saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
we umejitathmini? una faida gani weweWatu wengine ni hasara kwa taifa.
Mfano huyu mtoa mada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we umejitathmini? una faida gani weweWatu wengine ni hasara kwa taifa.
Mfano huyu mtoa mada.
😂 😂 Kwani jf wametoa nafasi za kazi?Kwa uzoef wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.
Hilo limazaa kichwan ni topeee, Limejaza udini tu basiUtakuwa ulienda shuleni kusomea ujinga bila shaka!
makuwadi ya dpworld kanda ya ziwa yamekataliwa yameanza kutumia wanengua viuno lakin wapi na bado 2025 lazima akili ziwarudi.Natoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.
Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.
Tunamuomba Maxence Melo na ""Contebts maagers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.
Kwa uzoef wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.
Hongera sana Wambura.
makuwadi ya warabu koko dpworld yamechanganyikiwa huku kanda ya ziwa hayatakiwi tena hata mlete wanengua viuno kipigo kiko palepale.ubaguzi tayari, we kafanye kazi acha umbea utakula mema ya nchi vile vile
makuwadi ya warabu koko dpworld.Hongera
Mtatulia kaburini na wambura wako kama jiwe lilivyotuliaNatoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.
Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.
Tunamuomba Maxence Melo na ""Contebts maagers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.
Kwa uzoef wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.
Hongera sana Wambura.
Mh! Kwanza kinanukaFaizaFoxy nikisoma post zako zinanichosha ila najikuta dushe imesimama😂😂😂😂😂
Binadamu wote hatulingani kwa kweli. Ubongo wako ni wakipekee na unadhihirisha level yako ya ujinga kwa kweli. Mungu akuhurumie maana hujui usemalo..!!Natoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.
Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.
Tunamuomba Maxence Melo na ""Contebts maagers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.
Kwa uzoef wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.
Hongera sana Wambura.
makuwadi ya warabu koko dpworld 2025 adabu itawaingia.nawapongeza jeshi la polisi kwa utashi wa hali ya juu
Amani ipi hiyo na faraja?Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani
Mwabukusi ni shujaaa wa TaifaNatoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.
Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.
Tunamuomba Maxence Melo na ""Contebts maagers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.
Kwa uzoef wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.
Hongera sana Wambura.
Kwaiyo Samia ni Dikteta kama Magufuli na Wambura ni katili kama Siro.Natoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.
Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.
Tunamuomba Maxence Melo na ""Contebts maagers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.
Kwa uzoef wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.
Hongera sana Wambura.
Wambura kaleta karudisha amanai na utulivu ndani ya saa 24 toka atangaze.Kwaiyo Samia ni Dikteta kama Magufuli na Wambura ni katili kama Siro.
Tusisikie humu JPM anasemwa kwa udikteta!
WANAOGOPA kivuli Chao wenyewe, ugawe bandari za Tanganyika, za Zanzibar zisiwemo, Kisha utengeneze kitisho Cha kunyamazisha.Natoa pongezi zangu za dhati kwa IGP Wambura na Waziri wa Mambo ya ndani Masauni.
Tangazo lako la juzi, limetoa faraja na amani na tunaelewa kuwa vyombo vya usalama vipo kazini. Maana ilikuwa hohehahe, kila mmoja na lake, mitandaoni, hususan sii wa hapa JF, tulikuwa badala ya kupingana kwa hoja tukaanza kutukanana, mwisho Rais wetu anatukanwa, anaitwa majina ya hovyohovyo, ukabila ukaanza kuingia, udini ukaanza kujikita. Ikawa kila Muislam ni mdni na ni Mwarabu.
Tunamuomba Maxence Melo na ""Contebts maagers" wote wa JF, msituonee haya, mkiona post au uzi unaoleta mfarakano ufungieni mara moja.
Kwa uzoef wangu wa JF, nnajitolea; Kila ntapoiona post ambayo ina lugha chafu au inaweza kuleta machafuko ya hali ya hewa ndani ya JF ntairipoti kwa uongozi wa JF.
Hongera sana Wambura.