka ilani kali wa JF na uongozi wake.

Na ile sheria ya kinga mliyoipitisha kwa kishindo, soon wakosoaji watakuwa wanatua montuary kwa sababu safari hii kila mkosoaji mmempa brand ya mhaini.

Safari ni hatua au siyo bi mdash?😀
 
Back
Top Bottom